Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Hahahaa nimecheka haya majibu yako,jamaa sijui amechelewa wapi wakat i malumbano yamepamba moto,saiv pamepoa anakuja kubishana kivivu[emoji23] [emoji23] walikuwepo walioshupaza shingo,saiv wanasoma tyu kimya kimya
 
Kila siku unaipiga promo online radio lakin haianzi.. Mwaka unakataika hahaha le muongozzz
 
Mzeee wewe bana.
Thread imeletwa hadharani , kisha unataka kunipangia cha kujadili?

Unazeeka vibaya Mr zero
Uzuri tumeshakujua wewe ni mmoja wa mashetwani aliokua akipambana nayo Le kokobanga ila umeamua kuja kivingine. Za kuambiwa changanya na za kwako. Pambana na hali yako shetwani wahed!!
 
Yaan bora alivyoondoka huko usa
 
Once again! U are more than a man! Mungu na akulinde daima!
 
Asanteni kwa wote mliotuleletea story kutoka insta mbarikiwe sana

Le mutuz story yako inafundisha sana sana na pole kwa changamoto ulizopitia we ni mwanaume
Ambaye hajamuelewa Le Mutuz ni kichwa panzi, le mburura wa kiwango cha juu. No matter how wrong he might be, Wilium yuko vzr kichwani!

Kuna wanawake kwa kweli ni hatari zaidi ya nyoka!!
 
Publish hicho kitabu,mimi sio bookworm kihivyo-lakini I can sense a good read miles away.Humu JF nilishawishika kununua kitabu cha "The life and times of A Sykes'-it opened my mind on so many aspects of the motherland.Kitabu chako ninakingoja kwa hamu at whatever cost.
Nime notice kwamba your Daddy hujamgusa,yaani umemfanya Saint-I think to be fair na yeye somewhere along the route hakucheza karata zake vizuri,for the sake of parity-itabidi naye umuingize kwenye dock-ili wasomaji tujue haki imetendeka
 
Kinachoumiza kumkosanisha lemutuz na watoto wake na watoto wenyewe waliacha umri mkubwa wanaojielewa
Ni ujinga kupigana na asili. Watoto kuwajaza usheteni wa kumchukia baba yao ni dhambi mbaya sana! Watoto wajiongeze, wamsome baba yao vzr hasa kwenye kitabu atakachoandika ili wawe na maamuzi mazuri juu ya mama yao asiyejitambua!
 
Out of topic...lakini naomba nikuulize hivi ni wewe avatar yako ilikuwa imewekwa miguu...ni offence given
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…