Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakua ndo yule girlfriend wake Nasra. Mjukuu wake kabisa halafu anamuita fianceeUyu bwana hakuna kitu kwenye bichwa ujue,
Kujisifia kwingi siku moja nilimuona mitaa ya mnazi mmoja karibu na bank ya NBC amekuja kutega dem sijui ni beki tatu yulee maaana kembamba, na NOAH lake la matangazo.
Sasa usuper star wote uo le mutuz, unawinda madem barabarani?? Alafu dem mwenyewe mbaya, u know?
Ukubwa wa mwili kumbe ni hewa tu kama pulizo u know.....nafwaaaazzzz
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Kumbeeee!!! nikajua anakujaga kufanya transaction,Uyu bwana hakuna kitu kwenye bichwa ujue,
Kujisifia kwingi siku moja nilimuona mitaa ya mnazi mmoja karibu na bank ya NBC amekuja kutega dem sijui ni beki tatu yulee maaana kembamba, na NOAH lake la matangazo.
Sasa usuper star wote uo le mutuz, unawinda madem barabarani?? Alafu dem mwenyewe mbaya, u know?
Ukubwa wa mwili kumbe ni hewa tu kama pulizo u know.....nafwaaaazzzz
Ana wawakilisha watu wanaopatikana kwenye huo umoja wao sijui wa nn....vichwa vyao hewa km kibuyu kilichokosa maziwaHuyu baba ana 60 yrs ila akiri zake km Uvccm
le mutuz akir yake anaijua mwenyewe ana miaka 60 ila mambo anayoyafanya ni tofauti kabisa na umri wake mimi Instagramu alinibrock nilimwambia wewe unaishi mjini kwa ukuwadi
- YOTE uliyosema ni perfect isipokuwa hukusema ukweli tu kwamba huwa ninakuuza wewe kwa wanaume ndio maana ukaijua kazi yangu ya ukuwadi, hahahahahahahaha sema ukweli ulijuaje kuwa mimi ni kuwadi kama sijakukuwadia wewe mwenyewe kwanza hahahaha sema nilipokuuzia na bei, next time ukiamua kusema siri ya mtu sema zote usibakize zingine maana huwatendei haki wasomaji, hahahahahahahaha
le Mutuz Nation
Hivi ni kweli wewe ni superstar? Are you a Media King?
- I am big Celeb ndio maana unanijadili hapa maana huu ni uwanja wa Celebs, ukitaka kujua kama ni Super Star angalia mada na viewers hahahahahahaha I am Super Star Celebs na sio kwa bahati mbaya U know and I love it!!
le Mutuz Nation
- I am big Celeb ndio maana unanijadili hapa maana huu ni uwanja wa Celebs, ukitaka kujua kama ni Super Star angalia mada na viewers hahahahahahaha I am Super Star Celebs na sio kwa bahati mbaya U know and I love it!!
le Mutuz Nation
Wewe babu huna U Star wowote sema watu huwa wanakuja kwa page yako kuona vituko maana wewe ni kituko yani wanakuja kuangalia babu na vijukuu vyake halafu hivi nasikia upo Uvccm pale ni km babu au?- YOTE uliyosema ni perfect isipokuwa hukusema ukweli tu kwamba huwa ninakuuza wewe kwa wanaume ndio maana ukaijua kazi yangu ya ukuwadi, hahahahahahahaha sema ukweli ulijuaje kuwa mimi ni kuwadi kama sijakukuwadia wewe mwenyewe kwanza hahahaha sema nilipokuuzia na bei, next time ukiamua kusema siri ya mtu sema zote usibakize zingine maana huwatendei haki wasomaji, hahahahahahahaha
le Mutuz Nation
Wewe sio Celeb, Una vituko ndio maana hii Mada imeletwa humu.
Hueleweki unayachukuliaje maisha, you look like you are not serious.
Unaonekana kama mtoto wa mama wakati umezeeka.
Apike wapi wkt huyo ni kuwadi tu babu yupo na vijukuu vyake anaviuza kila siku hivi mnajua huyu ni class mate wa PindaUmepika au unarandaranda uku JF?
Umepika au unarandaranda uku JF?
- So kumbe kazi yako ni kupika? duh pole sana nipo ofisini hapa Sinza Mori kama unahitaji ajira check me out
le Mutuz Nation
Apike wapi wkt huyo ni kuwadi tu babu yupo na vijukuu vyake anaviuza kila siku hivi mnajua huyu ni class mate wa Pinda
Wewe babu huna U Star wowote sema watu huwa wanakuja kwa page yako kuona vituko maana wewe ni kituko yani wanakuja kuangalia babu na vijukuu vyake halafu hivi nasikia upo Uvccm pale ni km babu au?
Mkuu una ajira za upishi tu au kuna zingine?- So kumbe kazi yako ni kupika? duh pole sana nipo ofisini hapa Sinza Mori kama unahitaji ajira check me out
le Mutuz Nation