Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Ni ujinga kupigana na asili. Watoto kuwajaza usheteni wa kumchukia baba yao ni dhambi mbaya sana! Watoto wajiongeze, wamsome baba yao vzr hasa kwenye kitabu atakachoandika ili wawe na maamuzi mazuri juu ya mama yao asiyejitambua!
 
Last part imenisikitisha sana. It is a cry of an abondoned child. Mungu atusaidie tuwalee watoto wetu wa nje ya ndoa kwa maadili sawa na wale wa ndoa. Ona jinsi athari inavyoweza kuonekana kwa babu. He neither has the discipline nor the confidence. Is a living thorn to otherwise a well groomed family
 
- Hizi picha zingekua na ubaya wowote nisingezi post kwenye Instagram yangu ni mimi mwenye nilizipiga na kuzi post, that is my Mother ilikua ni mara yangu ya kwanza kumuona after almost 31 years, nilipo ondoka Dar nilimuacha ana maisha mazuri sana hapo nikamkuta ameamua kuishi maisha ya Tunduma.

- Seriously sioni hoja ya msingi hapa so far naona ni attacks tu za kitoto amabazo nimezizoea sana mitandaoni, tatizo langu sio kujenga kaburi kwanza ilikua kuheshimu wananchi wa tunduma na pili muda ninao mdogo sana ndio maana hata kujenga sasa hivi nimeamua kutuma watu nitaenda likiisha,

- Naona makelele mengi lakini hoja ya msingi sijaiona, labda ungeweka kaburi la mama yako na nyumba uliyomjengea labda kidogo ningekuelewa au unasemaje?

le Mutuz
We jamaa ni mpumbavu sana
 
Publish hicho kitabu,mimi sio bookworm kihivyo-lakini I can sense a good read miles away.Humu JF nilishawishika kununua kitabu cha "The life and times of A Sykes'-it opened my mind on so many aspects of the motherland.Kitabu chako ninakingoja kwa hamu at whatever cost.
Nime notice kwamba your Daddy hujamgusa,yaani umemfanya Saint-I think to be fair na yeye somewhere along the route hakucheza karata zake vizuri,for the sake of parity-itabidi naye umuingize kwenye dock-ili wasomaji tujue haki imetendeka
Nlichopenda katika harakat zake zote,kuwin na kufail hajamlaumu mtu yoyote,tofaut na watu wengine akifeli anaanza kulaumu watu kwamba bila fulan kufanya hivi nisingefeli,Lemutuz pamoja na ugumu aliopata kwa ndugu zake from step mother bado amekua ngangari na hajawalaumu ndugu zake wala wazazi wake,anakaambia najilaumu mwenyew kwa ujinga wangu,either kwa kujua ama kutokujua[emoji2]
Kuna ka akili flani hivi amenipandikiza since nimeanza kusoma hii story yake,japo kwa haraka haraka huwez mwelewa
 
Ni ujinga kupigana na asili. Watoto kuwajaza usheteni wa kumchukia baba yao ni dhambi mbaya sana! Watoto wajiongeze, wamsome baba yao vzr hasa kwenye kitabu atakachoandika ili wawe na maamuzi mazuri juu ya mama yao asiyejitambua!
Watot wameshajazwa sumu,na hiv bado wapo na mama yao,hata wakisoma kitabu bado mama yao atawaambia ni muongo huyo anatafuta tu huruma kwa watu,labda tu watoto wenyew watumie akili zao bila kupandikizwa na mama yao
 
Yote tisa,ex wife kumdhalilisha mama mkwe wake sio kitu cha urahis mwanaume kuvumilia,et em imagine mama ako anatukanwa mitandaon tena na mtu wako wa karbu kabisa...aiseee uyu baba ana moyo
Inauma sana mama anauma jaman le mutuz ana moyo wa pekee amevumilia miaka mingiiii mpaka kaamua kuyatoa ya moyoni pamoja na mitihani yote aliyopitia jaman
 
Back
Top Bottom