Le mutuz na Lulu wakila bata: u know, le tamkoz coming soon

Leo party ya zari mbona haujaenda?

- I am committed kuwepo Arusha for Kristmas na New Year si umeona matangazo ya Biashara ya Mt. Meru Hotel yanatumia my picha so nitakuwa huko U know, Zari is my super friend so is Diamond I wish all great Show leo and I spoke to them this morning!!

Le Mutuz
 
- Now unajisema mwenyewe kumbe ni Isha Mashauzi hahahahahahahahahah U know unajivua nguo mwenyewe bila kuulizwa U know hahahahahah, it takes Isha Mshauzi kumjua Isha Mashauzi bila kumuona U know hahahahahah

Le Mutuz

Hahahaaaaa
 
Mwanawane m nakuwaga sikuelewi, ila ukuniambia zile post zinakuingizia kipato nitakuona wa maana,
Ila kama post zote zile halafu hakieleweki inakuwa sooo....
Though n njia ulitoamua kuikamatia komaa nayo one day yes!
 

leo umeamua kukaza nao....hahahah...u know cku nyingne unakulaga buyu...hahahahh
le maonizz
 
- siwezi kupotea Isntagram I make big bucks to be there nipo sana U know ila nimekuwa busy sana na kuhamia my new home U know!!

Busy kuhamia new home? Utafikiri unavyombo vya kujaza fuso kumi na kuarrange vitu ndani wiki mbili. Wenye pesa tunahamia new home with only begi la nguo, kila kitu ndani kipya.
 
ni utoto tu akikua ataacha
 
twende kule kwenye Uzi wa dili lile!!

achana na madebe matupu,headless chicken mburulaaz!!

Wewe una 3 degrees so achana nao!!

Degree 3, amakweli kwa mtindo huu hakuna haja ya kwenda shule kupoteza muda na pesa bure. Ziro brain
 
- hAHAHAAHAHAHAHAHA LE BATAZ UBATAN U KNOW we were just having fun U know relaxing kama vipi we live only once, so tunafanya kazi na kura batazzzz U know and I love it!!

Le Mutuz

mkuu naomba nikuulize. hivi ni kweli wewe ni pimp hapo mjini? ni kweli shati lako linaweza kufunika starlet? no offense.
 

Kumbe na wewe ni celebrity?
 

hivi we ni mwanaume?mbona unafanya mambo ya kipunga
 
Nimeishia kucheka tu aiseee, Mzee Mwenzangu unakula Bata batani eehhh, safi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…