Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Mi nimefurahi kuona jinsi Le Mutuz anavyowaumbua mademu wa kibongo (wambea, fake, wavivu wa kutaka kutunzwa when they have nothing to contribute in a relationship), mwanzoni nilifikiri niko peke yangu nionaye mademu wetu fake na vichaa, kumbe wapo wanaofikiria kama mimi.....this is great news.
 
huna kibamia bna .mbooo zote hapa mjini zipo hivo hivo mwenye tofauti na yako aseme.watuulize sisi. halafu yule mwanamke alokurekodi ni mshamba sana sijui ulimtoa wapi.amejiaibisha sana. hivi mtu kweli amekukaza unamrekord ili kumfaidisha nani eti?
Yaani umeongea ukweli mtupu... wengi wao ni kama Le Mutuz tu... Wengine zina vi height kidogo lakini zimelegea kama mlenda. Wanawake tunaficha siri nyingi sana zahawa viumbe wa jinsia tofauti.
 
Kwan na yule mzee we unamuonaje? Ktk viongoz ambao ckiwaelewa
No, tuongee kiutu uzima, unaweza kuwa haukupata nafasi kumsaidia sana kwasababu ulikuwa mbali na wakati huo western union au money transfer zingine hazikuwepo, au pengine ulitingwa tu, lakini mtu amekuzaa ndio ujisifie kuja kumjengea kaburi?..OK, tusijadili mambo ya marehemu mzazi nisije kukukumbusha machungu najua mzazi anauma, mimi mwenyewe baba yangu mzazi alifariki nikiwa sekondary najua maumivu. well, lakini hata mzee wako nafikiri alitakiwa amkumbuke sikulaumu wewe peke yako, haiji kichwani ujue na ninahisi kuna mgogoro mkubwa sana ktk familia yako na utakuwa umepambana vita vikali sana aisee kama mzee alijua wewe ni mwanae na akamsahau mamako hivyo? mimi nina watoto kadhaa nje lakini siwezi kumwacha mchepuko wangu (hata kama sitembei naye tena) atesehe hivyo na mimi nina uwezo au position aliyokuwa nayo babako au hata hii niliyokuwa nayo sasa. haiwezekani. nawapa pole toka moyoni.
 
- Hapana cause atajinyonga for sure tena siku hiyo hiyo, ndio maana baada ya miaka 15 nilikua nimechoka sana na tabia ila yeye hakujua maana mimi ni mvumilivu sana sikumuonyesha hata siku moja kua nimefika mwisho, so alipoanza kulilia divorce hakujua furaha niliyokua nayo moyoni mwangu ingawa nisingeweza kumuonyesha wazi kua nilikua nimesubiri kwa muda mrefu sana, nilikua ninamlilia Mungu moyoni mwangu kua mbona nimeingia choo cha kike? hahahahahha Mungu akanipa nafasi ya kuchomoka leo nirudi tena? hahahahahaha please!

le Mutuz
Kwenye swala la mke kwakweli kwa mwanaume wa Kitanzania anayejitambuwa hawezi kuliingilia maana ukweli unao wewe, kwa sababu ni ukweli usiopingika mademu wa kibongo wapo wachache smart sana lakini wengi kimeo na ndio sababu unakuta nyumba nyingi zina wajane baba ameshatangulizwa mbele za haki kwa stress zilizosababishwa na mke.

Hapa ninakupa full support 100% huwezi kufupisha uhai wako kwa sababu ya mke na ujinga eti mkiachana mtawatesa watoto huu ni upumbavu wa kiwango cha PhD.

Tusikubali kuwa watumwa kwa ajili ya watoto au kufa kabla ya muda wetu kisa watoto, sasa ukishakufa au kupata stroke hao watoto wanafaidika nini?
 
I honestly understand when women complains about kibamia..kwa sababu wao ndio watendwaji wakuu wa either kibamia or muhogo..they are on the receiving side...but mwanaume ambaye ndio mtendaji wa kutumia either kibamia or muhogo sasa anapomcheka mwanaume mwenzio eti ana kibamia au muhogo unatupa wasiwasi umejuaje tofauti ya huo utamu wa muhogo au kibamia...hebu tuelezee kutokana na uzoefu wako mkuu kwa nini hupendi kibamia...au why unapenda limuhogo...
Hiyo pala na itoshe kuwa jibu na swali kwa wale wanaojifanya wana mihogo au mitulinga na kujifanya kuja kudhihaki hapa jamvini
 
Yaani umeongea ukweli mtupu... wengi wao ni kama Le Mutuz tu... Wengine zina vi height kidogo lakini zimelegea kama mlenda. Wanawake tunaficha siri nyingi sana zahawa viumbe wa jinsia tofauti.
Hayo mabwawa yenu yalojaa unarudi kama barafu na uvundo juu mnasemaje?
 
PART 40:- "MY AMERICAN EXPERIENCE" Wakati ninapigana namna ya kumrudisha mke wangu maisha mengine yalikua yanaendelea kama kawaida napiga kazi na ninaenda Shule Jioni huku ninalea mtoto wangu wa kiume thanks God for the House Girl alikua ni msichana muelewa sana lakini Wabongo pale USA pamoja na majirani wa mke wangu Bongo wakaanza kunizushia kua nimemgeuza kua mke wangu it was fun on my part nilikua nacheka kimoyo moyo maana it was a big joke of my life nianze kutembea na House Girl kwa kawaida hua ninaogopa sana ku take advantage of the helpless ...Shuleni kama kawaida this time nilikua nimekutana na somo la Politics my fav na hii ni kwa sababu nia na madhumuni yangu ya kusoma Sheria yalikwama kutokana na malipo kua makubwa sana so nikaamua Political Science will do nikakutana na "FOUNDING FATHERS OF AMERICA: na nikakutana na "THE USA CONSTITUTION" halafu "THE SEPARATION OF POWER" pia "THE SUPREME COURT OF USA" .."THE CONGRESS" na "THE EXECUTIVE BRANCH" humu mote I was at home lakini in the end ukaja mtihani maalum ambao ni Sheria kwamba ni lazima ufanye huo mtihani ambao hauhusiani na darasa kabisa ni mtihani unao base kwenye English kuhakikiaha unamaliza ukiwa unajua English walioupanga wanajua kua kuushindwa ni kitu rahisi sana so unaruhusiwa kurudia mara 3 ukishindwa zote ni sawa hukusoma kabisa unatakiwa kurudi kuanza zero tena ...nilishinda mara ya kwanza tena kama mchezo nikapata my BA in Political Science .kazini nikaomba kuanza kwenda masafa marefu kwa hiyo nikaanza safari za loong distance from New York to Florida na nikaanza kupiga USA nzima sijafika Alaska tu nimefika States zote zingine na hata leo ukinipeleka ninaweza kukufikisha popote pale bila tatizo bado ninakumbuka safari yangu ya kwanza to Salt Lake/Utah State Jimbo ambalo mpaka leo mweusi ni kichekesho kwa wazungu I mean kuendesha masafa marefu it was fun ila Sheria zake ni kali sana na hasa ya masaa ya kuendesha unaruhusiwa Masaa 11 tu inapofikia hapo hapo unasimama unalala kwa masaa 10 unapokua safarini kule Ofisini wanaku monitor na wanajua kila ulipo na infact wanajua mpaka speed yako ukiwa unakimbia sana wanakupigia simu kua punguza..njiani nilikua nahangaika na simu Bongo!.ITAENDELEA
2bb93449f9f246b60cc4eb1667f25dba.jpg
 
Kwenye swala la mke kwakweli kwa mwanaume wa Kitanzania anayejitambuwa hawezi kuliingilia maana ukweli unao wewe, kwa sababu ni ukweli usiopingika masemu wa kibongo wapo wachache smart sana lakini wengi kimeo na ndio sababu unakuta nyumba nyingi zina wajane baba ameshatangulizwa mbele za haki kwa stress zilizosababishwa na mke.

Hapa ninakupa full support 100% huwezi kufupisha uhai wako kwa sababu ya mke na ujinga eti mkiachana mtawatesa watoto huu ni upumbavu wa kiwango cha PhD.

Tusikubali kuwa watumwa kwa ajili ya watoto au kufa kabla ya muda wetu kisa watoto, sasa ukishakufa au kupata stroke hao watoto wanafaidika nini?

- Good kwenye hili tupo pamoja sana, Mwanamke kalilia Divorce halafu akalilia na watoto kua ni wake yote nikamkubalia bado tena kaanza kilio yeye mwenyewe kua nimemkimbia na watoto halafu kuna wajinga wanalibeba kama wanajua anything, alipoanza kulia lia kwenye mitandao na kukimbilia kwa Mange kwa mwanamke ambaye ameolewa tayari na Mwanaume mwingine na kua mke wa pili ndio nikajua kwamba ukiona moshi ujue kuna moto mtu anaungua,

- Kwenye hili la kumkubalia kila kitu, ninamshukuru sana Baba yangu mzazi maana ndiye aliyenipa darasa zito sana ama sivyo ningepata taabu sana kuelewa, siku moja Mwanamke akamtukana baba yangu kama vile anamtukana mtoto mwenzake, it was a shock of my life leo ukitaka Baba yangu mzazi atapike mtajie jina tu la huyu binti, halafu juhudi zake zote za kutaka kunichafua kwa Mama yake mzazi always zimepiga mwamba.

- Mama yake siku zote anamkumbusha kua huyu si ndiye Mwanaume aliyekutunza Ulaya Miaka 5 bila kazi? Na huyu si ndiye aliyehangaika sana uliporudishwa Deportation, leo amekua mbaya? hahahahaha

le Mutuz
 
PART 40:- "MY AMERICAN EXPERIENCE" Wakati ninapigana namna ya kumrudisha mke wangu maisha mengine yalikua yanaendelea kama kawaida napiga kazi na ninaenda Shule Jioni huku ninalea mtoto wangu wa kiume thanks God for the House Girl alikua ni msichana muelewa sana lakini Wabongo pale USA pamoja na majirani wa mke wangu Bongo wakaanza kunizushia kua nimemgeuza kua mke wangu it was fun on my part nilikua nacheka kimoyo moyo maana it was a big joke of my life nianze kutembea na House Girl kwa kawaida hua ninaogopa sana ku take advantage of the helpless ...Shuleni kama kawaida this time nilikua nimekutana na somo la Politics my fav na hii ni kwa sababu nia na madhumuni yangu ya kusoma Sheria yalikwama kutokana na malipo kua makubwa sana so nikaamua Political Science will do nikakutana na "FOUNDING FATHERS OF AMERICA: na nikakutana na "THE USA CONSTITUTION" halafu "THE SEPARATION OF POWER" pia "THE SUPREME COURT OF USA" .."THE CONGRESS" na "THE EXECUTIVE BRANCH" humu mote I was at home lakini in the end ukaja mtihani maalum ambao ni Sheria kwamba ni lazima ufanye huo mtihani ambao hauhusiani na darasa kabisa ni mtihani unao base kwenye English kuhakikiaha unamaliza ukiwa unajua English walioupanga wanajua kua kuushindwa ni kitu rahisi sana so unaruhusiwa kurudia mara 3 ukishindwa zote ni sawa hukusoma kabisa unatakiwa kurudi kuanza zero tena ...nilishinda mara ya kwanza tena kama mchezo nikapata my BA in Political Science .kazini nikaomba kuanza kwenda masafa marefu kwa hiyo nikaanza safari za loong distance from New York to Florida na nikaanza kupiga USA nzima sijafika Alaska tu nimefika States zote zingine na hata leo ukinipeleka ninaweza kukufikisha popote pale bila tatizo bado ninakumbuka safari yangu ya kwanza to Salt Lake/Utah State Jimbo ambalo mpaka leo mweusi ni kichekesho kwa wazungu I mean kuendesha masafa marefu it was fun ila Sheria zake ni kali sana na hasa ya masaa ya kuendesha unaruhusiwa Masaa 11 tu inapofikia hapo hapo unasimama unalala kwa masaa 10 unapokua safarini kule Ofisini wanaku monitor na wanajua kila ulipo na infact wanajua mpaka speed yako ukiwa unakimbia sana wanakupigia simu kua punguza..njiani nilikua nahangaika na simu Bongo!.ITAENDELEA
2bb93449f9f246b60cc4eb1667f25dba.jpg
Story yako naifutalia Sanaa toka mwanzo imenivutia Sana'a ila nakuomba uongeza urefu wa story mkuu unaandika kwa kifupi mno.asante .
 
Story yako naifutalia Sanaa toka mwanzo imenivutia Sana'a ila nakuomba uongeza urefu wa story mkuu unaandika kwa kifupi mno.asante .

- The Key thing ni kwamba nilikua natafuta Sponsor wa kitabu kusudi niandike kitabu sasa nikiweka all the details nje sitauza kitabu na besides Instagram hawaruhusu kuzidishwa maneno zaidi ya ninayoandika, subiri kitabu mkuu kitakuja karibuni na kitakuwa na full details nyingi ambazo so far ninaziacha acha.

le Mutuz
 
- The Key thing ni kwamba nilikua natafuta Sponsor wa kitabu kusudi niandike kitabu sasa nikiweka all the details nje sitauza kitabu na besides Instagram hawaruhusu kuzidishwa maneno zaidi ya ninayoandika, subiri kitabu mkuu kitakuja karibuni na kitakuwa na full details nyingi ambazo so far ninaziacha acha.

le Mutuz
Le mbabe le kokobanga nakufuatilia sana toka mwanzo .lini utapiga picha na Mimi bna.
 
- The Key thing ni kwamba nilikua natafuta Sponsor wa kitabu kusudi niandike kitabu sasa nikiweka all the details nje sitauza kitabu na besides Instagram hawaruhusu kuzidishwa maneno zaidi ya ninayoandika, subiri kitabu mkuu kitakuja karibuni na kitakuwa na full details nyingi ambazo so far ninaziacha acha.

le Mutuz
Le mbabe le kokobanga nakufuatilia sana toka mwanzo .lini utapiga picha na Mimi bna.
 
- Good kwenye hili tupo pamoja sana, Mwanamke kalilia Divorce halafu akalilia na watoto kua ni wake yote nikamkubalia bado tena kaanza kilio yeye mwenyewe kua nimemkimbia na watoto halafu kuna wajinga wanalibeba kama wanajua anything, alipoanza kulia lia kwenye mitandao na kukimbilia kwa Mange kwa mwanamke ambaye ameolewa tayari na Mwanaume mwingine na kua mke wa pili ndio nikajua kwamba ukiona moshi ujue kuna moto mtu anaungua,

- Kwenye hili la kumkubalia kila kitu, ninamshukuru sana Baba yangu mzazi maana ndiye aliyenipa darasa zito sana ama sivyo ningepata taabu sana kuelewa, siku moja Mwanamke akamtukana baba yangu kama vile anamtukana mtoto mwenzake, it was a shock of my life leo ukitaka Baba yangu mzazi atapike mtajie jina tu la huyu binti, halafu juhudi zake zote za kutaka kunichafua kwa Mama yake mzazi always zimepiga mwamba.

- Mama yake siku zote anamkumbusha kua huyu si ndiye Mwanaume aliyekutunza Ulaya Miaka 5 bila kazi? Na huyu si ndiye aliyehangaika sana uliporudishwa Deportation, leo amekua mbaya? hahahahaha

le Mutuz
Kwenye swala la mke atakayekushikia bango huyo ni kula kulala na ni school boy tu.

Watu wenye uzoefu na hiyo kitu tunazijuwa changamoto zake, wengi bongo wanaishi na wake zao kwa kisingizio cha kulea watoto, hili halina tofauti na utumwa.

Tutapingana kwa hoja za msingi lakini siyo kwa hili la mke na kamwe halina mshauri hata Maprofesa limewashinda.

Irene Kiwia ndio mshauri wao mkuu, ona madudu yake ana moral authority ipi ya kuwa mentor wa wanawake?

Insanity.

Tunaaminishwa Henry Kileo ni Marioo lakini leo hii tunaambiwa anaombwa ela ya matunzo na amefunguwa kampuni yake, Marioo huyuhuyu? Kweli Wema kumanyokoo.
 
Kwenye swala la mke atakayekushikia bango huyo ni kula kulala na ni school boy tu.

Watu wenye uzoefu na hiyo kitu tunazijuwa changamoto zake, wengi bongo wanaishi na wake zao kwa kisingizio cha kulea watoto, hili halina tofauti na utumwa.

Tutapingana kwa hoja za msingi lakini siyo kwa hili la mke na kamwe halina mshauri hata Maprofesa limewashinda.

Irene Kiwia ndio mshauri wao mkuu, ona madudu yake ana moral authority ipi ya kuwa mentor wa wanawake?

Insanity.

Tunaaminishwa Henry Kileo ni Marioo lakini leo hii tunaambiwa anaombwa ela ya matunzo na amefunguwa kampuni yake, Marioo huyuhuyu? Kweli Wema kumanyokoo.

- Binafsi sijawahi kuingilia mambo ya mapenzi cause nimeshaona maajabu mengi sana ya mapenzi, Joyce Kiria ni rafiki yangu sana na nimeongea naye sana lakini mambo ya mapenzi sio mchezo, huwa ninamshauri namna ya kusonga mbele lakini sio technicalities zao hapana!

le Mutuz
 
PART 40:- "MY AMERICAN EXPERIENCE" Wakati ninapigana namna ya kumrudisha mke wangu maisha mengine yalikua yanaendelea kama kawaida napiga kazi na ninaenda Shule Jioni huku ninalea mtoto wangu wa kiume thanks God for the House Girl alikua ni msichana muelewa sana lakini Wabongo pale USA pamoja na majirani wa mke wangu Bongo wakaanza kunizushia kua nimemgeuza kua mke wangu it was fun on my part nilikua nacheka kimoyo moyo maana it was a big joke of my life nianze kutembea na House Girl kwa kawaida hua ninaogopa sana ku take advantage of the helpless ...Shuleni kama kawaida this time nilikua nimekutana na somo la Politics my fav na hii ni kwa sababu nia na madhumuni yangu ya kusoma Sheria yalikwama kutokana na malipo kua makubwa sana so nikaamua Political Science will do nikakutana na "FOUNDING FATHERS OF AMERICA: na nikakutana na "THE USA CONSTITUTION" halafu "THE SEPARATION OF POWER" pia "THE SUPREME COURT OF USA" .."THE CONGRESS" na "THE EXECUTIVE BRANCH" humu mote I was at home lakini in the end ukaja mtihani maalum ambao ni Sheria kwamba ni lazima ufanye huo mtihani ambao hauhusiani na darasa kabisa ni mtihani unao base kwenye English kuhakikiaha unamaliza ukiwa unajua English walioupanga wanajua kua kuushindwa ni kitu rahisi sana so unaruhusiwa kurudia mara 3 ukishindwa zote ni sawa hukusoma kabisa unatakiwa kurudi kuanza zero tena ...nilishinda mara ya kwanza tena kama mchezo nikapata my BA in Political Science .kazini nikaomba kuanza kwenda masafa marefu kwa hiyo nikaanza safari za loong distance from New York to Florida na nikaanza kupiga USA nzima sijafika Alaska tu nimefika States zote zingine na hata leo ukinipeleka ninaweza kukufikisha popote pale bila tatizo bado ninakumbuka safari yangu ya kwanza to Salt Lake/Utah State Jimbo ambalo mpaka leo mweusi ni kichekesho kwa wazungu I mean kuendesha masafa marefu it was fun ila Sheria zake ni kali sana na hasa ya masaa ya kuendesha unaruhusiwa Masaa 11 tu inapofikia hapo hapo unasimama unalala kwa masaa 10 unapokua safarini kule Ofisini wanaku monitor na wanajua kila ulipo na infact wanajua mpaka speed yako ukiwa unakimbia sana wanakupigia simu kua punguza..njiani nilikua nahangaika na simu Bongo!.ITAENDELEA
2bb93449f9f246b60cc4eb1667f25dba.jpg
Kumbe' Separation of Powers' unaijua,sasa mbona Magufuli ana upsurp powers zote na wewe ndio kwanza unaampa support,au una ganga njaa??
By the way if you dont mind ni unblock huko instagram please.
 
Back
Top Bottom