Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Mmesoma elimu ngumbaru nn? Ww unae yaishi maisha ndo unaweza yatafsir km mzr au la. Unaweza ukawa na pesa af unaish maisha mabaya, haupo huru, haupo salama, unamagonjwa, unakesi nk. Km unaish mazngr safi, unapata hewa saf, unakula vze, unalala pazur, una amani, afya na upo salama na mali zako. Hayo ndo maisha. Huwez shindwa kulocomote et kisa huna gari.
Umemjibu vizuri sana
 
Yeye alishaweka waz kua anaish km yupo US, ww unazungumza jamii cjui nn kwan kuna mmarekani hapa? Ndo maana mnapata taabu na Le Mutuz kwakuwa mnamsoma af hammuelewi. Fatilia watu waliosoma na kuishi Urusu, Uingereza, Ujeruman nk, wengi walikataa kurudi na waliorudi bado wameadapt maisha ya kule, mf mavaz, interaction na social issues. Ni wachache ambao waliweza kuwaflexible na kurudi km walivyokua kabla hawajaenda labda awe hajakaa mda mrefu
Watu wana kila haki kuwa outraged na kuwa critical au negative sawasawa na wale wote wanao msupport au kumkubali huyu baba au kuheshimu uamuzi wake wa kuweka private life yake mtandaoni for full public scrutiny. Ni jambo la ajabu sana kwa mtu wa background na umri wake ku behave so immaturely and in total disregard of morals, norms and standards of behavior za jamii inayomzunguka.
 
- Kumpenda on my part hapana maana toka niachane naye sijawahi ku date msichana yoyote anayezidi miaka 25, leo naanzaje kurudi kwenye miaka 52? Please nilisha move on ninaendelea, simfuatilii never ni yeye anayehangaika hangaika mimi ni mtu wa maamuzi magumu na msimamo always, ananijua vizuri sana.

le Mutuz
We una miaka 60+ unadate na below 25??? Unajiona mzima kweli?
 
We una miaka 60+ unadate na below 25??? Unajiona mzima kweli?
Me mwenyewe hua cwaulizag umri, vbnt cku hz vkoradhi kulala na yeyote ilimradi utacheua. Ndo maana inawafastrate wanawake na ndoa zao. Utandawaz umeenea, vbnt vnataka maiphone ya bei na wenye hela %kubwa ni watu wazima kwakuwa walisha kamilisha mambo yao mengi, vijana wengi wapo shuleni na wanamambo mengi ya msingi ya kufanya.
 
Hahaha, me cpendi kuongea vbaya kuhusu wanawake, ni wadhaifu na hakuna shujaa wakuwafundisha wengine. Tunapaswa kuwachukulia walivyo, tukitaka kushindana Nao ni dhahiri tunawaonea. Mm huwa nawaelimishaga tu lkn sio kulumbana nao
Kwenye swala la mke atakayekushikia bango huyo ni kula kulala na ni school boy tu.

Watu wenye uzoefu na hiyo kitu tunazijuwa changamoto zake, wengi bongo wanaishi na wake zao kwa kisingizio cha kulea watoto, hili halina tofauti na utumwa.

Tutapingana kwa hoja za msingi lakini siyo kwa hili la mke na kamwe halina mshauri hata Maprofesa limewashinda.

Irene Kiwia ndio mshauri wao mkuu, ona madudu yake ana moral authority ipi ya kuwa mentor wa wanawake?

Insanity.

Tunaaminishwa Henry Kileo ni Marioo lakini leo hii tunaambiwa anaombwa ela ya matunzo na amefunguwa kampuni yake, Marioo huyuhuyu? Kweli Wema kumanyokoo.
 
Inawezekana hao mabaharia wenzake hawakumuacha salama ndio maana anabehave awkwardly huyu le big mburulaz
 
27892524_348215422329930_2910626652767649792_n.jpg

STRAIGHT TALK LIVE:- ABOUT "MY AMERICAN EXPERIENCE"

The true story of my 25 years in USA itaendelea lakini NITARUKA SOME CHAPTERS here (Instagram) ambazo zitakuja kupatikana kwenye kitabu ambacho ninakaribia kuingia mkataba wa kukiandika na my promise is nataka kuandika Vitabu kama 5 Mungu akinipa nafasi Inshallah kuacha "MY AMERICAN EXPERIENCE" ..

Kuna "MY LIFE BEFORE GOING TO EUROPE" .."MY LIFE AS SEAMEN" ..."RETURNING HOME THE SIX YEARS" ....ninaamini the best of all kitakua ni kitabu cha "MY INSTAGRAM EXPERIENCE & DATING"...cause for sure wala sio siri kua nimeusikia ujumbe kutoka kwa Mungu wangu kua sasa saa ya KUOA TENA nimepumzika Miaka 6 bila ndoa inatosha na ninasema tena kuoa kwa Mwanaume ni lazima hamna ujanja hata uwe nani au uwe vipi Ndoa ni muhimu sana ila tu Usilazimishe relax....now ni Kitabu cha mwisho ndio nitayajibu mashambulizi yote ninayoyapitia sasa hivi maana nina mashahidi wengi sana humu Instagram wanaoujua ukweli yaani Le Wabebezz ...

It is ok in life to have fun ingawa at the same token in life hakuna an expensive fun kama ya kuwa a Play Boy as I was in the last 6 years of freedom from marriage I have lived long enough kujua kwamba in life "TUNAVUNA TULICHOPANDA" na I am a man enough never to blame anyone kwa ujinga wangu mwenyewe yaliyonikuta hivi karibuni ni matunda ya U Play Boy yaani kuwachezea Wabebezz left and right bila kujali their feelings now kulikua na Mawili aidha kuacha mwenyewe au kuachishwa na Mungu nilikua ninafikiria siku nyingi sana kuacha mwenyewe lakini Dhambi huwa ni tamu sana so nilikua nasua sua then Mungu akaamua kunipa ujumbe live and Clear..

Ninasema Dhambi ni tamu cause guys dont get twisted SEX BILA NDOA NI DHAMBI hata useme nini that is the bottom line it is a FACT I know it .so ndio maana sikujiua kama wengi walivyotegemea au kukimbia cause nilijua kua yaliyonikuta nilijiletea mwenyewe ninamshukuru Mungu cause ningeweza kupata HIV au Magonjwa ya ajabu lakini Mungu ananipenda sana ndio maana akanipa ujumbe kwa njia aliyoitumia bila madhara makubwa kama yaliyowahi kuwapata wengine waliokua Play Boys like me ila sasa nimeacha nataka kuoa tena ila NINAJUA THE RULE KUA HUMUAINIKI MCHUMBA KWENYE SOCIAL MEDIA! -

Le Mutuz
 
Back
Top Bottom