Le Mutuz naye ampopoa Paul Makonda, amwambia dharau zimemponza

Le Mutuz naye ampopoa Paul Makonda, amwambia dharau zimemponza

At least hata huyu William anachoandika kinasomeka post ya juzi ya Makonda inanipa wasiwasi kuwa ni kweli jamaa alitaga shuleni
Lakini huu uandishi ndio unatumika youtube. Hata mimi sijuagi kwa nini
 
Hakuna aliyewahi fanya bifu na Gwajima akabakia salama yupo wapi Job ndugai, bashite alishafutwa kwenye ulimwengu wa roho. Bashite ni gunia la misumari jiwe kalibeba akachemka.
Ni wakati wake wa mavuno asiyakimbie mazao yake.
 
Lakini huu uandishi ndio unatumika youtube. Hata mimi sijuagi kwa nini
Sina tatizo na uandishi wa caps naongelea context tu rejea post ya juzi ya makonda huko Instagram yani kwa uandishi ule ni aibu.
 
Back
Top Bottom