Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

upload_2018-3-3_9-26-34.jpeg

PART 68:- "MY AMERICAN EXPERIENCE"
Baada ya hii Chapter ninabakiza 2 za mwisho to PART 70 na nitagusa tu yanayohusiana na USA cause niliyoyapitia hapa Bongo toka nirudi ni kitabu kingine kabisa .... Now back to USA my ex akazikataa Dola 200 nilizowatumia watoto akadai kua kwanza ni ndogo na pili rafiki yangu anamdhalilisha sana kabla ya kumpa kool nikamuambia Peter basi watafute watoto wape kwa siri my ex alijua hilo so akamtegea Peter alipoenda kuwapa yeye mwenyewe akamshukia na kuanza kumtukana huku akimtupia zile pesa kua hataki tena kutumiwa pesa watoto na kwamba ni mwanzo na mwisho hata mimi kuongea na Watoto wangu ..nikamuambia Peter zirudishe haraka cause huku Bongo Dola 200 ni nyingi sana nikamuambia ni bora nilikuonya mapema kuhusu my ex kua tunaweza kuishia kugombana sisi wanaume bila sababu kisa ujinga wake tu ...

Well my thinking was the same my ex anataka kunivuruga akiwa USA mimi nikose Amani huku Bongo, no way sitampa hiyo nafasi. Nikakata mawasiliano ya aina yoyote na anyone anayemuhusu ila the next thing akaanza kunifuatilia kwenye mitandao, akagundua nina rafiki msichana mbongo anayeishi South Africa. Akaanza kumfuatilia mpaka akamuomba urafiki inbox then akaanza kunichafua kwa msichana yule. Mbebezz akawa ananitumia screen shots ..

Now Dada yake my ex anayemuuzia biashara yake Bongo naye akawa ananitukana sana hasa Facebook so nikamtumia zile sms za mdogo wake nikamuambia tu mwambie aniache kama kweli kaniacha anahangaikia nini sasa kutafuta Bebezz zangu.hahahaha... My ex akaendelea na mashambulizi Jamiiforums ambako aliungwa mkono sana na watu kule wasioelewa anything. Then nikasikia amepata Bwana amebadili Dini na kua Musilamu so kaolewa kwa siri Manispaa na kua mke wa pili.

Nina rafiki yangu ambaye mke wa kwanza wa huyo Bwana ni mdogo wake so but I could careless cause now my ex was never my problem tena ingawa kabla hajaolewa alijaribu kumtumia rafiki yangu Davis Mosha ili nimrudie I was like Davis you are not serious yakaishia hapo hapo ...now after 2 years kikatokea nilichokua nakisubiri sana nilijua my ex atapigana sana kuja Bongo likizo na Watoto kuonyesha kwamba she is strong hahahha na anaweza hata peke yake kwa bahati nzuri sana!

..ITAENDELEA
 
Le Mutuz ni uongo sana sana DMI pale alishindwa mitihani, kidato cha nne alifeli kwa kupata Division zero.

Nimesoma porojo zake IG simply ni mtu anayerubuni watu kwa kutafuta huruma na excuse ya kushindwa kwake Maisha
 
upload_2018-3-3_9-47-39.jpeg

PART 69:- "MY AMERICAN EXPERIENCE"

Mama yake mzazi kupitia mjumbe alinifahamisha kua watoto wanakuja na ex nifanye kila ninaloweza kuwaona. Nilikua Batannn Arusha now nilijua kua yale ni mawazo yake Mama hakua anajua mawazo ya mtoto wake cause mtoto wake alikua anakuja kuionyesha Dunia kua ana uwezo na nuguvu. After 25 years in USA I knew better kua anajikaza na madeni juu lakini all and all nilijua kua the last thing ni hataki nikutane na watoto maana ndiyo silaha pekee aliyobaki nayo over me.

Nilijua kabisa kua hatakubali kuwaruhusu but nisipoenda then nitampa nafasi ya kunitukana mpaka mwisho wa Dunia kua sikuwajali hata kuwaona. Nikaongea na mjumbe ambaye ni mume wa dada wa my ex kuwa wakifika nitakuja yes siku ya siku nikaenda pamoja na jamaa mpaka kwa Mama yake na my ex alikuepo ila watoto hawakuwepo walikua nyumba ya pili kwa Dada wa my ex ...Mama mzazi wa my ex akaanza kumpa darasa zito sana my ex uso kwa uso kua hao "Watoto Dunia nzima inajua kua ni wa William na una bahati mbaya sana huyu mtu ni maarufu sana huna ujanja acha ujinga mpe watoto wake" the next thing I know my ex alikua analia huku anamfokea mama yake kwa maneno makali sana ...

Ok mama akaniambia niende nikawaone watoto kwa dada yake lakini nimuwahi my ex kabla hajawafikia maana na yeye aliondoka nikamuambia HAPANA siwezi kufanya hivyo muache atangulie afanye analotaka nao then nitaenda na kweli my ex akatangulia tulipofika na Shemeji yake watoto wakagoma kabisa kusalimiana ...hahahaha....it was the biggest joke of my life nikamuambia Shemeji yake turudi kwa mama wa my ex nikasawazishe tukarudi nikamfahamisha mama yake yaliyojiri na nikamuambia sitarudia tena kuja pale kuhusu watoto mpaka mtoto wake atakapoamua ila ninamuachia ni wake. ..

Now wakati tunaondoka tuakawakuta my ex na kundi kubwa la Wanawake wamejipanga wamekazia macho ndani ya gari langu nilijua wanachokitaka nikaanza topic ya kucheka makusudi wakati ninawapita nilikua nina tiketi ya ndege nikaruka to Mbeya nilijua kitafanyika kikao cha ukoo wao wataishia kuniita which they did nikawaambia nipo busy Mbeya sitarudi karibuni nikasubiri mpaka my ex ameondoka kurudi USA jioni nikarudi na ndege ya asubuhi akagundua hilo!

..ITAENDELEA
 
Le Mutuz ni uongo sana sana DMI pale alishindwa mitihani, kidato cha nne alifeli kwa kupata Division zero.

Nimesoma porojo zake IG simply ni mtu anayerubuni watu kwa kutafuta huruma na excuse ya kushindwa kwake Maisha
Huko uliko wewe kwnye malumbano wenzio tulishatoka! [emoji41][emoji16][emoji3]
Huko sijui DMI, sijui mambo ya kudanganya ubaharia.., sijui takataka gani sijui... huko kooote wenzio tumeshapavuka! [emoji3][emoji3][emoji16]

Kwanza le kokobanga mwenyewe wengine hata kumjua hatumjui.

Hapa tunasoma story yake, na story ni nzuri wengi tumeipenda! [emoji8][emoji13][emoji13]
So, ukianza kuleta hizo zako za DMI sijui nini... ni kama unajichoresha tu!

Kama hujapenda story, potezea. Au kama una bifu na Le Kokobanga; pambana na hali yako, usituhusishe!

Be humble!
U know!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
View attachment 703984
PART 66:- "MY AMERICAN EXPERIENCE"
Picha ya maneno yanayoniongoza sana in my life ...Swiss Air ikaruka from Zurich I was happy that kuondoka kwangu USA kumeacha a big impact sikua na wasi wasi sana. Nilijua wasioelewa watakuja kuelewa tu baadaye kilichotokea lakini yalikua maamuzi magumu mazito I had to take kujilinda mimi kwanza. Kwa mara nyingine nikajifunza its not about Mali na Dunia its about Peace Of Mind First ..

Now nikaanza kupiga picha ya nitakapofika Bongo yes Baba yangu alikua anajua na nilikua ninafikia nyumbani kwake Seaview kwa sababu nyumba yangu Kinyerezi haijaisha lakini hata ingekua ningeanzaje? ..baada ya kumnunulia zawadi Baba yangu Duty Free nikawa nimebaki exactly na Dola 1000 tu! Kila nilipojaribu kufikiria Bongo akili ilikua inagonga ukuta nikaamua kuacha kabisa kufikiria Bongo na kujali kufika kwanza na Amani yangu kwanza mengine baadaye.

Nilikua ninajua Uadui wa baina yangu na Dada zangu from my Step Mother lakini sikujua how big umefikia mpaka nilipofikia nyumbani kwa Baba yangu ...nikafika JKN straight home ilikua usiku nikapewa Chumba nilichoishia kuishi kwa Mwaka mzima huku nikiwa natafuta Apartment Mjini kimya kimya bila kumuambia mtu. Isipokua nikatulia sana baada ya kufika nilikua nalala sana Maisha yangu yote nilikua nakimbia Maili 10 kwa siku kila asubuhi lakini toka matatizo ya my ex yaanze nikaacha...

Baada ya Wiki moja tu ya kupumzika nikaanza kupiga hesabu wapi pa kuanzia? Nikaenda GMO pale Samora Avenue nikanunua a Used Laptop aina ya Dell nikafungua "LE MUTUZ BLOGU YA WANANCHI". Makelele kutoka USA yakawa yanakuja kwa magunia duh sikuamini my ex genge lake waliposikia nimefungua Blog wwkaandika Barua Interpol na Google kuomba ifungwe kwa bahati nzuri Ofisa mmoja mkubwa wa Serikali anayenifahamu akanionyesha Copy iliyotumwa Kitengo kimoja Serikalini..

The next thing is my ex ikawa inabidi asaidiwe na Serikali na ili kupata ule msaada kutoka kwenye my penshion ilikua ni lazima mimi nisaini makaratasi fulani ya Serikali kumruhusu asaidiwe so akamtuma Kaka yake aliyenifuata kwa upole sana nimsadiie kusaini ila nilitakiwa nikayasaiini Ubalozi wa USA nikaenda nikasaini bila ubishi akaanza kusaidiwa na baada ya kama wiki 2
..ITAENDELEA
Anayejua ukweli wa mhusika ni mhusika mwenyewe! Aisee, brother I respect u sana. Ninasoma na kujifunza mengi kwako! U are the man whom others should learn manhood! Bravo!

Will buy yo book no matter what!
 
Huko uliko wewe kwnye malumbano wenzio tulishatoka! [emoji41][emoji16][emoji3]
Huko sijui DMI, sijui mambo ya kudanganya ubaharia.., sijui takataka gani sijui... huko kooote wenzio tumeshapavuka! [emoji3][emoji3][emoji16]

Kwanza le kokobanga mwenyewe wengine hata kumjua hatumjui.

Hapa tunasoma story yake, na story ni nzuri wengi tumeipenda! [emoji8][emoji13][emoji13]
So, ukianza kuleta hizo zako za DMI sijui nini... ni kama unajichoresha tu!

Kama hujapenda story, potezea. Au kama una bifu na Le Kokobanga; pambana na hali yako, usituhusishe!

Be humble!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mzeee wewe bana.
Thread imeletwa hadharani , kisha unataka kunipangia cha kujadili?

Unazeeka vibaya Mr zero
 
Le mutuz hii historia weka kwenye kitabu ili watoto wako wakikua, wakawa na akili timamu za kiutu uzima waje wawe mahakimu/judge kati yenu, waujue ukweli. nina uhakika x wako atakuwa amewalisha watoto sumu mbaya sana ambayo wakija kuwa watu wazima wanaojielewa na kupambanua, wakija kupambana na maisha na kuwa na uwezo wa kujua nini maana ya mahusiano au ndoa, sumu hiyo inaweza kubackfire kwa x wako akaonekana kituko na mtu aliyesababisha watoto waishi maisha wasiyotakiwa kuishi. wanawake ni viumbe wa ajabu sana.
 
upload_2018-3-3_10-24-46.jpeg

PART 70:- "MY AMERICAN EXPERIENCE"
Baada ya kuondoka kwake tu my ex siku moja ofisini kwangu akaja mtu aliyejitambulisha kua ni Mwanasheria wake, akasema kamtuma tupange namna ya kugawana Mali zangu hasa Shamba na Nyumba yangu kule Kinyerezi. I almost fainted WHAAAT? nikamuambia yule Mwanasheria arudi kesho yake tuongee alipokuja nikamuwekea Makaratasi ya Mali zangu zote mezani na kumuomba anionyeshe ipi inayo onyesha mimi na yeye tunamiliki Mali zangu pamoja? nikamuonyesha Mlango alioingilia kua siku akirudi tena ofisini kwangu nitampa kipigo cha mbwa mwizi jinsi nilivyokua nimemchenjia ujumbe ulifika hakuwahi kurudi tena ...

Nilijua hasira ya my ex kushindwa kunipata kwa kuwatumia watoto kitawaka moto kweli alipofika tu USA akaanza matusi mapya ya kutisha hasa kwa Marehemu Mama yangu alitukana hasa sikua na wasi wasi cause asingefanya hivyo nisingejua kua nimempata at her games ..kinachomuumiza sana ni pesa anapenda pesa na pesa anazotumia sana ni za biashara ambazo yeye alikua amepanga kuzitumia kujifanyia mambo yake binafsi kashindwa cause nilimuwahi nikakimbia ...hahahaha...

Guys amkeni usingizini, ninayoyasema hapa huenda yanakukuta now au yatakukuta mbele ya safari. Usikubali kuangamizwa na Mwanamke mjinga kwa kisingizio cha maadili au Uanamme. Huwezi kua Mwanaume Mungu anayetaka uwe kama hauna Amani kwa sababu ya mke wako au mpenzi wako ...NA KUMBUKA SIKU ZOTE UKIONA MPENZI WAKO KICHWA KINAMUOTA MAPEMBE UJUE ANA SPARE TAYARI ....dawa ya Mwanamke mjinga ni kumuwacha hapo hapo au utaumia na ukimuwacha usiangalie nyuma tena utaumia na hasa OGOPA MWANAMKE MWENYE TAMAA YA MALI na OVER AMBITIONS, huwa hawajui wanalolifanya ingawa wao hujifanya wanajua sana utawasikia "I WANT TO BE FINANCIALLY SECURED", ukisikia Mwanamke anaimba hizi nyimbo kimbia utaumia ...

Imenichukua Miaka 4 ku overcome Completely yote niliyopitia kwenye ndoa ...yakikukuta tafuta ushauri usijifanye Mwanaume sana utakufa sio wanaume wote wapo kama mimi ambaye ninaweza kubeba maumivu bila kulia lia nikijua kua nitayavuka na ni muhimu kuyapitia for my own good....leo nipo tayari kuoa tena siogopi cause Mwanamke mmoja tu hawezi kunifanya kuacha kupenda wapo wanawake wazuri wa roho na tabia!

* * * * * * * * MWISHO! * * * * * * * * *


- Le
 
Mzeee wewe bana.
Thread imeletwa hadharani , kisha unataka kunipangia cha kujadili?

Unazeeka vibaya Mr zero
Kwanza mi sio mzee, hata 40 yrs bado sijafika! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ila tu sipendagi mambo ya kichawi-chawi kupekenyua pekenyua maisha ya watu kama ulivyofanya wewe!

U know!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji13][emoji13][emoji13]
 
Le Mutuz ni uongo sana sana DMI pale alishindwa mitihani, kidato cha nne alifeli kwa kupata Division zero.

Nimesoma porojo zake IG simply ni mtu anayerubuni watu kwa kutafuta huruma na excuse ya kushindwa kwake Maisha
Sikumbuki kusoma sehemu aliyoandika kuwa kasomea ubaharia DMI,ila unaweza kutuwekea ushahid wa hiki unachomtuhumu ....... otherwise mtakuwa ni wale wale mlioshindwa ,
Kwa pembeni tuendelee na hizo unazoita porojo ila sisi tumetokea kumuelewa sana
Boma yee. Nye Nye ni kiboko yenu
 
Ushahidi Fika DMI pale Jirani na bandari.

Katika yote Le Mutuz hajawahi kugraduate kwa kua IQ yake, ubongo wake na ufahamu wake umefumaa
Pamoja na kuwa mimi si shabiki wa lemutuz ama mtu yeyote lkn kusema ukweli The way umeandika umeshindwa kuficha chuki zako juu ya Huyu jamaa. Maneno "ubongo na ufahamu wake umefumaa" yameondoa kabisa uwezekano hata wa mtu mjinga kukuamini wewe.
 
Pamoja na kuwa mimi si shabiki wa lemutuz ama mtu yeyote lkn kusema ukweli The way umeandika umeshindwa kuficha chuki zako juu ya Huyu jamaa. maneno "ubongo na ufahamu wake umefumaa" yameondoa kabisa uwezekano hata wa mtu mjinga kukuamini wewe.
Nimchukie kwalipi failure WA Marsha, fikra na nidhamu.
 
hongera story yako ni nzuri, ila mwanamke wako aisee ni kichwa maji sana. hata hivyo, tumesikia upande wa kwanza, kwetu sisi wanasheria umetuaminisha kuwa mwanamke ni wa aina hiyo, tukisikia upande wa pili nao ulete story yake hapa, usijeshangaa mambo yanabadilika ghafla. kwetu sisi wanasheria, huwezi kuamua kesi kwa kusikiliza upande mmoja, kila mtu ana story yake, lakini kwa harakaharaka, kwa kadiri nilivyoanza kukufuatilia nimeamini wewe huwa unaongea kilichopo moyoni na kuna uwezekano mkubwa ukawa mkweli.....umeshaestablish primafacie case inayohitaji x wako au watu wengine wanaokujua upande mwingine wajitetee ili jamii itoe hukumu kwa either kujifunza au kuwakosoa. but generally, kuna jambo kubwa sala la kujifunza kwenye maisha yako, na kwa mwili wako huo angekuwa mtu mwingine angeshakufa kwa pressure zamani sana, au angeshapata stroke...utakuwa uliumia moyo sana.
 
hongera story yako ni nzuri, ila mwanamke wako aisee ni kichwa maji sana. hata hivyo, tumesikia upande wa kwanza, kwetu sisi wanasheria umetuaminisha kuwa mwanamke ni wa aina hiyo, tukisikia upande wa pili nao ulete story yake hapa, usijeshangaa mambo yanabadilika ghafla. kwetu sisi wanasheria, huwezi kuamua kesi kwa kusikiliza upande mmoja, kila mtu ana story yake, lakini kwa harakaharaka, kwa kadiri nilivyoanza kukufuatilia nimeamini wewe huwa unaongea kilichopo moyoni na kuna uwezekano mkubwa ukawa mkweli.....umeshaestablish primafacie case inayohitaji x wako au watu wengine wanaokujua upande mwingine wajitetee ili jamii itoe hukumu kwa either kujifunza au kuwakosoa. but generally, kuna jambo kubwa sala la kujifunza kwenye maisha yako, na kwa mwili wako huo angekuwa mtu mwingine angeshakufa kwa pressure zamani sana, au angeshapata stroke...utakuwa uliumia moyo sana.
CC case
 
Back
Top Bottom