HICHO Ndy ulichobakisha,, WEWE mwenye elimu kubwa UMEGUNDUWA NN? hata kibatari kuunda Hujuwi.... Kweli UNKNOWN ID inawapa hata MAPIMBI JEURI ya kubishana na WAJUVI... Ungekuwa Unajuwa unayebishana nae kuhusu MELI,,, ungekaa Kimya.... Pengine upo Gengeni kwako unatamba kuhusu ELIMU,,, Ungekuwa na elimu kubwa ungeshindwa kugunduwa uongo wa LEMUTUZ? from the beginning? Na wewe wacha porojo zakoMie sasa hivi sihangaiki na wewe nishakugundua wewe ni akili ndogo kwahio yote unayoelezwa ni kama kumpigia gitaa mbuzi; kingine una low education sio kosa lako. Im out with you.
Mimi ni UKNOWN... niweke detail zangu ili iweje,, SEAFERAR utamjuwa tu,, wala sio kwa barua wala makaratasi,, hivyo vitu vinachongwa tu,, na mihuri inawekwa,, uwe na barua na meli Hujuwi,, wala sheria na vyeo VYAKE Hujuwi.. Itasaidia nn? maelezo yake yanaonyesha hakuwa melini . . tena anachokifanya sasa ni EDITING tu.... Kufuta makosa ya mwanzo,,, tena mm huo Uzi wake muda tu sifatilii,,Acha porojo bwana mdogo mwandende wewe ulisema Le Mutuz hajawahi kuwa baharia, sasa yeye ameshaweka ushahidi humu wa barua inayothibitisha meli aliyokuwa anafanyia kazi.
Na wewe hebu weka ushahidi wako tuone kama kweli wewe ni SEAFARER kama unavyojinasibu.
Acha porojo bwana mdogo mwandende wewe ulisema Le Mutuz hajawahi kuwa baharia, sasa yeye ameshaweka ushahidi humu wa barua inayothibitisha meli aliyokuwa anafanyia kazi.
Na wewe hebu weka ushahidi wako tuone kama kweli wewe ni SEAFARER kama unavyojinasibu.
Hakuna uthibitisho kama kweli hiyo ni ya kwako.
Mkuu,unatuthibishaje kuwa ni vyako......yule unaemnanga kaweka vithibitisho visivyo na chembe ya shaka............daah,hebu punguzeni hizo chuki kwa asiekuhusu
1.Naomba kujua umri wako tafadhali?
2.huwezi kushare msichana, na ukigundua unamuacha..... Wewe ni halali kuwa na wasichana wengi? Husisha na dini yako pia na maandiko yanasemaje.
Ushauri wangu kwako.
Umri wako sio wa kupiga kelele mitandaoni na watoto, unajidhalilisha bure, kwani ukiwa kimya ni dhambi?.siku zote mtu anaheshimika kutokana na jinsi anavyojiweka.
Nimepiga kimya sababu nimeona ni UPUUZI kufuatilia story yake,, nikajiweka pembeni muendelee kudanganywa,,, USHAHIDI ninaoutaka mm sio USHAHIDI wa makaratasi,, aweke USHAHIDI wa picha,, yupo mwenye meli hyo,,, nimeshajiridhisha kuwa hakuwa SEAFERAR,,, labda wa inchi KAVU,, labda nikukumbushe mkuu,, hyo miaka anayosema amesafiri Ilikuwa ni miaka ya UONGO MWINGI,, nakumbuka watu WENGI kipindi HICHO Ilikuwa wananunuwa DOMUMENTS FAKE za meli,, NINA MAANA discharge book.. pomoja na documents zingine,,, zikiwa zimegongwa mihuri yote,, ili tu akifika mbele aonekane ni SEAFERAR,, Na kwanini watu wanasoma SEAFERAR... wanasoma ili kujuwa sheria na kuijuwa meli hata kabla hujaipanda,,,, hata kama mtu atakuwa na mavyeti,,, lakini hakusoma,,vyeti vina maana gani! yeye hajuwi vyeo vya MELI,,, atajuwaje SEAFERAR? Na Bado nalifanyia kazi suala LA kuingia BELGIUM kwa viza,,, maana miaka hyo TANZANIAN Passport holder Ilikuwa inchi nyingi za ulaya na UK unaingia BILA VISA,,, bado nachimba chimba gougle.... nione uongo wake... Mimi ni SEAFERAR,, na siwezi kuweka nipo meli GANI,, kila mtu anajuwa humu yupo UNKNOWN.. ILA maelezo yangu yanajitosheleza,,,
Well said brother Le Mutuz, namba za umri wako zitamsaidia nn? Bas mwambie achukue 90- Jawabu ni simple kwamba una maisha yako jali maisha yako, mimi ya kwangu hayakuhusu. Umri wangu huujui na wala haukuhusu heshima ya maisha haipatikani hapa JF wala Mitandaoni so take that nonsense back, jali maisha yako please humu soma nyamaza kama huna any positive ya kuchangia. Thanks
le Mutuz
- Nonsense!
le Mutuz
Wewe ni nani humu upangie watu cha kuuliza? Ni koherehere chako cha kuanika maisha yako mitandaon ndio kimeleta maswali hayo!!- Jawabu ni simple kwamba una maisha yako jali maisha yako, mimi ya kwangu hayakuhusu. Umri wangu huujui na wala haukuhusu heshima ya maisha haipatikani hapa JF wala Mitandaoni so take that nonsense back, jali maisha yako please humu soma nyamaza kama huna any positive ya kuchangia. Thanks
le Mutuz
Le Mutuz ukisikia watu wanakusema sema ujue wanakupenda na kwamba uliwahi kuwepo manake wana kudocument"if it is not documented it didn't exist
Wewe ni nani humu upangie watu cha kuuliza? Ni koherehere chako cha kuanika maisha yako mitandaon ndio kimeleta maswali hayo!!
kubwa jinga wewe kama ulijua una makando na aibu ungeona busara kuficha privacy zako!! Idiot kabisa
Hahaha wewe ni mpuuzi namba moja, eti historia ya JF? What has that got to do with me??yaani nipoteze mida kubishania ujinga kama huo ili iweje?? mzazi wako aliona wazi anapoteza muda kuwekeza kwa pimbi kama wewe ambae mpaka umri huo mama ako ANAFARIKI ukashindwa kujenga ata kaburi, mpaka umri huo bado UMAISHI kwenye apartments za kupanga..mjinga ambae mpaka umri wa uzee bado PICHA ZA UCHI na aibu zinasambaa mitandaoni!!- Who is an idiot here? Historia ya maisha yangu inakaribia kunilipa big time, wewe kalia ya kwako ila yangu nitaiuza na ndio sababu nikaanza now na sio huko nyuma na ninazo nyingi sana mpaka ya "MY JAMIIFORUMS EXPERIENCE" kama unakwazika na hii basi itakapokuja ya hapa ndio utalia mazchozi maana najua hujui lolote kuhusu JF nitakusaidia, ila wewe hunipangii cha kufanya sio wewe wala mtu yoyote, ndio maana nilipigana sana kujisomesha maana nilijua siku moja in my life nitakutana na wajinga kama wewe hahahahahahahaha!
le Mutuz
Mkuu Shunie Kwa jinsi ulivyokuwa unambembeleza Le Mutuz, Le Kokobanga, Mobimba, Nye nye nye, aku-unblock Instagram, nimeona niwasiliane naye na amekubali kuku-unblock.Totoo200 nitashkuru b-13
Hahaha wewe ni mpuuzi namba moja, eti historia ya JF? What has that got to do with me??yaani nipoteze mida kubishania ujinga kama huo ili iweje?? mzazi wako aliona wazi anapoteza muda kuwekeza kwa pimbi kama wewe ambae mpaka umri huo mama ako ANAFARIKI ukashindwa kujenga ata kaburi, mpaka umri huo bado UMAISHI kwenye apartments za kupanga..mjinga ambae mpaka umri wa uzee bado PICHA ZA UCHI na aibu zinasambaa mitandaoni!!
baba yako aliona mbali ndio sababu ulitelekezwa mapema sana..maana ni mzazi au ndugu tahira tu anaweza jivunia wewe..wasped sperm!!!
Duh! Mkuu kuwa mpole tu, kubali kuwa watu hawalingani. Lemutuz hiyo ndio personality yake na ni maisha yake ameamua kuyaishi so kama hayamkwazi yeye sioni kwanini mwingine akwazike. Ikiwa uzi wake unakukwaza upotezee tu kibingwa. PeaceHahaha wewe ni mpuuzi namba moja, eti historia ya JF? What has that got to do with me??yaani nipoteze mida kubishania ujinga kama huo ili iweje?? mzazi wako aliona wazi anapoteza muda kuwekeza kwa pimbi kama wewe ambae mpaka umri huo mama ako ANAFARIKI ukashindwa kujenga ata kaburi, mpaka umri huo bado UMAISHI kwenye apartments za kupanga..mjinga ambae mpaka umri wa uzee bado PICHA ZA UCHI na aibu zinasambaa mitandaoni!!
baba yako aliona mbali ndio sababu ulitelekezwa mapema sana..maana ni mzazi au ndugu tahira tu anaweza jivunia wewe..wasped sperm!!!
cc:Hahaha wewe ni mpuuzi namba moja, eti historia ya JF? What has that got to do with me??yaani nipoteze mida kubishania ujinga kama huo ili iweje?? mzazi wako aliona wazi anapoteza muda kuwekeza kwa pimbi kama wewe ambae mpaka umri huo mama ako ANAFARIKI ukashindwa kujenga ata kaburi, mpaka umri huo bado UMAISHI kwenye apartments za kupanga..mjinga ambae mpaka umri wa uzee bado PICHA ZA UCHI na aibu zinasambaa mitandaoni!!
baba yako aliona mbali ndio sababu ulitelekezwa mapema sana..maana ni mzazi au ndugu tahira tu anaweza jivunia wewe..wasped sperm!!!
Hahahaha asirudie kuandika upuuzi wala kuguna Shunie umesikia? BTW hongera sanaMkuu Shunie Kwa jinsi ulivyokuwa unambembeleza Le Mutuz, Le Kokobanga, Mobimba, Nye nye nye, aku-unblock Instagram, nimeona niwasiliane naye na amekubali kuku-unblock.
Sasa nafikiri uko huru kutembelea page yake ya Instagram. Unajua Le Mutuz ni mtu mmoja "peace" sana, and he is always humble you know! Ha ha ha ha.
By the way, Le Mutuz amesema usirudie tena kuandika mambo ya "kipuuzi" kwenye Page yake ya Instagram, uki-comment, ucomment kwa adabu. Ha ha ha ha ha.