Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2] [emoji2] pole,kamdomo kamekuponzaStory na iendelee basi mana si wengine tumekula block kwenye insta yake hatujui chochote kinachoendelea
Yaan niliguna tu mm[emoji2] [emoji2] pole,kamdomo kamekuponza
Hivi si uliniambia utamwambia aniunblock mbona kimya tenainaendele very soon
Mmh kuguna tu ile ban,aiseeYaan niliguna tu mm
Leta vitu mkuuYap nilimwambia....ngoja nimkumbushe tena.
Ebu mkumbushe jamanYap nilimwambia....ngoja nimkumbushe tena.
Weka ya ukweliMajangaaaa....hii historia imeeditiwa kinomaa
Wewe ni sehemu ya watu wajinga, TRA imezaliwa baada ya Income Tax na Customs kuunganishwa.Bro,ukiona mtu anakubishia inawezekana kipindi hicho alikiwepo lakini alikuwa dogo tuu,au hakuwepo mjini,inawezekana hawajui TRA before ilikuwa inaitwa custom,ukweli miaka hiyo hapo long room it was peponi,sio siku hizi njaa imejaa,kwa hiyo ukiona mtu anakubishia kwa kuamini unadanganya!!!ilikuwaga ni kawaida mtu kuacha mchongo(kazi)wa pesa nyingi hata kwenda nje ya nchi kusoma miaka hiyo nazungumzia,late 80's na early 90's
Mmarekani gani amewahi kwenda mwezini?We mburula we unafikiri wazungu wanawaza ublazamen km ngoz nyeusi. Wanaishia basketball na kuimba imba, wazungu wa marekani wanarusha wanaenda mwezi, sayarini, wanafanya mambo ya maana. Huwez kuta mabright huko wanavaa kiajabu ajabu km akina p.didy
Hebu tuwekee hapa link ya hiyo account yake ya Instagram.Yap nilimwambia....ngoja nimkumbushe tena.
@lemutuz_superbrand • Instagram photos and videosHebu tuwekee hapa link ya hiyo account yake ya Instagram.
Kwangu haioneshi kitu, inanipeleka Insta lakini inakuwa plain, sasa sijui na mimi ndio nimeblokiwa wakati sijawahi hata kuingia kwenye hiyo account yake?
Si unaona hata hao wazungu wanamshangaa, nae wamemfanya kama kivutioMzee wa mapensi ya hewa
View attachment 690373
Sifanyagi ligi za kipuuzi mimi, kacheze na watoto wenzioMmarekani gani amewahi kwenda mwezini?
Utasema Armstrong? Na bado utasema una akili timamu?
Hahaha af watu km ninyi,mtakua mmetokea familia masikini, af umesoma kdogo, una kanyumba, na kagar na mshahara around 1M, mnakuaga na nyodo sn. Kunawatu wanapata kpato km chako na kaz wanaacha na wanaenda kutafuta fursa sehemu nyingine, wapo wanaofanikiwa wengine wanfail, shida ninini! Kwan kawahi kukuomba hela?Mwenzako Le Mutuz ndio Encyclopedia yake.