Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

PART 20:- "MY AMERICAN EXPERIENCE"

maisha ya UMARIO yalikua yamenichosha by miezi 5 ya kuishi na Niggaz nilikua tayari nimeshachoka kutunzwa na Bebezz na besides tabia zao Niggaz like vyakula vyao ni makopo tu na kununua Fast food hawapiki msosi fresh halafu ni Wachoyo yaani nikikosea step Sometimes ninakua nimekula Chakula cha mtu Jikon.


the worst of all Familia nzima wakaanza ku behave kama vile wananimiliki lakini nikakutana na another Niggaz Babe Janicee huko mtaani nikaanza kupendana naye siku moja tu nikaamua kua nataka kuhama.


nikatafuta Apartment ya Vyumba 2 this time nikahamia North Side yaani Uzunguni nikahamisha magari yangu nguo zangu kimya kimya bila kelele boom l was gone now ndugu zake hawakujali sana ila Mama yake mzazi aliumia sana na yeye mwenyewe Mbebezz guys in USA kwa Msichana kupata Mwanaume anayefanya kazi kama nilivyokua na serious na Maisha ni taabu sana.


86a04810baaa5a36e0e26d64e4c56c69.jpg


so now nikaanza mahusiano na another Niggaz Janice yeye alikua mzuri na educated zaidi na kazi ri Bank nikamfundish kufanya kazi mbili na namna ya kutunza pesa huyu wa Zamani nikawa namuona mara moja moja sana nilikua namkwepa ubavu wa kumuambia nimemuacha nilikua sina cause Niggaz anaweza kuku ua HOWEVER bila Green Card in USA maisha ni magumu sana.

utahangaika sana kwani kila Serikali inapobadilishwa kunakuja mabadiliko kuhusu eria za Uhamiaji yakawa ni mateso makubwa kukimbizana na Green Card so siku mojaa nikawaza sana NITAIPATAJE?.

kua tuoane kimagumashi kusudi nipate Green Card na nitamlipa ila ni magumashi tu hatakua mke kweli akakubali 100% atanisaidia na hataki hata senti yangu moja hahahaha nikafurahi sana bila kujua kumbe anafikiria idea tofauti nikaanza kuwauliza mabingwa wa huo mchezo hasa Nigerians wakanifundisha how the game is played lakini moyoni nikaanza kujiuliza ninawezaje kufanya kitu kama hicho cha kumchezea Mungu cause kufunga ndoa ya Magumashi ni kumchezea Mungu no question about it l knew better.

but sina Green Card kazini ni uaumbufu wa mara kwa mara kujaza fomu za Uhamiaji was tired and sick nikabishana sana na nafsi yangu nifanye nisifanye ....NIKAAMUA KUFANYA LlWALO NA LIWE ila nipate Green Card, ITAENDELEA!
 
Bro,ukiona mtu anakubishia inawezekana kipindi hicho alikiwepo lakini alikuwa dogo tuu,au hakuwepo mjini,inawezekana hawajui TRA before ilikuwa inaitwa custom,ukweli miaka hiyo hapo long room it was peponi,sio siku hizi njaa imejaa,kwa hiyo ukiona mtu anakubishia kwa kuamini unadanganya!!!ilikuwaga ni kawaida mtu kuacha mchongo(kazi)wa pesa nyingi hata kwenda nje ya nchi kusoma miaka hiyo nazungumzia,late 80's na early 90's
Wewe ni sehemu ya watu wajinga, TRA imezaliwa baada ya Income Tax na Customs kuunganishwa.

Angalia ujinga wako ulioandika.
 
We mburula we unafikiri wazungu wanawaza ublazamen km ngoz nyeusi. Wanaishia basketball na kuimba imba, wazungu wa marekani wanarusha wanaenda mwezi, sayarini, wanafanya mambo ya maana. Huwez kuta mabright huko wanavaa kiajabu ajabu km akina p.didy
Mmarekani gani amewahi kwenda mwezini?

Utasema Armstrong? Na bado utasema una akili timamu?
 
Mwenzako Le Mutuz ndio Encyclopedia yake.
Hahaha af watu km ninyi,mtakua mmetokea familia masikini, af umesoma kdogo, una kanyumba, na kagar na mshahara around 1M, mnakuaga na nyodo sn. Kunawatu wanapata kpato km chako na kaz wanaacha na wanaenda kutafuta fursa sehemu nyingine, wapo wanaofanikiwa wengine wanfail, shida ninini! Kwan kawahi kukuomba hela?
 
Back
Top Bottom