William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Sijasema unayoandika ni upuuzi bro. In fact its mighty entertaining stuff in my opinion. The whole damn thread.
- Do I care?
le Mutuz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijasema unayoandika ni upuuzi bro. In fact its mighty entertaining stuff in my opinion. The whole damn thread.
then what do you have for your kids to learn mkuu? na mama unayesema alikuwa UK ndo yule kwenye picha? tafadhali Le mutuz! how come toka awe kwenye uwezo wa kusafiri UK hadi kufikia kuwa vile, wewe ulikuja kustuka yuko vile au alienda UK akiwa vile, utakuwa ulistuka sana kumuona vile bila shaka na ulistuka kwasababu ni kitambo hamkuonana, 31 good years, your mother? alikuwa anatumiwa hela, hivi mama huwa anahitaji hela au wewe? hapo ulipo unaweza kutuma pesa zozote kwa wanao US lakini they need somethng bigger than that, wanataka kukuona wewe, hicho ndio kitu cha thamani....sasa unajua nashangaa kwamba una ona kitu cha kawaida tu, ulikuwa unatafuta maisha tu kukaa miaka yote hiyo bila kumwona mamako and you don't regret. ndo maana nasema inawezekana haukufanikiwa huko ulikokuwa ukarudi bongo na tumbo kubwa tu na maneno mengi kuwa wewe ni akili kubwaz mtu wa mabebez etc ila hakuna ulichochuma US miaka yote hiyo....ni laana iyo bro na haujielewi. admit it na uendelee kumtafuta Mungu akuponye. its unfortunate kwamba haujioni na hauujui ukweli huu. wazazi wetu wanatuhitaji sisi kuliko pesa zetu, na sisi tunatakiwa kuwathamini sometimes kuliko kutafuta kwetu maisha kwasababu unaweza kutafuta maisha sana ukaishia kuwa masikini kwasababu haujabarikiwa ila mwingine akatafuta maisha kidogo tu akatusua kwasababu amefuata mkondo wa baraka, na wazazi wanatoa baraka mkuu, mzazi akinung'unika unalaaniwa mzee, miaka 31 bimkubwa hajawahi kukulalamikia?.....- hahahaha My belief ni Wazazi wangu walinizaa wakamaliza kazi Dunia nimepigana nayo mwenyewe, Mama yangu was just fine kuna mengi ambayo siwezi kuyaweka hapa kwa mfano mdogo niliporudi mara ya kwanza kutoka Majuu kabla sijaenda USA nilitaka kubomoa kila kitu pale Ukonga na kumjengea upya akagoma akanishauri nijenge yangu, which I did
- Nilipoondoka kwenda USA alikua na maisha mazuri sana Dar, na alikua hata na uwezo wa kwenda UK mara kwa mara, then akaishia Tunduma ni mpaka nilipokuja kumuona. Nikiwa USA nilikua namtumia pesa za kumsaidia kilichonipeleka USA kwanza ilikua ni Elimu, na maisha yangu then ndio ningeweza kumsaidia,
- Wakati ninanunua magari yeye alikua ananipigia akiwa UK so it was fine, hakuna siku alinipigia kuniambia anahamia Tunduma na kwamba ameuza kila kitu, maneno yako ni kama yake ya kukataa msaada kisa analinda makaburi ya wazazi wake, wewe unaongea kiswahili zaidi na wale wote wenye tabia za kiswahili wanakuelewa ila with my American Spirit na knowing what I had to go through in my life kufikia nilipo wala hunisumbui,
- Marehemu Mama yangu alikua mama yangu, ila nisingeweza kumsaidia nikiwa sipo sawa na nilipofikia kuwa sawa nilitaka kumsaidia akakataa, lakini nilimsaidia as much as I could na sasa hivi nimeanza mchakato wa kumjengea kaburi, kama kuna nilipopungua Mungu ndiye atakeynihukumu sio wewe na kama ingakua ni kweli basi nisingekua na maisha niliyonayo, waliokasirikiwa na mama zao nawaona hapa mjini,
- Mama yangu asingeweza kunikasirikia kwa sababu anajua njia niliyopitia hata kufikia kumsaidia haikua rahisi,kwa maneno yako ulitaka nicha kuishi maisha yangu Marekani kwa sababu ya Mama yangu aliyeamua kuhamia tunduma, come on pole sana ninajairbu kukuelewa lakini sioni point na besides it is mylife!!
Thanks hahahahaha!
le Mutuz
Ngoja tufanananishe suraHawa ni watu wawili tofauti angalia picha vizuri na rafiki zangu ni weusi vyangara wanatumia iPhone hata siku moja hawajawahi kuwa weupe lemutuz hapa utatusamehe kwakweli
Ahahhaha me nimeshafananisha ni watu wawili tofauti hakikisha na weweNgoja tufanananishe sura
then what do you have for your kids to learn mkuu? na mama unayesema alikuwa UK ndo yule kwenye picha? tafadhali Le mutuz! how come toka awe kwenye uwezo wa kusafiri UK hadi kufikia kuwa vile, wewe ulikuja kustuka yuko vile au alienda UK akiwa vile, utakuwa ulistuka sana kumuona vile bila shaka na ulistuka kwasababu ni kitambo hamkuonana, 31 good years, your mother? alikuwa anatumiwa hela, hivi mama huwa anahitaji hela au wewe? hapo ulipo unaweza kutuma pesa zozote kwa wanao US lakini they need somethng bigger than that, wanataka kukuona wewe, hicho ndio kitu cha thamani....sasa unajua nashangaa kwamba una ona kitu cha kawaida tu, ulikuwa unatafuta maisha tu kukaa miaka yote hiyo bila kumwona mamako and you don't regret. ndo maana nasema inawezekana haukufanikiwa huko ulikokuwa ukarudi bongo na tumbo kubwa tu na maneno mengi kuwa wewe ni akili kubwaz mtu wa mabebez etc ila hakuna ulichochuma US miaka yote hiyo....ni laana iyo bro na haujielewi. admit it na uendelee kumtafuta Mungu akuponye. its unfortunate kwamba haujioni na hauujui ukweli huu. wazazi wetu wanatuhitaji sisi kuliko pesa zetu, na sisi tunatakiwa kuwathamini sometimes kuliko kutafuta kwetu maisha kwasababu unaweza kutafuta maisha sana ukaishia kuwa masikini kwasababu haujabarikiwa ila mwingine akatafuta maisha kidogo tu akatusua kwasababu amefuata mkondo wa baraka, na wazazi wanatoa baraka mkuu, mzazi akinung'unika unalaaniwa mzee, miaka 31 bimkubwa hajawahi kukulalamikia?.....
Ahahhaha me nimeshafananisha ni watu wawili tofauti hakikisha na wewe
Hao ni wawili tofauti wa wa kwanza na wa mwisho mtu mmoja huyo wa kati ni mwingine angalia vizuriView attachment 699913
Tusaidiane
View attachment 699913
Tusaidiane
Mkuu we unapenda kibamia au muhogo...nw come on dont be shyyyy...chaguo lako ni amri kwangu...Team kibamia akimtetea kibamia mwenzake.
Ni mwendo Wa kuwagongea mpaka maji muite MMA
ni kwasababu mgumu kuelewa, unajua nimemuanzia mbali sana nikijua ana akili kumbe aisee jamaa nashindwa kumweka fungu gani.
Huyu ni mtu mmoja mbona nyie ni washakunaku sana.. hamjawahi ona camera za kisasa zinavyoweza mbadili mtu.. sasa yeye atuongopee ili iweje?? Kwa mshahara upi akiongopa.?View attachment 699913
Tusaidiane
Kwanini nasra alikuacha? Yule mbabe alikuwa mkale sana.mlipendezeana sana- hahahaa sasa unmfuataje mtu ambaye unadhani hana akili? hahahaha nani ana akili mimi ninayepiga pesa humu kwenye mitandao au wewe unapoteza bando bure? hahahaha tulia mkuu usome darasa la maisha, kwenye maisha tunavuna tulichopanda tu, Baba yake Diamond anavuna alichopanda!
le Mutuz
Kumbe ulishamgegeda nasra? Ahahaaa wewe mkali u know!!![]()
- Mkuu naona umebeba sana bango na hii ishu, hivi nikikuambia huyu hapa chini ni my ex nas na picha za mtu mmoja unaweza kukubali? Drop it
le Mutuz
Very much so, Sir. Long as you keep your mouth running and the dirt flowing: thread's entertainment value is guaranteed.- Do I care?
le Mutuz
Watu wagumu kuelewaz alishasema hakuwa na makaratasi ya kurudi tzthen what do you have for your kids to learn mkuu? na mama unayesema alikuwa UK ndo yule kwenye picha? tafadhali Le mutuz! how come toka awe kwenye uwezo wa kusafiri UK hadi kufikia kuwa vile, wewe ulikuja kustuka yuko vile au alienda UK akiwa vile, utakuwa ulistuka sana kumuona vile bila shaka na ulistuka kwasababu ni kitambo hamkuonana, 31 good years, your mother? alikuwa anatumiwa hela, hivi mama huwa anahitaji hela au wewe? hapo ulipo unaweza kutuma pesa zozote kwa wanao US lakini they need somethng bigger than that, wanataka kukuona wewe, hicho ndio kitu cha thamani....sasa unajua nashangaa kwamba una ona kitu cha kawaida tu, ulikuwa unatafuta maisha tu kukaa miaka yote hiyo bila kumwona mamako and you don't regret. ndo maana nasema inawezekana haukufanikiwa huko ulikokuwa ukarudi bongo na tumbo kubwa tu na maneno mengi kuwa wewe ni akili kubwaz mtu wa mabebez etc ila hakuna ulichochuma US miaka yote hiyo....ni laana iyo bro na haujielewi. admit it na uendelee kumtafuta Mungu akuponye. its unfortunate kwamba haujioni na hauujui ukweli huu. wazazi wetu wanatuhitaji sisi kuliko pesa zetu, na sisi tunatakiwa kuwathamini sometimes kuliko kutafuta kwetu maisha kwasababu unaweza kutafuta maisha sana ukaishia kuwa masikini kwasababu haujabarikiwa ila mwingine akatafuta maisha kidogo tu akatusua kwasababu amefuata mkondo wa baraka, na wazazi wanatoa baraka mkuu, mzazi akinung'unika unalaaniwa mzee, miaka 31 bimkubwa hajawahi kukulalamikia?.....
ni kwasababu mgumu kuelewa, unajua nimemuanzia mbali sana nikijua ana akili kumbe aisee jamaa nashindwa kumweka fungu gani.
Ni kweli labda wigi litakua limemziba uso kidogoHao ni wawili tofauti wa wa kwanza na wa mwisho mtu mmoja huyo wa kati ni mwingine angalia vizuri
Mmh sawa mkuu![]()
- Mkuu naona umebeba sana bango na hii ishu, hivi nikikuambia huyu hapa chini ni my ex nas na picha za mtu mmoja unaweza kukubali? Drop it
le Mutuz
Nasra alimvuruga nini shemela le mutuz jamani?malavidavi yao yalikuwa kiwango cha lamiNi kweli labda wigi litakua limemziba uso kidogo