Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

- Sasa hivi nina mchumba nataka kuoa tena so picha picha sio kama zamani nilipokua na njaa natafuta kiki inilipe hahaha sasa hivi ninayo kiki so sipigi pigi tena kama zamani hahahahahahah

le Mutuz
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana lemutuz hapana jaman napenda sana mambo zako
 
Mkuu samahani. Nime screenshot maoni yako nimemtumia rafiki yangu. Anateseka sana na mkewe jamaa anavumilia coz mtoto ndo kwanza std 1
 
Kumbe lemutuz naye aliwekwa tumboni miezi tisa akawa mtoto akakua.me nilijua alitagwa akatotolewa
 
Ni kweli wabongo wengi hawaelew, wanafkir kuish vzr ni kuwalizisha watu, hawajui km ukiwa na mahala pazur pa kuish, kula vzr, afya nzr, amani ya moyo wako, uhuru na usalama wako na mali zako huko ndo kuishi vzr
 
Sure
 
Bibilia inasema mwanamke mpumbav huibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe. Na mimi naamini huyo Neema ndio sababu ya Lemutuz kuwa hvyo alivyo
 
Associate degree ni sawa na Advance diploma hapa bongo ukimaliza hiyo ndio unaingia degree.
Sio kweli, associate degree kwa marekani inamaana umebakiza baadhi ya modules ili kuattain degree, hata neno associate hujui maana yake? Wengine wanabakiza mwaka mmoja au miwili. Mwaranyingi bachelor ni
4yrs. Na kwa bongo Adv Dp ilishafutwa ila ilikuwa huwez toka Adv dp af uende
digree ni kupiga marktime. Sema ili kufanya masters ilimlazimu afanye pgd ambayo ni mwaka mmoja japo wenye Upper na First class walikiwa wanalalamika km pgd kwa UD ulikuwa mradi wa kuingiza pesa vyuo vingine waliruhusiwa kufanya masters na bado walifanya vzr.
 
Kumbe' Separation of Powers' unaijua,sasa mbona Magufuli ana upsurp powers zote na wewe ndio kwanza unaampa support,au una ganga njaa??
By the way if you dont mind ni unblock huko instagram please.
Mwingine nae kaja.....,...M pm shunie akupe maujanja aliyotumia akawa akafunguliwa kufuri kule insta
 
Kaka hata kama kule imepostiwa nzima nzima lakini wewe jaribu kutenganisha uweke paragraph, inasaidia na kurahisisha katika usomaji.
 
we pia una ki lemutuzzz???
Me ninacho, ila hakinisumbui kinasimama vizuri na nawakorogea hicho hicho. Wanawake wote mamilioni et nihofu nini, co wote watakao kibeza. Watakao kiheshimu ndo hao hao na maisha yanakwenda. Unajua bado mungu katuficha kitu ambacho wanawake au wanaume wanahitaj ktk mapenz. Mbona hata hao wenye mihogo wanalia wanagongewa, basi haina maana kuwa nayo! Hata hao mabinti warembo km akina zari lkn wanatendwa! Hatuna sababu ya kumkufuru mungu kwa uumbaji wake, km alikupa hicho bac aliona kinakufaa na ukiona mwanamke anakibeza basi jua sio huyo ambae Mungu alitaka uwe naye.
 
Kwahiyo hata anayekunya porin na hajichambi na ameridhika, naye ana maisha mazuri?
Mmesoma elimu ngumbaru nn? Ww unae yaishi maisha ndo unaweza yatafsir km mzr au la. Unaweza ukawa na pesa af unaish maisha mabaya, haupo huru, haupo salama, unamagonjwa, unakesi nk. Km unaish mazngr safi, unapata hewa saf, unakula vze, unalala pazur, una amani, afya na upo salama na mali zako. Hayo ndo maisha. Huwez shindwa kulocomote et kisa huna gari.
 
Kumbe na mimi huku bongo naweza Kuwa na mke US? Nta ku PM bro,kwan kuuza sabuni Kitu gani! Dah very intresting km usemavyo Ila huyo ustaadh Ni noma! Yaani tiketi wanatuma wenyewe wake zake. Dah Mungu wasaidie wanawake, aliwaumbaweak sn na saikolojia yao ni ngumu mno.Lkn mwisho wa cku ni Mama Zetu na mama wa watoto wetu. Najua unashindwa kujizuia ila kwepa Sn maswali yanayochimba ndoa yenu kwan watoto wenu ni wakubwa itawasumbua. Waliumbwa tuwatawale,so km tulianza kuwatongoza na kuwaacha basi tunaweza kua chanzo cha kutunza Faragha za ndoa for the benefit of our children
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…