Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Hongera saana LE MUTUZ mtiririko wa story yako kwa kweli kuna kila kitu ktk Maisha.

Kwa teens wote mafundisho ni mengi saana na mlango wa mafanikio popote walipo uko wazi

Kama ni Shule,biashara,ajira nk umefafanua
Kitu kimoja majina ya watoto hukuyataja japo umeeleza walikuwa KE/ME
 
Le mutuz hongera sana

Kuna jambo kuhusu mama yako

Kama ulivyoelezea alikua anafanya kazi NBC bank
Aliweza kwenda UK

Pia MTU aliedate au kuwa mke wa waziri mkuu huyu mama alikua smart sana .

Mama kuishia Tunduma na kuhama dar kwa kuuza kila kitu

Le mutz kuna jambo lines baina ya mama ya wa kambo na mama mzazi lilipita

Labda uchawi

Labda kutishiwa uhai

Mwenyezi Mungu ndo hupanga mwisho wa kila MTU

Mwisho wa mama yako kuna story kubwa nyuma yake

Kama hutojali naomba unielekeze ukoo wake au hata wajomba zako
Hapa tunduma nifanye research yangu

Mwisho hongera kwa kuwa mpambanaji
 
Hongera saana LE MUTUZ mtiririko wa story yako kwa kweli kuna kila kitu ktk Maisha.

Kwa teens wote mafundisho ni mengi saana na mlango wa mafanikio popote walipo uko wazi

Kama ni Shule,biashara,ajira nk umefafanua
Kitu kimoja majina ya watoto hukuyataja japo umeeleza walikuwa KE/ME
Pia mwaka wa kila tukio hajataja hata mara moja,
Hatujui hasa nini kilitokea lini
 
Kwa kuwa now story Ipo BREAK
Ingependeza kama angepost baadhi ya picha za Mikataba,
Salary slip
Cheti cha mfanyakazi bora wa mwaka,
Picha za harusi ya Kule USA,
Akiwa ndani ya meli
Na bila kusahau alivokuwa anasukuma gari lenye matairi 18.

Vyote hivi vikionesha tarehe na mwaka husika.

Hii itasaidia kidogo kuweka mambo sawa wakati tukisubiria kitabu cha Le KOKOBANGA's
 
Kwa kuwa now story Ipo BREAK
Ingependeza kama angepost baadhi ya picha za Mikataba,
Salary slip
Cheti cha mfanyakazi bora wa mwaka,
Picha za harusi ya Kule USA,
Akiwa ndani ya meli
Na bila kusahau alivokuwa anasukuma gari lenye matairi 18.

Vyote hivi vikionesha tarehe na mwaka husika.

Hii itasaidia kidogo kuweka mambo sawa wakati tukisubiria kitabu cha Le KOKOBANGA's
Huyu jamaa le mutuz sijui hiki kitabu amesaidiwa kuandika na wataalamu au ni mwenyewe,maana ametuacha spell bound wanting to hear more and more
 
Kwenye swala la mke atakayekushikia bango huyo ni kula kulala na ni school boy tu.

Watu wenye uzoefu na hiyo kitu tunazijuwa changamoto zake, wengi bongo wanaishi na wake zao kwa kisingizio cha kulea watoto, hili halina tofauti na utumwa.

Tutapingana kwa hoja za msingi lakini siyo kwa hili la mke na kamwe halina mshauri hata Maprofesa limewashinda.

Irene Kiwia ndio mshauri wao mkuu, ona madudu yake ana moral authority ipi ya kuwa mentor wa wanawake?

Insanity.

Tunaaminishwa Henry Kileo ni Marioo lakini leo hii tunaambiwa anaombwa ela ya matunzo na amefunguwa kampuni yake, Marioo huyuhuyu? Kweli Wema kumanyokoo.
Ni Joyce kileo boss
 
Leo kasema mke wake somebody Mtanga yumo humu jf ndo anaemchafua akishirikiana na mange
 
Ni Joyce kileo boss
IMG-20180227-WA0004.jpg

Huyu hapa without makeup.
 
Kwa kuwa now story Ipo BREAK
Ingependeza kama angepost baadhi ya picha za Mikataba,
Salary slip
Cheti cha mfanyakazi bora wa mwaka,
Picha za harusi ya Kule USA,
Akiwa ndani ya meli
Na bila kusahau alivokuwa anasukuma gari lenye matairi 18.

Vyote hivi vikionesha tarehe na mwaka husika.

Hii itasaidia kidogo kuweka mambo sawa wakati tukisubiria kitabu cha Le KOKOBANGA's
Mbona kweny story yake anaweka baadhi ya picha,risit nk
Hata documents za meli aliyopanda kaweka
 
Kwa kuwa now story Ipo BREAK
Ingependeza kama angepost baadhi ya picha za Mikataba,
Salary slip
Cheti cha mfanyakazi bora wa mwaka,
Picha za harusi ya Kule USA,
Akiwa ndani ya meli
Na bila kusahau alivokuwa anasukuma gari lenye matairi 18.

Vyote hivi vikionesha tarehe na mwaka husika.

Hii itasaidia kidogo kuweka mambo sawa wakati tukisubiria kitabu cha Le KOKOBANGA's
Lakini si mmeambiwa kuna kitabu kinakuja??? Sasa akiwawekea kila kitu hicho kitabu nani atanunua?? Hata movies inayokuja uwa wanaweka trailer tu ili uvutiwe uje uangalia movie yote baadae. Muache Le kokobanga adonyoe donyoe hivyo hivyo, kwanza kuna vingine uwa haviwekwi kabisa.
 
Back
Top Bottom