Jolie Jolie
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 7,406
- 13,806
Kwa kweli tusamehewe,ni kutokujua,apo kwenye kudhalilishwa mama ndo pameniumiza,mana kama ningekua mimi mama angu ndo anafanyiwa hivyo,saiv nipo gerezani kwa kesi ya kuua[emoji125] [emoji125] [emoji125]Duuh,Le mutuz sasa unatuliza machozi,kiumbe wa mungu kupitia yote haya!!!!!!!!!! Putting myself in your shoes ningekuwa nimeshajinyonga-God bless you,na utusamehe tuliokuhukumu negatively before