kama ni kweli am sure wa miaka 57 wenzake wanatamani kuwa kama yeye!Anasema zamani kulikua kilikuwa hakuna digree ya leseni ok
Lemutuzi mwisho wa hayo ma digree ilikuwa miaka ya 1972
Kwa hiyo hadi umalize standard 7 na secondary kisha chuoni kwa hiyo umezaliwa mwaka 1956
Huyu jamaa ni babu wa miaka 57 kutokana na story yake ya chuo cha ubaharia
Swissme
Hebu wewe jaribu leo kukesha halafu lala saa 11 alfajili uweke alarm ikuamshe saa 12 asubuhi then oga ingia mtaani kesho uje utupe ushuhuda ulichokiona ndio utajuwa tofauti ya tantalila na fact.Ndugu Yangu haya mambo ya kubet yameharibu kabisa ubongo wa vijana wetu ukiondoa na ule uvivu asilia.... hajui watu wanafanya kazi tofauti tofauti huko duniani kwa masaa 23 na analala only one hour.
Yeye akilala saa sita usiku baada ya kutoka kubet anaamka kesho yake saa nane mchana anaenda kubet akitoka hapo pull table mpaka saa sita tena.
Sad.
Maneno mazito sana haya kutoka kwa Lemutuz.Niligundua siku nyingi sana toka nikiwa mdogo kwamba I was born different nilizaliwa Mwanaume tofauti sana Mama yangu mzazi na Mama yangu wa Kambo originally walikuwa ni marafiki wa damu walioishia kuzidiana Akili na kugeuka kuwa maadui wa Ajabu na mimi nikawa caught up in the middle ya Uadui wao na the worst is Mama yangu wa Kambo was very educated as opposed na Mama yangu Mzazi ingawa wote leo ni Marehemu lakini kivuli cha Vita yao ninapigana nacho mpaka leo na ndipo Mange anapoingia in my picture cause ni agent tu wa hicho kivuli cha Shetani anayenisumbua toka utotoni kutokana na Vita kali ya Urithi wa Mali za Baba yangu ni Vita ya ajabu na ya kitoto sana inayowahusisha watu wengi mpaka waliosoma lakini wamefunikwa na Chuki dhidi yangu ambayo ni purerly Foolish and unfounded just UNCALLED FOR ....
Mbona nafanya hivyo mara nyingi tu kama nikipata series kali nakesha nayo afu alfajiri naamsha chombo na nakua fresh kabisa kutwa nzima.Hebu wewe jaribu leo kukesha halafu lala saa 11 alfajili uweke alarm ikuamshe saa 12 asubuhi then oga ingia mtaani kesho uje utupe ushuhuda ulichokiona ndio utajuwa tofauti ya tantalila na fact.
Huyu jamaa hapa aliongea points but ukimwonyesha hii clip ss hivi anaweza akakana alichokiongea hapaHuyu jamaa anapenda kula mpaka basi,
Katika pita pita zangu mtandaoni nikakutana na interview yake moja na mtu mzima Pascal Mayalla basi huyu malechela jr anagonga interview mdomoni kabugia
Nyinyi ndio wale vibaraka wake kwenye kile kiblog chake uchwara?Daah..!,kusema kweli baada ya kupita kwenye hili andiko nimemrespect sana huyu Bro,,before nlikuwa namchukulia tu kama mshikaji mzembe ambaye amepata mbeleko ya life hasa kwa kuzingatia nafasi aliyokuwa nayo mzee wake ndani ya Chama na Serikali,,kumbe ni bonge la mpambanaji..!
Kwa mujibu wa passport anamiaka 58
Nakuja pmNna kadude kananata sana kakiingizwa kitu af kichomolewe kinatoa mlio ule wa n'doooo yan km umeingiza kdole kweny chupa ya soda
Mkuu umenena.Mwenye chuki namba moja yupo pale magogoni.
Sasa jiulize tena tatizo lake ni nini mpaka atake binadamu waishi kama mashetani?
Hatar sana!Hahaha SMART LIFE,SMART PEOPLE always humble you kno[emoji23]
Lekokobanga,lemobimba na nye nye nye!!
Sorry Chief kama nimekukwaza,,mimi hata sijui kama ana blog,coz mara nyingi taarifa zake huwa nazisoma hapa hapa JF na ndo nikapata kufahamu kumbe jamaa ni mtoto wa Waziri Mkuu MstaafuNyinyi ndio wale vibaraka wake kwenye kile kiblog chake uchwara?
Mtu ameondoka Tanzania kafunga mkanda unasema ni mpambanaji?
Uliza mabaharia kipindi hicho ni lazima uingie mamtoni kwa store away melini, na ukikutana na Warusi wakikutowa chimbo wanakutosa baharini unabaki kuwa historia.
Ok tunasubili part ngapi sijui inayofuata tuone simulizi yeye na mke wake Neema Ngwilulupi walikutana wapi? Ni New York au wapi?
Na je ni kwa nini Neema Ngwilulupi ameajiliwa kwenye Tanzania mission New York wakati hana sifa je ilikuwa ni influence ya nani? Alipata kazi kabla ya kuwa mkwe wa Malecela au baada ya kuwa mkwe wa Malecela.....
Nitarudi, leo tupo hapa.
Nina imani page zimeshafika 10 sasa sauti za umeme zitashuka kuja kutililika hapa.
Tika.boye.na.makamboHahaha SMART LIFE,SMART PEOPLE always humble you kno[emoji23]
Lekokobanga,lemobimba na nye nye nye!!