Ha ha ha ulienda US ukiwa na miaka mingapi? Na tangu umerudi una miaka mingapi?- Muulize aliyeleta hizo papers nimeishije USA Miaka 30 bila Green Card wala Uraia kwanza ndio utapata majibu mengine hahahahahahahaha hahahahahahah mnanivunja mbvu sana sasa hilo karatasi ndio nini hasa? hahahahahahahahahah
le Mutuz
- hahahahahahahahaha wewe utanisoma tu na kunijadili maana mimi ni Big Celeb wewe sio hahahaha halafu amuaeni nina miaka mingapi 58 au 60 hahahahahahaha
le Mutuz
HahaHuyu jamaa atakua ana papuche
afadhali mtu anayemfollow mange kuliko we mzee maana matendo/akili yako ni inversely proportional to your age- Sasa na wewe unafanya nini hapa hahahahahaha ndio maana ya kuwa Big Celeb yaani mtu anakufuatilia bila kujua anachofanya hahahahahahah
le Mutuz
kama kuna mtu anakuona wewe kama celeb basi he/she is a walking dead.- hahahahaha kwenye maisha kuna FACT OF LIFE so kulipiwa kila kitu ili uonekane tu kwenye Special Show ndio maana ya Celebrity, sasa wewe huwezi kufanyiwa hivyo cause sio Celeb, hii ni FACT OF LIFE kubali tu yaishe maana unabisha nini it is just simple wewe sio Celeb so hata utamaduni wa Ma Celebs huujui pole sana hahahahahahaha
le Mutuz
Hahahaha......Ati shati lake linafunika Vitz
Unazidi kuzihirisha kuparaganyika kwa upeo wako.Mi navyojua heshima ya mwanaume ni kujigaramia mahitaji yake kwa pesa yake mwenyewe na sio kutegemea na kujisifia na offer za watu,mi nkihitaji kwenda double tree kula wikiend najichanga naenda,nkitaka chochote nafanya juhudi ya kukipata kwa jasho langu nisichokuwa na uwezo nacho nakiweka pending,mi sikukebehi kaka najaribu tu ku tupia my two cents in.- hahahahaha kwenye maisha kuna FACT OF LIFE so kulipiwa kila kitu ili uonekane tu kwenye Special Show ndio maana ya Celebrity, sasa wewe huwezi kufanyiwa hivyo cause sio Celeb, hii ni FACT OF LIFE kubali tu yaishe maana unabisha nini it is just simple wewe sio Celeb so hata utamaduni wa Ma Celebs huujui pole sana hahahahahahaha
le Mutuz
- Sasa na wewe unafanya nini hapa hahahahahaha ndio maana ya kuwa Big Celeb yaani mtu anakufuatilia bila kujua anachofanya hahahahahahah
le Mutuz
Mzee mbona ume Over react...I smell something here!!!!😀😀- hahahahahaha ulijuaje mkuu lazima tumbo lako lina hayo mapemmbe hahahahahahhamlianza na simu sasa yamewashinda hahahahahaha
le Mutuz
duh!!
ohooo!!!
ohooo!!
Ha,ha,haaaaa....ohooo!!
ANapenda showoff sana mimi kila nikipishana na gari yake huwa nabaki na sikitika tu noah imegongwa gongwa nahisi zaidi ya kuangalia maji na oil hakuna service inayofanyika, superstar anatembelea gari mbovu? bora mm na ka ist kangu walau nakapenda