hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
hahaaaaAjakaa New york huyu mbeba box [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaaaaAjakaa New york huyu mbeba box [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Jamaa ni muongo sana hajawahi kua mkweli,yeye ni super billionea wa uwongokwa hiyo child support inakomba mshahara wako wote?...acha uongo wewe
Ila jamaa anayo familia au hana kabisa??familia ya nn ..hata Albert Einstein hakuwa nayo ..kinacho muhukumu NI matumizi yake ya akili
PART 10:- "MY AMERICAN EXPERIENCE" .
.kesha Saa Kumi Asubuhi nilikua nimeshafika Yard at the Bronx Terminal nikaanza mazoezi ya kuendesha ili nikafanye mtihani rasmi wa kuendesha nishinde nitimize ndoto yangu ya kuwa na kazi ya Uhakika na Mshahara mzuri yalikua yamebaki masaa 3 yaani from Saa Kumi Asubuhi mpaka Saa Moja Kamili.
Niliyopangiwa kuingia mtihani so hapa Yard nilikua najaribu kukumbuka kila kitu kinachotakiwa ili nikifanye kwenye mtihani niweze kushinda so Saa Kumi na Mbili na Nusu Errol Mzee Mjamaica aliyenifundisha sana hii kazi alikuja na ndiye aliyekua ananipeleka kwenye mtihanl maana ni lazima uende na Dreva mwenye Leseni.
Mzee Errol akaniambia "African najua utashinda na afanya mambo makubwa sana yako maana una akili sana" akaniuliza "Hivi Waafrika wote wana Akili kama wewe?" sikumjibu kitu zaidi yan "Twende kwenye mtihani imebaki Dakika 30.
tukaondoka mimi naendesha yeye amekaa pembeni tulipofika mahali pa mtihani Inspector Maalum toka New York City Department of Motor Vehicle akaingia ndani ya Truck akimuashiria Errol kushuka na yeye akakaa pembeni akaangalia makaratasi yote yanayohusika na akaniuliza "wewe ndiye ulikua unaendesha mlipokua mnakuja?" nikamjibu "Ndio" kwa mshangao mkubwa sana Inspector akaniambia "Jinsi ulivyokuja hapa mpaka uka Park hili truck sihitaji hata kukufanyia test maana nina kazi nyingi sana so nakupa leseni yako.
I almost fainted kwenye kiti cha dreva nilipakua nimekaa infact machozi yalinitoka sijuii kwa nini Boom Inspector akanipa mkono na kunitakia heri "Good Luck".
Mzee Errol akarudi na kuniuliza kwa mshangao kwanini sijaenda naye kwenye mtihani? nikamuambia kilichotokea ...
Dina mmiliki wa Kampuni yetu American Harzadous Waste Inc. akapiga simu hapo hapo kuulizia matokeo nikamuambia kuwa nimefanikiwa akaniambia ukirudi ofisini nina zawadi yako..
.Mzee Errol kwa mshangao makubwa sana akaniambia African mpaka Mzungu mwenye Kampuni anafuatilia leseni yako? You mean a lot to those White folks" akaongeza "ukiona Mzungu anakufurahia mweusi hivi ujue kesha ona potential yako ya kumuingizia pesa tukarudi Yard nikaagana na Mzee Errol nikaenda ofisini kwa My Big Boss Dina ...ITAENDELEA! 11
naskia ametelekeza familia huko USA..but kwakuwa maneno yenyew nimeyaskia kupitia kwa watu sitaki kuamini zaidi hilo...!!?Ila jamaa anayo familia au hana kabisa??
[emoji2] step mother nahisi alikuwa amehodhi kila kitu mkuu.inawezekana alihitaji mbeleko akatoswa...you never know
nawaza na kuwa huwa wanauza unga wa muhogo.am I an asshole too please nisaidie kunitoa ujinga au wengine huwa ni punda wa kubeba unga wa chakula.vipi ni kweli or iam still an assholeKatika story yoote haya ndio unayowaza ?? Poor you na akili yako ya ki shithole.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwa hiyo kimjamaa kimekuwa kama kiba.....100nilikuwa nimetoka kuoga maji ya baridi u know
hahaaa safii kabisa[emoji119]
Nimekosa mamushka sitarudia tena
Nilijua kam mim nilivo na mda mchafu nikajua na wew unao mda mchafu kumbe mda ako ni msafi (wcb)[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji119] [emoji119]
UMEGUSA AMBAPO HUWA NAPALENGA KABISAA KTK MAISHA YANGU ..HUWA NAWAAMBIA WATU KUWA SITAMANI KUWA MTU ASIYEJITAMBUA..ILA NATAMANI MAISHA YAWATU WASIOJITAMBUA..NASBABU KUU ZA KUTAMANI MAISHA YAO NI KAMA HIZO ULIZOZIELEZEA HAPO ...Watu km Lemutuz huwa waishi miaka mingi na yenye kwakua wanaishi maisha yasiyohitaji stress. Kwa wengine itawasumbua lkn ni kwaajiri yake na afya yake. Siwezi kuishi km yeye lkn ni mtu anae take things easy af anasonga. Tunaishia kupata stress, magonjwa hatimae vilema na pengine vifo kutokana na kufikiria kuhusu watu wengine mf. familia, mke, watoto, majirani, marafiki na hata jamii zinazo tuzunguka ndo sababu kubwa znazofanya hata wengine kuchanganyikiwa au kunywa sumu. Wanaweza wakawa wanakusema au wewe mwenyewe ukawa unajistukia kuwa labda wananionaje, au wananidharau n.k. Unaweza ona wenzio uliosoma nao wapo mbali kimaisha ww bado, wengine ni Mawaziri lkn ww hata uwenyekiti wa s/mtaa huna, wengine wamejenga wewe huna hata sehemu ya kulima bustani. Tunapaswa tuishi kwa imani kuwa Mungu ana wkt wake na kumshukuru kwa anachokupa kwa wkt huo na kufurahi kwakuwa afya yako bado ni njema, burudika, cheza Mziki, lala usingiz mnoono huku ukiendelea kumkumbusha Mungu kitu ulichokua unamuomba maishani mwako.
hahaaaHistoria ya maisha inaanza
Kazaliwa then shule.....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huyu le kibamia maisha yameanzia baharini [emoji38]
Mkuu,kuna vitu ameficha between the line au ni story for purpose