wow, then ni vizuri kwamba hauoni ulikosea chochote juu ya mamako, na kwamba unaona ni vyema kuanika ugomvi wako na neema. lete vitu lemutuz tusivyovijua tuvielewe. however, ukweli halisi inaonekana umemiss kitu kikubwa sana kuhusu maisha na hauelewi kama umemiss icho kitu, haujabarikiwa nacho icho kitu na haujui kuwa haujabarikiwa nacho, HAUONI UTHAMANI WA MAMA YAKO,, nilichokuwa nasema ni kwamba, kwa mwanadamu mwenye akili ya kawaida anayeishi US, mwenye uwezo wa kubadilisha magari ya garama apendavyo, mwenye kupata mshahara mzuri tu kama uliokuwa unaelezea, mwenye uwezo kubadilisha mabebz kama ulivyokuwa wewe, angeweza kusacrifice chochote ili kuspend time na mamake, wewe ni mtoto wa kambo, mamako ndio inawezekana umedumu naye kuliko babako, kwa mamako wewe ulikuwa lulu, ulikuwa moyoni mwake lakini, amesacrifice vitu vingi sana usivyovijua kwaajili ya maisha yako lakini ulipokuwa mtu mzima ulimtelekeza aishi bila kukuona (hata kama anakusikia kwa simu etc na unatuma vihela) for 30 good years ukaona si bora kusacrifice umarekani ili urudi, and still unaona haujafanya kosa, hivi vijana wadogo wanajifunza nini kwako kwa kutokukubali kosa kama funzo kwa wadogo zako, ninaamini mamako alikuwa anakupenda sana na ulikuwa moyoni mwake, ulikuwa wa thamani mno kwake na alitegemea vingi kwako na si ajabu alitamani awe anakuona mara nyingi lakinni wewe ulimtupa 30 years ati unatafut amaisha? SI N DO MAANA MAISHA YENYEWE HUKUYAPATA ukarudi bongo na pumbuu tu mzee, na still hauoni unatakiwa kukiri kosa ili wadogo zako wajifunze, ivi unajua inafika kipindi naamini le mutuz either umeathirika sana na aina ya maisha uliyoishi na kuna nati fulani zimelegea au pengine hauna akili? una moyo kweli wewe mwanadamu uliyelelewa na mamako tu unaishi 30 years mbali ati usingeweza kumsaidia sana kwasababu ulikuwa unatafuta maisha yako kwanza, yeye angeamua kutafuta maisha yake kwanza badala ya kukulea wewe si ungekuwa msengee wa barabarani tu wewe hata kusoma usingejua sijui ungekuwa unalima mahindi tunduma au ndizi tukuyu au wapi sijui, au ungekuwa mtoto wa barabarani? wa mama huwa wana sacrifice mno kwa watoto wewe hauoni uthamani huo? au ndo maana unaonekana upo kawaida tu kuishi mbali na watoto si ajabu hata watoto wewe hauwathamini kwasababu watajifunza nini kwako haujui kuthamini wazazi na watoto wako watakuwa wakielewa maisha yako hivyohivyo, watoto wako na marafiki zako wanajifunza nini kwako? aisee we nilikuwa nakustahi lakini hauna akili kabisa kabisa na kuna uwezekano mkubwa una laana haki ya nani, unalaana ya bimkubwa au nati imelegea kichwani huko ha hauelewi kama umelegea nati.