nyanimzungu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2017
- 1,204
- 934
Umemjibu vizuri sanaMmesoma elimu ngumbaru nn? Ww unae yaishi maisha ndo unaweza yatafsir km mzr au la. Unaweza ukawa na pesa af unaish maisha mabaya, haupo huru, haupo salama, unamagonjwa, unakesi nk. Km unaish mazngr safi, unapata hewa saf, unakula vze, unalala pazur, una amani, afya na upo salama na mali zako. Hayo ndo maisha. Huwez shindwa kulocomote et kisa huna gari.
Watu wana kila haki kuwa outraged na kuwa critical au negative sawasawa na wale wote wanao msupport au kumkubali huyu baba au kuheshimu uamuzi wake wa kuweka private life yake mtandaoni for full public scrutiny. Ni jambo la ajabu sana kwa mtu wa background na umri wake ku behave so immaturely and in total disregard of morals, norms and standards of behavior za jamii inayomzunguka.
Loser not looserAnyone who laughs at and mock others because of their looks, is an imbecile low-life moron. Get a life looser!
We una miaka 60+ unadate na below 25??? Unajiona mzima kweli?- Kumpenda on my part hapana maana toka niachane naye sijawahi ku date msichana yoyote anayezidi miaka 25, leo naanzaje kurudi kwenye miaka 52? Please nilisha move on ninaendelea, simfuatilii never ni yeye anayehangaika hangaika mimi ni mtu wa maamuzi magumu na msimamo always, ananijua vizuri sana.
le Mutuz
Utaondoka na clip uliyo mrekodi akitoka kuoga, unaweza uza sn youtubeMimi nitaondoka na nini?ahahaa
Me mwenyewe hua cwaulizag umri, vbnt cku hz vkoradhi kulala na yeyote ilimradi utacheua. Ndo maana inawafastrate wanawake na ndoa zao. Utandawaz umeenea, vbnt vnataka maiphone ya bei na wenye hela %kubwa ni watu wazima kwakuwa walisha kamilisha mambo yao mengi, vijana wengi wapo shuleni na wanamambo mengi ya msingi ya kufanya.We una miaka 60+ unadate na below 25??? Unajiona mzima kweli?
Kwenye swala la mke atakayekushikia bango huyo ni kula kulala na ni school boy tu.
Watu wenye uzoefu na hiyo kitu tunazijuwa changamoto zake, wengi bongo wanaishi na wake zao kwa kisingizio cha kulea watoto, hili halina tofauti na utumwa.
Tutapingana kwa hoja za msingi lakini siyo kwa hili la mke na kamwe halina mshauri hata Maprofesa limewashinda.
Irene Kiwia ndio mshauri wao mkuu, ona madudu yake ana moral authority ipi ya kuwa mentor wa wanawake?
Insanity.
Tunaaminishwa Henry Kileo ni Marioo lakini leo hii tunaambiwa anaombwa ela ya matunzo na amefunguwa kampuni yake, Marioo huyuhuyu? Kweli Wema kumanyokoo.
Amtafute son of the gamba ndio aliniombea kwa le mbebezMwingine nae kaja.....,...M pm shunie akupe maujanja aliyotumia akawa akafunguliwa kufuri kule insta
Wewe ni genius kama umeweza kumuelewa huyo mtu asiyejuwa hata kuandika.Umemjibu vizuri sana
Hee[emoji2] Piga kazi mshkaji,Si notification umeweka ONStory na iendelee basi
Utaondoka na clip uliyo mrekodi akitoka kuoga, unaweza uza sn youtube
Na michezo uwe unaiweza [emoji847][emoji847][emoji847]kwa hiyo anatushauri tuwe mabaharia kama yeye ..hahahah noo
Hahha ya kingreza hayaumagi kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shenzy zako
Ahahahaha umenichekesha mnooo hata me nashangaa hawa waleta story vipiiiiHahha ya kingreza hayaumagi kabisa
Story mbona haikuji??
Kitulize mkuu sikukuquote wewe shobo za nini. Jifunze kukituliza kishimo chiniPumba,
Unatafuta bwana Kijanja akutanue ma***ko