Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Vp alibahatika kupata watoto kwenye hyo story maana sijaisoma coz simpendi na anakera mnoo
 


PART 33:- "MY AMERICAN EXPERIENCE"
Kuoa was my next thing nina kila kitu muhimu katika maisha lakini sikua na mke nikafikiri sana wazo la kuoa Mmarekani Mweusi au Mweupe nililifuta kabisa NO WAY baada ya kuishi nao kwa muda mrefu sikuamini kabisa kwamba kuna Mbongo anaweza kuoa au kuolewa na Mzungu au Mmarekani ni watu wabinafsi sana wasiomjali mtu yoyote mwingine isipokua wao tu miili yao kwenye joto inaharibika sana most of the times wanavuta ugoro na sigara hawapendi kabisa uwe na ndugu, yaani mkioana ni wewe na yeye tu hamna mjomba wala wazazi wako na mengineyo mengi sana hasi so nilishaamua sioi mgeni lazima nioe Mbongo now nitampata wapi?

Siku moja nikiwa kwenye hayo mawazo nikapata simu kutoka kwa Dada yangu Judge Mwendwa Malecela akiwa Brussels/Belgium baada ya mazungumzo mengi akaniambia pale alipo yupo na Msichana ambaye anadhani ndiye anayenifaa kuwa mke wangu I was like nani? kwenye simu akaja Msichana ambaye ndiye aliyekua my first Girlfriend nilipokua mdogo tulishaachana loong time baada ya kuni disappoint sana na nilikua nimeapa kua sitakuja kujihusisha naye tena so nilipojua tu kua ni yeye nilikua tayari kukata simu akanibembeleza sana nimsikilize nisikate simu too late nikakata simu na nikabadili namba haraka sana sikutaka tena kusikia..

Siku zote za maisha yangu nimekua binadam wa msimamo Right or Wrong kwa imani kwamba Mungu ndiye Jaji Mkuu wa Maisha yangu nimeishi stress free kwa muda mrefu sana wa maisha yangu kwa sababu ya kujiepusha na vyanzo vya Stress my ex girlfriend alikua mtoto wa Tajiri wa mwisho kwao alidekezwa sana kiasi kwamba alikua hajui maana ya maneno kama "STOP" "NO" au "WAIT" so nikawaza nikimuoa nitaanzia wapi ku deal na hizo Tabia? ..my thinking was sikumuomba Mungu kuniumba lakini ameniumba na kuniletea vikwazo vingi sana katika maisha yangu WHY?

I mean on the one side nina Mama wa Kambo ambaye hakutaka kusikia anything concerning my Name infact ilifikia mahali akijua una ushirikiano na mimi anakutenga hakutaki na huku nina Mama mzazi ambaye was so selfish only thinking of herself and her interests I mean sikutakiwa kusema haya lakini I am doing this only kuwasaidia kufikiri wale walioko kwenye situation leo!....

ITAENDELEA!
 
Hahahaha Le kokobanga
Majibu yake yananifanya nitabasamu you know[emoji3][emoji3]
 
Dah!!!!umefanya nikuheshimu sana
 
Shida ya makabila ya kijinga
 
Yan we mchooocheziii
 
Naomba kuuliza, hivi Huyo Neema ngululupi baada ya kuachana na lemutuz kaolewa?
kwa taarifa za Lemutuz ukisoma post zake, wameishi naye 15 good years, wamezaa watoto wale wakubwa tu, walipoachana tu Neema ambaye ni mtoto wa mchungaji amebadili dini kuwa muislam ili aolewe na mume wa mtu kama mke wa pili. hivyo ni second wife wa mume wa mtu kwa sasa. nilikuwa simjui sura, lilivyotajwa jina nikaenda kugoogle tu nikapata jina na sura zake rundo hadi watoto wao na ndio nikakumbuka kumbe ndio yule nilisikia kipindi fulani cha ugomvi wa kina hoyce temu na mange kuwa kuna mfanyakazi wa umoja wa mataifa anashughulikiwa, kumbe le mutuz mkewe ndio alikuwa mfanyakazi wa UN huko New York kama sikosei. ndio huyo kawa second wife with all exposures za kuwa nje ya nchi. nilifanya kazi na wanawake wengi wa kiislam, two of them walipoona waume zao wameongeza mke hawakuweza kuvumilia waliachana, lakini Neema yuko poa tu kuwa second wife.
 


- Unajua unanifurahisha kila wakati unaaaga hutarudi lakini unarudi, ok jana nilikua na Lunch Business na Balozi wa South Africa nchini at Hilton, kwa mtu ambaye unadai sina maisha hahahahahaha eti uliwahi kukutana na Balozi wa wapi Duniani akaacha kazi zake kuja kukutana na wewe for Business Lunch?

- Ninaishi kwenye 3 Bedroom Apartment Posta, mkahangaika wee kutangaza kua sio yangu nikawawekea risiti na ukitaka nitaiweka tena niliyolipa juzi tu, mkasema Nyumba Kinyerezi sio yangu nikawapa Hati, sasa sina Maisha niambie mwenye maisha ni nani na anaishi vipi tofauti na mimi?

- Kuishi na mke na watoto ndio kua na maisha then yes sina maisha, ila ninaishi vizuri ninakula vizuri ninasafiri ninapotaka na kwa usaifiri ninaotaka, to me my life is good na cha msingi zaidi wenye maisha mazuri wote wananikubali maana sidhani wenye maisha mazuri huwa wana muda na mtu asiye na maisha,

- Ninakujibu only for sake of others waelewe kwamba pamoja na kutumwa kwako kujibu ni kwamba huna hoja, sina pesa nyingi lakini nilizonazo zinanitoshaa mpaka kutoa ajira, ninaye mpaka House Boy kwa mtu nisiyekua na maisha hahahahaha pole sana na ukitaka ajira nifahamishe maana ndio kwanza sasa ninaanza kulipwa na You Tube wenyewe!

le Mutuz
 

- Ok hapo kwenye Hoyce Temu tu pana tatizo yule Mwanamke New York hahusiki, ila anashirikiana sana na Mange kunichafua, sasa huwa ninajiuliza hivi kwa mtu ambaye sina maisha na sifai kwa nini wanalala macho kushindana na mimi? hahahahahaha

le Mutuz
 
Picha hii sio ya leo hii mkuu, le kokobanga yuko right nimesoma sehemu huyu nyumbu kakimbilia South Africa.
Umesoma sehemu right? Kwahiyo hujamuona eye witness right? Sasa wewe kama siyo Msengerema Jazz band tukuiteje wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…