Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Vp alibahatika kupata watoto kwenye hyo story maana sijaisoma coz simpendi na anakera mnoo
 
upload_2018-2-21_9-16-17.jpeg


PART 33:- "MY AMERICAN EXPERIENCE"
Kuoa was my next thing nina kila kitu muhimu katika maisha lakini sikua na mke nikafikiri sana wazo la kuoa Mmarekani Mweusi au Mweupe nililifuta kabisa NO WAY baada ya kuishi nao kwa muda mrefu sikuamini kabisa kwamba kuna Mbongo anaweza kuoa au kuolewa na Mzungu au Mmarekani ni watu wabinafsi sana wasiomjali mtu yoyote mwingine isipokua wao tu miili yao kwenye joto inaharibika sana most of the times wanavuta ugoro na sigara hawapendi kabisa uwe na ndugu, yaani mkioana ni wewe na yeye tu hamna mjomba wala wazazi wako na mengineyo mengi sana hasi so nilishaamua sioi mgeni lazima nioe Mbongo now nitampata wapi?

Siku moja nikiwa kwenye hayo mawazo nikapata simu kutoka kwa Dada yangu Judge Mwendwa Malecela akiwa Brussels/Belgium baada ya mazungumzo mengi akaniambia pale alipo yupo na Msichana ambaye anadhani ndiye anayenifaa kuwa mke wangu I was like nani? kwenye simu akaja Msichana ambaye ndiye aliyekua my first Girlfriend nilipokua mdogo tulishaachana loong time baada ya kuni disappoint sana na nilikua nimeapa kua sitakuja kujihusisha naye tena so nilipojua tu kua ni yeye nilikua tayari kukata simu akanibembeleza sana nimsikilize nisikate simu too late nikakata simu na nikabadili namba haraka sana sikutaka tena kusikia..

Siku zote za maisha yangu nimekua binadam wa msimamo Right or Wrong kwa imani kwamba Mungu ndiye Jaji Mkuu wa Maisha yangu nimeishi stress free kwa muda mrefu sana wa maisha yangu kwa sababu ya kujiepusha na vyanzo vya Stress my ex girlfriend alikua mtoto wa Tajiri wa mwisho kwao alidekezwa sana kiasi kwamba alikua hajui maana ya maneno kama "STOP" "NO" au "WAIT" so nikawaza nikimuoa nitaanzia wapi ku deal na hizo Tabia? ..my thinking was sikumuomba Mungu kuniumba lakini ameniumba na kuniletea vikwazo vingi sana katika maisha yangu WHY?

I mean on the one side nina Mama wa Kambo ambaye hakutaka kusikia anything concerning my Name infact ilifikia mahali akijua una ushirikiano na mimi anakutenga hakutaki na huku nina Mama mzazi ambaye was so selfish only thinking of herself and her interests I mean sikutakiwa kusema haya lakini I am doing this only kuwasaidia kufikiri wale walioko kwenye situation leo!....

ITAENDELEA!
 
- Wewe ni mgeni wa WaCongo wao maneno yote ya Kifaransa wanayo kwa kikwao AIDS ni SIDA kwa Kilingala na Sida vile vile Mwananchi anaitwa kwa kifaransa Cintoyen kwa Kilingala wanaita Cintwayeen, ingawa kwa Kilingala Mwananchi ni Kintonzengu, hahahaha nimekaa Antwerpen na Brussels, nilikua nashinda Matonge nakijua Kifaransa na Kilingala nje ndani.

- Imagine Story nzima Parts. 31 wewe unalilia neno moja tu la Kifaransa hahahaha lazima una ishu kubwa ila unajificha nyuma ya Cintoyen sema nikusaidie hapa hahahahaha

le Mutuz Mobimba
Hahahaha Le kokobanga
Majibu yake yananifanya nitabasamu you know[emoji3][emoji3]
 
- Binafsi sijawahi kuusema Umri wangu isipokuwa ukisoma my story utaona matatizo niliyoyapata kwenda Majuu kwa sababu ya Umri mdogo, na the story behind it ni kwamba baada ya kuachana na my ex Wife aliamua kuanza kunichafua kwenye mitandao na hasa alipojaribu kurudiana nikakataa. Akaanza kutangaza umri wangu wa uongo kwamba nina Miaka 55, baadaye ikawa 56, then 58 mwisho akasema miaka 60, alipoona haina impact yoyote ya mimi kukosa Wasichana hapa Bongo akaamua kuungana na Mange kunichafua, akampa copy ya my Passport ikarushwa Dunia nzima bado haikuwa na Impact ndio mpaka leo kila mtu asiyenipenda ana struggle na umri wangu ambao binafsi nimeamua kutoutaja ili kumuonyesha Shetani anayewaongoza wanaonishambulia kuwa hana nguvu na hajui what is my wekaness.

- Ninasema hivi mimi binadam mnyonge kama wengine wote na sio Mkamilifu, ila kwa sababu ninamjua Mungu for myself najua binadam alituumba binadam kwa mfano wake, na kwamba Mungu alimnyima Shetani kujua siri ya Weakness zetu binadam, so Shetani anapokushambulia anachofanya ni kubahatisha wapi unyonge wako upo kusudi akumalize. Binadam wanapokuchukia wanaongozwa na Shetani ndio maana kwenye my Story nilisema mpaka leo bado ninapigana na Shetani yule yule niliyeanza kupigana naye toka nikiwa mdogo isipokua siku hizi kwa kujua kuwa nina akili nyingi sana ananirushia makombora mazito sana, nilikataa toka nikiwa mtoto kumuonyesha Shetani my Weakness na mpaka leo sijakubali kumpa hiyo nafasi ya kumuonyesha kua amenipata, ndio watu wengu mnahangaika sana na mimi ni kwa sababu mnahangaishwa na Shetani ambaye anadhani anaweza kunivuruga kwa kutumia wajinga wengi kunishambulia.

- Imagine my ex Wife anayo copy za Passport yangu lakini mpaka leo na yeye anahangaika kusimamia umri wangu wewe huoni kua ni maajabu ya Dunia?

- Now majuzi Shetani kabahatisha sana kuchukua kipande cha Video kwa wizi akadhani sasa kanipata, hahahahaha matokeo ni kagundua kua wala hata sijatingishika so anahangaika maana alishawaaminisa watu wake wajinga kwamba kwa hii kivideo atanimaliza hahahahahaha, na yote hii nini ni urithi wa Baba yetu mzazi ambaye yupo hai inasikitisha sana,

- Ninakumbuka nikiwa mdogo ndugu yangu wa kiume Marehemu Senyagwa alipofariki Dunia (Mungu Amuweke Pema Peponi) vichwa vya habari vya Magazeti vilisema "MTOTO WA KWANZA NA PEKEE WA KIUME WA WAZIRI MALECELA AFARIKI DUNIA" ilinishangaza sana as of WHY wameandika vile na huku wanajua nipo na wanjua kua kuna mwingine marehemu Ippy Malecela na yeye ni mtoto wa Malecela? Nani aliyewatuma kuandika vile? Ndio maana ninasema huyo ni Shetani niliyanza naye siku nyingi sana kupigana naye, nia na madhumuni yamekuwa ni kuhakikisha Dunia inaamini mimi sipo na kwa bahati mbaya sana hata my ex Wife naye akatumbukia huo mtego, leo my ex hataki niwaone watoto wangu lakini yupo radhi kuwapelekea kwa maadui zangu za jadi ..hahahahahaha....lakini sijawahi kutingishika wala kubabaika mwendo wangu wa maisha ni ule ule,

- So now najua Shetani anajipanga upya baada ya kuona kivideo hakina effect najua atakuja na kituko kingine cha ajabu maana ni kazi yake kuwaaminisha wale wanaomuamini kua ana nguvu, ambazo ninajua kwa kumjua Mungu hana ndio mimi nipo mpaka leo. Suala la umri analijaribu sana kulitumia Shetani lakini anashindwa kwa sababu sijampa nafasi hahahahahahaha!

I hope nimewasaidia wengi hapa leo kwa haya maneno machache lakini mazito sana ninajua hilo!

le Mutuz Mobimba!
Dah!!!!umefanya nikuheshimu sana
 
Ila all in all baada ya kusoma masimulizi yote ya Le Mutuz Mobimba Nye nye nye ukiacha mapungufu machache nimegunduwa kwamba Mzee Malecela is very weak Man na ni mtu ambaye hakupaswa kuaminiwa hata kupewa ubunge achilia mbali uwaziri mkuu.

Mateso yote ya kifamilia aliyopitia Willy mchawi ni baba yake mzazi mzee Malecela.

Angalieni mfano hai kwa Jakaya Kikwete jinsi alivyoweza kumpa back up kubwa Ridhiwani na siyo mtoto wa Salma Kikwete.

Kitu kikubwa ambacho kimaadili Le Mutuz hawezi kukisema ni kwamba baba yake ni mtu wa kutawaliwa na wanawake.

Kama huyo mzee Malecela angetoka kwenye kabila langu hao kina Dr Mwele watake wasitake wangempa heshima yake Le Mutuz kama kaka mkubwa.

Nahitimisha kwa kusema wanaume msiwape sana vipaumbele wanawake wanaweza hata kukutenga na wazazi wako wakishakushika, na kwa story hii mzee Malecela ni mtu wa hovyo kabisa hapa duniani.

Wazee wasiopenda longolongo haya mambo ya urithi huwa wanagawa hata kabla hawajafa kila mtu anadhibiti chake.

Ujinga huu wa Mzee Malecela pia ameufanya marehemu Samuel Sitta, ana mtoto mkubwa wa kiume siyo wa Magreth Sitta, kosa la mzee hakugawa mali akiwa hai sasa hivi kafa kawaacha wanarogana tu shubamiti.

Hii mizee mingine ni ya hovyo sana.
Shida ya makabila ya kijinga
 
AISEEEE MPKA HAPA NAONA NI. 2 : 1.UBAO UNASOMEKA HIVI AISEEE ...
WEWE JAMAA UKO VIZURI AISEEE ..NILIKUWA NASUBIRI KUONA JINSI UTAKAVYOWEZA KUZIPNGUA ZILE HOJA ..ILA KWA SASA NAFSI IMETAKASWA..

ILA JAMAA ALISEMA ANAMILIKI APARTMENT POSTA..MBONA HILO HUJAGUSIA MKUU
Yan we mchooocheziii
 
Naomba kuuliza, hivi Huyo Neema ngululupi baada ya kuachana na lemutuz kaolewa?
kwa taarifa za Lemutuz ukisoma post zake, wameishi naye 15 good years, wamezaa watoto wale wakubwa tu, walipoachana tu Neema ambaye ni mtoto wa mchungaji amebadili dini kuwa muislam ili aolewe na mume wa mtu kama mke wa pili. hivyo ni second wife wa mume wa mtu kwa sasa. nilikuwa simjui sura, lilivyotajwa jina nikaenda kugoogle tu nikapata jina na sura zake rundo hadi watoto wao na ndio nikakumbuka kumbe ndio yule nilisikia kipindi fulani cha ugomvi wa kina hoyce temu na mange kuwa kuna mfanyakazi wa umoja wa mataifa anashughulikiwa, kumbe le mutuz mkewe ndio alikuwa mfanyakazi wa UN huko New York kama sikosei. ndio huyo kawa second wife with all exposures za kuwa nje ya nchi. nilifanya kazi na wanawake wengi wa kiislam, two of them walipoona waume zao wameongeza mke hawakuweza kuvumilia waliachana, lakini Neema yuko poa tu kuwa second wife.
 
Unajichokonoa na kujicheka mwwnyew ila by fact najua dawa ilikuingia kunako.

By the way..mambo za ukoo wenu have never been my concern..hoja yangu tangu mwanzo ililenga kukupa mwanga from dellusional fairtales and lies unazojidanganya na baadhi wajinga unaowadanganya.

Na bila chembe ya shaka nimeprove with no dought una akili ndogo kama ya mwanao wa miaka 19.

Huna maisha kama unayoandika na kujisifia..infact maisha ya angalau umepata ukiwa kwenye umri ambao kitaalam ni umri wa kustaafu na kucheza na wajukuu.

Huna sifa wala hustahil kuwa mfano kwa vijana..kwa maana ni kijana mjinga tu atataka kufata mfano wa mzee ambae anapicha za uchi mitandaoni, mzee ambae watoto wake wamemtenga yaan hana familia na sababu ni tabia za uozo alizonazo..

Mzee ambae hata anaowaita marafiki wanamuonea aibu kukiri ukaribu wao kwa wati wengine

Mzee anaetukanwa na mzazi mwenzie..yaan umeshindwa kujenga mji wako mwenyew au kumcontrol mwanamke

Sasa ivi njia yako ya kutafuta huruma au kupotosha chochote kile kinachosemwa dhidi yako umekuwa na katamaduni kakusingizia uyu ni fulani, yule katumwa..mara huyu ni mtu fulan..na kwmb wanaokuonea wivu!! Najiuliza kwanini??

Kundi kubwa la watu waliokukosoa umekuwa ukiwasingizia kuwa ni ndugu zako..najiuliza inamaana ukoo wenu umevurugwa kias hicho??

I have no intention ya kuendelea na huu mjadala na niliupuuza tangu jana baada ya baadhi ya watu kuniomba nifanye ivo ila wewe ndondocha bado unawashwa..!

Taarifa niliyopata jion hii imezidi kunifanya ni dharau kwamba sio akili ndogo bali ata utu huna..natumai kitabu chako kitawaeleza wasomaji wake sababu iliyokufanya kutaka kumuua mama yako wa kambo umrithi baba yako mali..!!

Hahahahaha..alafu kwenye hii picha bado napata ukakasi kujua AKILI KUBWA ni yupi kati yenu..na kila mmoja alikuwa anawaza nini kichwan..hahha

View attachment 698824



OVA!!
.
28059352_894362460746153_7883834834452020920_n.jpg


- Unajua unanifurahisha kila wakati unaaaga hutarudi lakini unarudi, ok jana nilikua na Lunch Business na Balozi wa South Africa nchini at Hilton, kwa mtu ambaye unadai sina maisha hahahahahaha eti uliwahi kukutana na Balozi wa wapi Duniani akaacha kazi zake kuja kukutana na wewe for Business Lunch?

- Ninaishi kwenye 3 Bedroom Apartment Posta, mkahangaika wee kutangaza kua sio yangu nikawawekea risiti na ukitaka nitaiweka tena niliyolipa juzi tu, mkasema Nyumba Kinyerezi sio yangu nikawapa Hati, sasa sina Maisha niambie mwenye maisha ni nani na anaishi vipi tofauti na mimi?

- Kuishi na mke na watoto ndio kua na maisha then yes sina maisha, ila ninaishi vizuri ninakula vizuri ninasafiri ninapotaka na kwa usaifiri ninaotaka, to me my life is good na cha msingi zaidi wenye maisha mazuri wote wananikubali maana sidhani wenye maisha mazuri huwa wana muda na mtu asiye na maisha,

- Ninakujibu only for sake of others waelewe kwamba pamoja na kutumwa kwako kujibu ni kwamba huna hoja, sina pesa nyingi lakini nilizonazo zinanitoshaa mpaka kutoa ajira, ninaye mpaka House Boy kwa mtu nisiyekua na maisha hahahahaha pole sana na ukitaka ajira nifahamishe maana ndio kwanza sasa ninaanza kulipwa na You Tube wenyewe!

le Mutuz
 
kwa taarifa za Lemutuz ukisoma post zake, wameishi naye 15 good years, wamezaa watoto wale wakubwa tu, walipoachana tu Neema ambaye ni mtoto wa mchungaji amebadili dini kuwa muislam ili aolewe na mume wa mtu kama mke wa pili. hivyo ni second wife wa mume wa mtu kwa sasa. nilikuwa simjui sura, lilivyotajwa jina nikaenda kugoogle tu nikapata jina na sura zake rundo hadi watoto wao na ndio nikakumbuka kumbe ndio yule nilisikia kipindi fulani cha ugomvi wa kina hoyce temu na mange kuwa kuna mfanyakazi wa umoja wa mataifa anashughulikiwa, kumbe le mutuz mkewe ndio alikuwa mfanyakazi wa UN huko New York kama sikosei. ndio huyo kawa second wife with all exposures za kuwa nje ya nchi. nilifanya kazi na wanawake wengi wa kiislam, two of them walipoona waume zao wameongeza mke hawakuweza kuvumilia waliachana, lakini Neema yuko poa tu kuwa second wife.

- Ok hapo kwenye Hoyce Temu tu pana tatizo yule Mwanamke New York hahusiki, ila anashirikiana sana na Mange kunichafua, sasa huwa ninajiuliza hivi kwa mtu ambaye sina maisha na sifai kwa nini wanalala macho kushindana na mimi? hahahahahaha

le Mutuz
 
Picha hii sio ya leo hii mkuu, le kokobanga yuko right nimesoma sehemu huyu nyumbu kakimbilia South Africa.
Umesoma sehemu right? Kwahiyo hujamuona eye witness right? Sasa wewe kama siyo Msengerema Jazz band tukuiteje wewe?
 
Back
Top Bottom