William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Sasa le mutuz watu wako was karibu wengi unaopiga nao picha na kuwasifia akili kubwaa wameanza kuumbuka kwa kutajwa wanauza ngada. Utawakana kesho au ndege wanaofanana huruka kundi moja. I am humbled
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sasa le mutuz watu wako was karibu wengi unaopiga nao picha na kuwasifia akili kubwaa wameanza kuumbuka kwa kutajwa wanauza ngada. Utawakana kesho au ndege wanaofanana huruka kundi moja. I am humbled
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nimeamini huyu jamaa ni super star.Watu kibao wanamfuatilia humu
Ok sawa.- now kesho Arusha at Luxury Super Celebs. Party at the Gold Crest Hotel tukutane huko U know, Wolper, Kajala, Ben Pol na mimi tutakuwepo, kiingilio Tsh. 100,000 U know tukutane huko
le Mutuz
Sasa mtu mzima wewe si akili kubwa a.k.a celeb lakini SAA nyingine nikicheki kwenye blog yako nashindwa kukuelewa kabisa. Labda nikuulize swali Dogo tu, Dada zetu unawachukuliaje? Coz sometimes unakuwa huna tofauti na mtu mbugani.- hahahahaha pole sana mjinga na fala hujisema mwenyewe kwa maneno yake kama ulivyofanya hapa hahahahahahahah
le Mutuz
Humble Outward
duh!!
- now kesho Arusha at Luxury Super Celebs. Party at the Gold Crest Hotel tukutane huko U know, Wolper, Kajala, Ben Pol na mimi tutakuwepo, kiingilio Tsh. 100,000 U know tukutane huko
le Mutuz
Kuwa serious unapojibu hoja za wajumbe, epuka kuchekacheka, saasawa?- hahahahaha pole sana mjinga na fala hujisema mwenyewe kwa maneno yake kama ulivyofanya hapa hahahahahahahah
le Mutuz
Ohooo!!Mmmmh mbona wale wa kwa anna waanakili na niwadogo ila yy mmmmh kubwa........ Jing
Kuwa serious unapojibu hoja za wajumbe, epuka kuchekacheka, saasawa?
Sasa mtu mzima wewe si akili kubwa a.k.a celeb lakini SAA nyingine nikicheki kwenye blog yako nashindwa kukuelewa kabisa. Labda nikuulize swali Dogo tu, Dada zetu unawachukuliaje? Coz sometimes unakuwa huna tofauti na mtu mbugani.
Umri wa miaka hauwezi kuelezea ni kiwango gani cha ukubwa wa mtu
Nimeamini huyu jamaa ni super star.Watu kibao wanamfuatilia humu
- now kesho Arusha at Luxury Super Celebs. Party at the Gold Crest Hotel tukutane huko U know, Wolper, Kajala, Ben Pol na mimi tutakuwepo, kiingilio Tsh. 100,000 U know tukutane huko
le Mutuz
Bulkiness [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]So Guys Handle Him With Care. Despite His Bulkiness, Inside He Is So Light To The Extent That He Cannot Handle New Challenges From New People. I Just Wanna Tell Him That Virtual Battle Is Quite Different From Physical One.
Nakushauri Tu Mkuu, Unaonekana Very Socia At Face But Fierce At Heart. Wavumilie Watu Maana Ndio Wanaokupa Mkate. Wakikuchoka Watakupa Mawe.
Angalia, Roho Ya Yule Mtumishi Anayetamani Malaika Ateketeze Social Media Isiwe Nawe.