Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama Mange Kimambi ni DADA wa Taifa bas huyu bwana The List atakuwa KAKA wa JF
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama Mange Kimambi ni DADA wa Taifa bas huyu bwana The List atakuwa KAKA wa JF
Mamy ameshaniunblock kaniombea son of the gamba sijui ni hivyo au nimemkoseaMwendee pm huyu
Tonnes of flesh and teeth on display here. Mr Ambassador's gigantic noggin must be the size of a 15 kilo watermelon and is even shaped like one.![]()
- Unajua unanifurahisha kila wakati unaaaga hutarudi lakini unarudi, ok jana nilikua na Lunch Business na Balozi wa South Africa nchini at Hilton, kwa mtu ambaye unadai sina maisha hahahahahaha eti uliwahi kukutana na Balozi wa wapi Duniani akaacha kazi zake kuja kukutana na wewe for Business Lunch?
- Ninaishi kwenye 3 Bedroom Apartment Posta, mkahangaika wee kutangaza kua sio yangu nikawawekea risiti na ukitaka nitaiweka tena niliyolipa juzi tu, mkasema Nyumba Kinyerezi sio yangu nikawapa Hati, sasa sina Maisha niambie mwenye maisha ni nani na anaishi vipi tofauti na mimi?
- Kuishi na mke na watoto ndio kua na maisha then yes sina maisha, ila ninaishi vizuri ninakula vizuri ninasafiri ninapotaka na kwa usaifiri ninaotaka, to me my life is good na cha msingi zaidi wenye maisha mazuri wote wananikubali maana sidhani wenye maisha mazuri huwa wana muda na mtu asiye na maisha,
- Ninakujibu only for sake of others waelewe kwamba pamoja na kutumwa kwako kujibu ni kwamba huna hoja, sina pesa nyingi lakini nilizonazo zinanitoshaa mpaka kutoa ajira, ninaye mpaka House Boy kwa mtu nisiyekua na maisha hahahahaha pole sana na ukitaka ajira nifahamishe maana ndio kwanza sasa ninaanza kulipwa na You Tube wenyewe!
le Mutuz
Haaaha nakutania bhana white.... Le Nye nye hana uwezo wa kula pink pussiii [emoji4] [emoji4] [emoji4]Aiseee nitake radhi
Ahahah ila weweHaaaha nakutania bhana white.... Le Nye nye hana uwezo wa kula pink pussiii [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Haaaahhaaa..sijawahi ona umemaindShangaa na wewe wit hivi unakubali vipi kuitwa boya yaan kuna watu unawaheshimu sababu ya I'd zao ni wahenga lakini hawaheshimiki mfyuu
The list kama kawa kama dawa " BAN" mbaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ahahah ila wewe
Ahahahaha ukiona nimekereka jitu kweli limenikeraHaaaahhaaa..sijawahi ona umemaind
Acha bwana sijui kaipata wapi ila atarudi kwa nyingineThe list kama kawa kama dawa " BAN" mbaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Amesema kwamba,bimkubwa mwenyewe aliamua kuchagua maisha hayo ya Tukuyu,alimpa nyumba ya kinyerezi akae lakin mama akakataa akataka kwenda kuishi Tukuyu maisha yake alochagua.....hivi mheshimiwa waziri mkuu mstaafu, ina maana hili koloni alilisahau kabisa, akasahau hata siku ile walivyokutana? hata kumjengea kakibanda hako tu jamani, wakati huo lembebez alikuwa anakula maisha na nigaz America, story yake yote ile ya naman alivyokuwa anabadilisha wanawake marekani mamake kamsahau ivyo, no wonder laana inamfuata hakiya kweli. shukran gani sasa alimpa huyu mama, amekuzaa ukamkimbia 30 years majuu na umemwacha kwenye kijumba hicyo wewe unabadilisha volkswagen jetta. hahahaha.
Mzee wa kibamia mambo vp
Le kubwaaaa jingaaaaa...le kibamiazzzz- Ningekua nacho kweli ningeshajiua siku nyingi hahahahaha inaelekea unapenda pipe hahahaha
le Mutuz
Sasa hivi anarudi na fekero kuliendeleza[emoji23]Acha bwana sijui kaipata wapi ila atarudi kwa nyingine
Hata kwetu wanakaaga mwaka ndo wanajengea,wanasema wanasubiri hicho kipindi chote ili kaburi lititieKaka naona hapa umepotea kwa kurefer somo la Geography form 3..... Kwa sisi tulosoma Soil mechanics ndo tunaijua hii kitu..... hapo kuna kitu inaitwa Settlement na consolidation that has nothing to do with soil profile. Hivo wale wananchi wako sahihi kumshauri hvo.
Ukitaka elimu zaidi kuhusu soil behaviour usiache kuniuliza
Amesema kwamba,bimkubwa mwenyewe aliamua kuchagua maisha hayo ya Tukuyu,alimpa nyumba ya kinyerezi akae lakin mama akakataa akataka kwenda kuishi Tukuyu maisha yake alochagua.....
Kama nimeelewa tofaut mtanirekebisha[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Le kubwaaaa jingaaaaa...le kibamiazzzz
AhahahhhSasa hivi anarudi na fekero kuliendeleza[emoji23]