Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

- I mean thanks boss, makelele meengi as if wana maisha kweli hahahahaha guys eti huwa mnaongelea nini haswa na hayo mafanikio ya maisha yenu? Huwa ninajaribu kuwasoma nashindwa kuwaelewa, The Americans taught me Mwanaume anatakiwa kuwa na Maisha na maisha ni kula vizuri, kulala vizuri, kuvaa vizuri, na pesa mfukoni ambavyo vyote ninavyo as opposed na watu wengi sana humu,

- Kila siku kelele kuna yule Mjinga mmoja nimemuona anapigana sana na ukweli wa habari yangu, anatukuza Ubaharia foolish kabisa wewe kweli in your right mind unaweza kutukuza Ubaharia? Maisha ya kukaa baharini Wiki 3 bila Mwanamke? Halafu mnafika Uchina mwanamke mzee anaingia kwenye meli kwa boti ya magendo Mahabaria wote mnamgombania mama mzee wa Kichina, unasifia kua ni maisha?

- Wewe fala uliwahi kupanda Meli gani? Itaje I mean maneno maneno mengi kwa sababu ni mtandao hakuna anayekuona? hahahahahahaha Yes nilipokua naenda USA nilikua sijui nitafikia kwa nani lakini ningeweza kwenda kwa Balozi Chagula aliyekuwa best man wa harusi ya Baba yangu hivi unaamini angenifukuza? I mean unaandika ujinga ujinga unadhani sisi wote ni wajinga wajinga kama wewe?

Tulia soma habari ya MWanaume hapa kama huwezi kapike jikoni mazafantazzz mjini hapa wengine mtavalishwa madela U know!

Le Mutuz
Kaka wakaushie humu fake id zinswafanya madogo kupayuka bila refference wengi ni wahanga wa maisha.
 
Haya maneno yana maana gani??

hayo yote ni majina ya mkuu lemutuz..

ukimuita lemutuz tu bila kuweka hivyo vinjonjo unakuwa umemkosea heshima kwa kiasi kikubwa....

lemutuz bomaye lemutuz citwa yeeen lemutuz mobimba lemutuz nye nye nye alafu unamalizia na ..hahahah i love it you know...

life is too short to be serious all the time
 
Nakereka sana, jitu limeshiba kodi zetu kwa kuwa toto la waziri na kada la CCM mpaka tumbo limekuwa kubwa sana kama mwanamke mjamzito halafu linajifanya pambanaji!!

Eti limepambana kuuza siagi, wakati muda huo linapanda ndege tu!! Kodi zetu hizo halafu linaringa kweli

Shubaaamit.......
Punguza hasira mkuu, mchezo hauhitaji nguvu nyingi hivyo na hasira. Mchezo huu ni nguvu kidogo tu na akili kubwazz basi unawin game. Only you need to know the rules of the game.
 
27857858_890529534462779_6911976504132179957_n.jpg


- I hope nimekusiadia kidogo maana sikutaka kuweka evidence kama hizi mapema hahahahaa nitakuletea na my Seamen Book maana kila Meli unayopanda lazima ugongewe muhuri kipo so futa kauli zako za kipumbavu sana, Meli nilipanda labda kabla hujazaliwa na kina Hussein Machen hukuwepo hapa Duniani kubali tu

le Mutuz Kokobanga
Nimeanza kukuelewa mkuu. ...najifunza mengi!
 
- Thanks Boss, on a serious note watu hasa vijana wadogo wanatakiwa kusoma hii "TRUE STORY" of my life na kujitafakari wapi inawahusu nawajua watoto wengi wa Viongozi hapa Mjini wanaoranda randa no life, kisa walilewa na Majina ya Baba zao na sifa za watu wanafiki,

1. Sijawahi kujuta kukosa kuishi in power ya Baba yangu yaani UWaziri Mkuu na Makamu wa Rais, ingawa mara nyingi aliniomba nirudi nilimkatalia katakata, leo ninawaona Watoto wengi ambao alikulia kwenye power wanavyohangaika ninamshukuru sana Mungu, ingawa sio wote wapo ambao Baba zao walizitumia nafasi zao wapo sawa lakini sifurahishwi na maisha yao ya kujificha ficha kuogopa watu wasiwaseme kuhusu baba zao.

2. Enzi za utoto wangu ni Ubaharia na Soccer za Yanga na Simba ndizo zilizokua na impact za kutoboa kimaisha bila kusoma, lakini kwenye Ubaharia ilikua ni more fantasy than reality ambayo niliiona mwenyewe nikiwa baharini Mabaharia walikua wakirudi hawasemi hadithi yote kwa mfano mateso ya kuvuka "Bermuda Triangle" Mishahara midogo kumbuka kwenye ubaharia kulikua na Cheap Labor ya Wafilipino so malipo yalikua madogo sana ila kwa sababu walikua wanakaa muda mrefu bila kuchukua mshahara wakiwa safarini ndio maana walionekana wana pesa waliporudi ingawa pesa haikudumu sana kwa sababu tatizo halikua pesa ila akili ndogo za Mabaharia, nilitaka sana kuepuka kurudi namna hiyo and I did.

3. Nia na lengo langu kwenda ilikua kutafuta Elimu na Maisha bora zaidi nilipofika Majuu nikaishia kupata kitu muhimu sana ambacho sikukifikiria mwanzoni nacho ni "EXPOSURE" ndio maana leo ninawasumbua sana wabongo wenye akili finyu ni kwa sababu hiyo tu. Bongo kuna watu wana pesa lakini hawajui cha kuzifanyia, mimi sina pesa nyingi lakini ninajua what to with my little money. Wananishangaa kwa sababu wanaamini sina pesa sasa ninapofanya mambo yangu ya kipesa ambayo wao wanaamini wanatakiwa wayafanye wao ninawashangaza sana,

- Kuna siku mtu mmoja aliniambia kwamba "SIKU HIZI UNA PESA SANA" nikamuuliza kistaarabu sana ni lini aliwahi kuniona na pesa au nikiwa sina? hakuwa na jibu kwa sababu nilijifunza kwa Baba yangu kua pesa sio our thing,

4. Ninaomba kuchukua nafasi hii kusema bila kupindisha kwamba hii topic hapa imenishangaza sana kwa sababu ni kwa mara ya kwanza kua na mjadala unaonihusu humu JF ambao ni Fair toka nibadili ID yangu fake miaka mingi iliyopita na kua mimi mwenyewe. Nilipokua na Fake ID nilikua maarufu humu JF kuliko wote labda MWanakijiji tu ndiye tulikua level moja, lakini nilipobadili tu ID na kua mwenyewe siku zote imekua negative silalamiki cause ndiyo sababu leo ninakusanya Millions kutokana na Social Media kwa sababu nilianzia hapa JF. Nimefarijika sana kwamba kumbe sio Wabongo wote ni wajinga huu mjadala ukiusoma wote utaona Unbalance ya Negativity ambayo ni ndogo sana kulinganisha na Positive comments. Infact ni kwa mara ya kwanza nimeona watu wengi wakitetea my works in the Story,

- Ingawa pia ninaomba kuwashukuru sana Jamiiforums kwa kuamua kuibeba hii Story of my life, ninawashangaa sana wanaopinga kwa kushindwa kurekebisha wanachokipinga, ukisema hapa anasema uongo unatakiwa uuseme ukweli. Guys this is not about me it is about what I have faced in my life na jinsi nilivyopigana kufikia nilipo, binafsi sina wasi wasi na nilipo ni ninajua kua bila ya kwenda Majuu nisingekua hapa nilipo utajiri wangu mkubwa niliorudi nao ni AKILI KUBWAZZZ I am so proud of myself for that.

- Halafu Haters poleni sana maana bado ninataka kuandika Vitabu vingi, kuna "MY JF EXPERIENCE", "MY FACEBOOK EXPERIENCE", "MY INSTAGRAM EXPERIENCE" "MY BONGO'S EXPERIENCE" so mna kazi sana ya kupinga pinga bila Facts hahaha saty tuned!

le Mutuz Mobimba! Le Mutuz Nye! Nye! Nye!
Nakuongezea tena na title ya kitabu kingine "MY JAMII FORUM LIFE EXPRIENCE " Najua ushawagonga wadada wengi sana humu ndani na pia baada ya kufuatilia comment moja moja kwenye huu uzi wako naona watoto wa kike watakavyojilengesha kwako na imani hutowaacha salama......[emoji2] [emoji2] [emoji2]

Back to the topic hujanijibu ombi langu hapo juu kuhusu kunikodishia shamba lako maana kuna project nataka nifanye kwa maeneo hayo mkuu Le Mtuz Le Mobimbaaaaaaaaaa
 
nikae New york miaka 25 halafu nije kushangaa Duka la Adidas kuuza raba $300 nonsense kwani yeye na adidas nani alikua wa kwanza kuja duniani hivi unadhani New york n kijimji kama Dar es salaam et 1980 unadhan ilikuaje New york miaka hyo mpaka useme hivo halafu eti alikua anafanya kaz muda mwingi sasa mbona karudi Tz hana mbele wala nyuma.
Wivu unakusumbua hahaha
 
- Thanks boss I am nothing but imperfect creature of God, lakini toka ninasoma mpaka leo sijawahi kukosa pa kulala wala pa kula na mara ya mwisho kupewa hela na wazazi ilikua nikiwa Form Two, na siku zote nimekua ninaishi maisha yangu bila ya tatizo mpaka leo, infact hata niliporudi na USD $ 1000 bado niliweza kuishi maisha yangu mpaka leo, nina kampuni, nina wafanyakazi, nina ofisi yangu Posta, ninaishi Apartment nzuri hapa Posta, now ukiwasikiliza haters humu ni kama vile haya yote sio mafanikio ya mtu aliyeishi Majuu, ok labda niwaulize mtu aliyeishi majuu anatakiwa kuwa na nini hasa? Na wapo wangapi hapa mjini? maana mimi kila siku jamaa kibao waliokuwa wananicheka nilipokua ninaenda Shule Majuu wanashinda ofisini kwangu kuomba nauli,

- Guys waulizeni waliobaki Majuu kama ni rahisi kurudi Bongo na kufanikiwa kuishi kama mimi, wakiamua kua wakweli utalia machozi jinsi wanavyoumia na kurudi kwangu. Sijawahi kufanya anything bila kufikiri au kua na Facts za justifications, ndio maana sijawahi kuuliza ushauri wa Wabongo cause wengi wetu uwezo wa kufikiri ni mdogo sana halafu tumekaririshwa maneno ambayo hata maana yake hatujawahi kuijua wala kuishi,

- Le Kigagula ana Dunia yake na siku zote ni agent wa kutumiwa na Wengine kwa manufaa yao huku akidhani kwamba yeye ni Powerful sana kumbe inategemea na wanaowashambulia, mimi sijawahi kumuogopa na mashambulizi yake yote cause najua anachotafuta yaani kilichomshinda Mama yangu wa Kambo ambaye ni marehemu sasa, anahangaika tu hapa ni ukuta, ila kuna anaowatesa na anayoyafanya sio mimi.

- Vijana wadogo wa Bongo wana choice ya kuchagua wanataka nini na inategemea nini kinawalipa, ingawa ninapowaangalia hua nasikia kulia maana they have no clue na kinachoendelea zaidi ya kuja hapa na kutukana tukana, ndio maana juzi niliwaambia Shilawadu kwamba nilipokua umri wenu nilikua Shule, nyinyi mnafanya kazi ya kutukana maadui wa bosi wenu, sasa mkifikia ukubwa au uzeeni Bosi wenu atakuwepo? Je bado mtakua mnafanya kazi hapo mlipo? Je maadui wa bosi wenu mnaowatukana sasa hivi hamtawahitaji mbele ya safari?

- Again Vijana wana Choice kusuka au kunyoa!

le Mutuz

Mzee ingawa unao ushujaa, lakini naona unakosa ushujaa wa kusamehe. Kuna wengine tumeteswa sana na mama wa kambo lakini tulisahau na hivi leo yupo kwangu namuuguza. Nimeshasamehe na sitaki kumuonyesha kinyongo na pamoja yale madhira na mateso aliyotufanyia mimi na kaka zangu hatufikirii kuwaadhibu yeye na wadogo zetu. Wadogo zangu nawapenda sana na sisi tumekuwa ndio baba zao. Wanajifunza na wakati mwingine huyu mama huwakumbusha wajukuu zake jinsi alivyotulea.

Ni kama vile anatubu baada ya kumuonyesha kwamba kisasi hakifai kukilipiza! Mzee hebu jitahidi kutowaonyesha ndugu zako kwamba bado una kinyongo ili muweze kuishi kwa mahaba. Hayo yalishapita na yalishafanyika. Ni Mungu ndiye ajuaye sababu ya kuwaumba viumbe na kuwaletea wenzao masononeko. Hatuwezi jua sababu na hatupaswi kuhukumu kwa kulipiza visasi.

Samahani sana ila ni katika kuwekana sawa.
Visa vya mama zetu wa kambo vinatia maudhi sana na wakati mwingine hutusaidia kujifunza uvumilivu kama na kufanya shughuli za hatari, ni kama huo Ubaharia. Hiyoo ni kazi ngumu na unatakiwa uwe na roho ngumu.
 
Wivu unakusumbua hahaha

mdau huyo jamaa siyo wivu.. fuatilia comment na hata thread zake utagundua kuwa ile 1994 genocide imemuathiri as a result moyoni mwake amejawa na chuki na hasira ambayo haina pa kutokea na matokeo yake amekuwa wa hovyo hovyo sana...

nilimgundua vizuri nilimkuta akiwa kwenye mapigano kwenye thread moja ihusuyo kimbari genocide ndio nikagundua siyo mwenzetu na sio mtu wa kumjibu wala kubisha naye
 
Mzee ingawa unao ushujaa, lakini naona unakosa ushujaa wa kusamehe. Kuna wengine tumeteswa sana na mama wa kambo lakini tulisahau na hivi leo yupo kwangu namuuguza. Nimeshasamehe na sitaki kumuonyesha kinyongo na pamoja yale madhira na mateso aliyotufanyia mimi na kaka zangu hatufikirii kuwaadhibu yeye na wadogo zetu. Wadogo zangu nawapenda sana na sisi tumekuwa ndio baba zao. Wanajifunza na wakati mwingine huyu mama huwakumbusha wajukuu zake jinsi alivyotulea.
Ni kama vile anatubu baada ya kumuonyesha kwamba kisasi hakifai kukilipiza! Mzee hebu jitahidi kutowaonyesha ndugu zako kwamba bado una kinyongo ili muweze kuishi kwa mahaba. Hayo yalishapita na yalishafanyika. Ni Mungu ndiye ajuaye sababu ya kuwaumba viumbe na kuwaletea wenzao masononeko. Hatuwezi jua sababu na hatupaswi kuhukumu kwa kulipiza visasi. Samahani sana ila ni katika kuwekana sawa.
Visa vya mama zetu wa kambo vinatia maudhi sana na wakati mwingine hutusaidia kujifunza uvumilivu kama na kufanya shughuli za hatari, ni kama huo Ubaharia. Hiyoo ni kazi ngumu na unatakiwa uwe na roho ngumu.
Kuwasamehe waliokukosea ni sawa na kuwapa nafasi ingine ya kukuumiza coz they missed you at first
 
Kuwasamehe waliokukosea ni sawa na kuwapa nafasi ingine ya kukuumiza coz they missed you at first

Ni kweli hicho ukisemacho. Ila binaadamu tunatofautiana sana pindi tunapokosewa na hilo huleta tafsiri na fikra tofauti katika kulipiza au kutolipiza visasi. Tunaona jinsi jirani zetu wa Rwanda wanavyoishi na visasi au Israel na Palestine. Mara nyingi binaadamu tunaogopa kusamehe kwa vile aidha twaweza onekana ni waoga au wanafiki. Hapana, visasi havina mwisho, visasi hukwaza fikra mbadala.

Mafundisho yote ya dini yanatuelekeza katika kusamehe pindi tunakoseana.

Hapa alipo mwenzetu ana wakati mgumu na sio vizuri kuendelea kumuingiza kwenye dunia ya visasi. Mara nyingine inafikia kipindi mtu anafikiri kuunda fasheni ya visasi ili kumuumiza aliyemkosea. Haya sio maisha mema, ni maisha ya kuwindana na kutafutana. Waswahili husema maisha ni kuatafuta na wala sio kutafutana. Nakumbuka wimbo wa Maquis Du Zaire, enzi hizoooo "..... Mutasema mutagombana, wakielewana mutabaki na aibu, wakipatana mutabaki na aibu......" Tuwe waangalifu.

Na hapa kwenye huu ugomvi kuna watu wananufaika na hivyo visasi. Kuna watu huu ugomvi ndio mradi wao wa kimaisha, ndio kula yao inapotokea. Ipo siku hawa ndugu watasahau ugomvi wao na sijui kauli zetu za kiuchochezi tutaziwekaa wapi. Waswahili hunena ndugu wakigombana, .......

Tukumbuke hapa huyu bwana anazungumzia ugomvi wa kifamilia na wanafamilia wana mahusiana ambayo hayafi na wanaunganishwa na damu ya undugu wao. Huyu Bwana kuna kipindi anapokosewa mwanafamilia yake huamka na kuonyesha hisia zake za undugu, huonyesha ameguswa na matatizo ya ndugu yake.

Mwenzetu ni muhanga wa visasi, tunachotakiwa ni kutafuta namna ya kumnasihi na kumuokoa ili asiendelee kuishi dunia ya upweke, dunia ya visasi, dunia ya kufikiri waliomkosea! Yatakiwa tujitahidi kumnasihi na kumpeleka dunia ya kusameheana ili ifike hatua hao wanaomkosea wafikie waone aibu.
 
Le Mutuz huwa anakataa umri wake bure.

Marehemu Mzee Nyirabu alikuwa Office kati ya 1974-1989.

Mzee Jamali Waziri wa Fedha mara ya pili 1979-1983.

Roughly tuchukulie 1983 ndio aliomba Visa ya Belgium. Hadi kumaliza form 4, JKT etc si chini ya miaka 20. Jumlisha tofauti ya 2018 na 1983 inakuja 55 years Ndio Umri watu ambao huwa wanamwabia. Ila yeye anadai ana 35 yrs.
 
Back
Top Bottom