Le Mutuz kwanini umetudanganya?

hivi Mwanaume Dume la Mbegu.....unatumiaje Maneno ya kishoga na kishosti kama "Nafwaa" alafu unatia na emoj?????
 
Ukweli utabaki pale pale hiyo simu ni ya gharama! Million 21 sio mchezo wengine mtakufa bila kuiona hata kwa macho! Lemutuz tufanye kakosea ila jiongeze wewe Dola elfu 10 kibongo bongo unasomesha mtoto kuanzia Nursery hadi phd bila mkopo! Ndio maana unaona akina Dangote ndio wanaotumia

Msikariri kuwa Iphone ndio ya Gharamaa kuna simu za kinyamaa huko iphone cha mtoto
 
huyi mzee atakuwa na matatizo, umri was kustaafu na kula pensheni yeye bado anajiona teenager
 
ANapenda showoff sana mimi kila nikipishana na gari yake huwa nabaki na sikitika tu noah imegongwa gongwa nahisi zaidi ya kuangalia maji na oil hakuna service inayofanyika, superstar anatembelea gari mbovu? bora mm na ka ist kangu walau nakapenda

Halaf gari yenyew bora ingekua ya kutembelea kawaida ila anaifanya ya ofisi maana kila ukiona imepaki unajua "bwege mtozeni" yuko hapa maana ina machata mara sijui lemutuz blog sijui kufanyaje yaan kero tu. Huyu jamaa Magu si amchagur hata kumwagilia maua ikulu, ashakua babu halafu anatembea na watoto wakina diamond na wanyoa viduku wengne.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…