Miiku
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 3,835
- 2,642
Mwanaume unaanzaje kuweka Bluetooth on hivyo kwa mfano haogopi?![]()
Hii siku ndio akili zikimwagika......!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanaume unaanzaje kuweka Bluetooth on hivyo kwa mfano haogopi?![]()
Hii siku ndio akili zikimwagika......!
Mkuu una ajira za upishi tu au kuna zingine?
Umeenda kulia njaa uko? Njoo posta hapa Kitwana nikununulie chakula.
duh!!Uyu bwana hakuna kitu kwenye bichwa ujue,
Kujisifia kwingi siku moja nilimuona mitaa ya mnazi mmoja karibu na bank ya NBC amekuja kutega dem sijui ni beki tatu yulee maaana kembamba, na NOAH lake la matangazo.
Sasa usuper star wote uo le mutuz, unawinda madem barabarani?? Alafu dem mwenyewe mbaya, u know?
Ukubwa wa mwili kumbe ni hewa tu kama pulizo u know.....nafwaaaazzzz
ohooo!!!Itakua ndo yule girlfriend wake Nasra. Mjukuu wake kabisa halafu anamuita fiancee
- Siku hizi nina ofisi mbili moja Sinza na nyingine Downtown Tancot House so, sijui na wewe una ofisi hapo town au hahahahahahahah
le Mutuz Nation
ohooo!!Apike wapi wkt huyo ni kuwadi tu babu yupo na vijukuu vyake anaviuza kila siku hivi mnajua huyu ni class mate wa Pinda
Seriously W. J. Malecela kindly re-think again on how you are portraying yourself to the community. This makes me wonder why you contested for the East African MP seat, Was this the kind of self you would have shown as an East African member of parliament?- Hhahahahahahha hahahahahaha this is wasap maan umeuliza kama mimi ni Star nimekujibu, sasa eti hebu liweke vizuri swali lako la pili maana sijakuelewa eti unasema kuna mtu humu ananilipia maisha yangu haya ya kusaifiri nje kila wakati au whaat? hahahahahaha
le Mutuz Nation
Haina shida kama price is right naomba mchongo.- Hapa tunahitaji wafagiaji wa ofisi karibu sana maana bora usafishe ofisi kuliko kupoteza bundle zako huku JF bure wenzako tunapiga pesa hahahahahahahah
le Mutuz
hhahaha kweli ni mashati ya buku jero karume😀😀
Fala mmoja hivi anajiuza hapa Dar ana chura ya kutosha na tumbo ka pipa bichwa lake sasa akikupiga ndoo utaziraiLet mutuz ndio nani...?
Tatizo ngada sana hili jamaa.[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Kumbeeee!!! nikajua anakujaga kufanya transaction,
Maana 3 days per week utamkuta hapo
duh!!!Fala mmoja hivi anajiuza hapa Dar ana chura ya kutosha na tumbo ka pipa bichwa lake sasa akikupiga ndoo utazirai
Ana maanisha "thubutuuu" au "nyooooo"ha a haha yamefanyaje?
Sawa mlibelariLet the man live his life. Kwa nini lakini tunapenda ku-judge maisha ya watu? anayoyafanya yanakuathiri vipi? Anakuomba hela ya bills zake? I am not his fun but I absolutely respect yeye kuishi maisha anayoyataka. As long as havunji sheria za nchi! Kipi kinakufanya uone kwamba maisha unayoishi wewe ndo standard kila mtu inabidi aishi hivo?
Tujifunze kuvumiliana na kuheshimu maisha ya wengine.
Mtu mzima kisoda huyo. Mwili mkubwa akili ka sisimizi
Ahahahaha umekua mpole ghafla.
Tatizo ngada sana hili jamaa.
- hahahahahahaha mpole mimi napiga pesa hapa wewe unapoteza bundle zako bure nani anatakiwa kuwa mpole? hahahahahahaah
le Mutuz
Piga kazi uje nikulipe.