Le mutuz: the good news. Le mutuz tv online (lto)

Le mutuz: the good news. Le mutuz tv online (lto)

Una laana wewe ya kumtelekeza mama yako alipougua halafu ukaenda kumzika umevaa kama kibaka

my-mama-jpg.357960


1466595734422-jpg.358926


1466586440370-jpg.358889
Endelea kumweka sawa huyo ajuza, naona anaweweseka huko aliko [emoji2] [emoji3]
 
Ubunifu zero kabisa kilakitu anamwiiga millardayo.com ukiangalia hata blog yake magazeti yote asubuhi anakopi kutoka millardayo.com tena yakiwa na logo ya millardayo
Shame on you....!
Yan inaonyesha una sura mbaya kama roho yako ilovyokua mbaya hupend watu wapige hatua ulaaniwe....nyie hamfai kuish dunian.
Shwain
 
I am so humbled u know.....ma babezzzzz am now online....nafwazzzzz
 
Lemutuz my Brother huwa napenda kukushauri sana katika Ukweli na ndio maana siku zote huwa nawaza sana Umri wako kila nnapo ona Andiko lako ama kukutana na ww , Mm na ww tumeshakutana sana bila ww kujua , wht I knw ni kwamba , ww ni kati ya watu mliokua na chance kubwa ya kufanya mambo makubwa zaidi ya hayo unayodhani umefanikiwa kuyafanya , mistake unayoifanya ni moja , umeshindwa kujitofautisha ww na watu wengine badala yake umejikuta unafanya competation hadi kwnye minor issue .
Nadhani una wasiwasi na wakati uliopo/umri Vs mafanikio yako na ndio maana kwa lolote dogo utakalolifanya unaharibu kulipublisize ili ujipatie Selfconfort.

Najua unanielewa ..!
Hapo dawa imemuingia kisawasawa
 
eb827bd3716cfa6ee9fbb4737a4afcc7.jpg


- hahahahaha mwambie sisi bongo tunakula batazzz hatuna muda wa kuishi kwa wasi wasi hahaha ona le bebezzz Super Mtindizz Rangi ya mtume U know

le Mutuz
Hivi ww jamaa unakuwaga na akili timamu kweli?,mambo unayofanya hayaendani na umri wako kbs...

Nahisi uliruka stage
 
@lemutuz_nation - THE GOOD NEWS.......LE MUTUZ TV ONLINE (LTO) ....nilianzia Jamiiforums ...nikaingia Facebook ...nikafungua Blog yangu Mwaka 2012....Mwaka 2014 nikajiongeza kwenye all the Social Media tools pamoja na Instagram ...kote humo tulichofanya ni KUJITOFAUTISHA NA WENGINE ndicho kilichotufanya tufikie hapa tulipo na Social Media ...now its about time NIAMEAMUA KUSOGEA MBELE TENA to the Next step ....yaani LE MUTUZ TV ONLINE & STREAMING LIVE ....ni an expensive PROJECT na ndio hasa iliyokuwa sababu ya Safari zangu za hivi Karibuni to CHINA, MACAU, HONG KONG na JOHANNESBURG/SOUTH AFRICA ...ilikuwa ni matayarisho ya kuingia into TV ONLINE ...so now I am ready to go ...kwanza ni makamilisho ya ujenzi wa Studio ambao tayari umeshaanza at the TANCOT HOUSE gorofa ya Tatu pale Posta Mpya ....ujenzi utachukua like Mwezi mzima wa June na by the middle of July tutaanza kuwa rasmi hewani ...na kama kawaida yangu kama nilivyofanya kwenye Social Media I am looking FORWARD TO CHANGE THE GAME sio kisindikiza wengine tu ....NEVER ...so guys huko kwenye Online TV Industry get ready I AM IN.. So help me God!... KAMA UNA USHAURI AU MAONI YA KUSAIDIA PLEASE NITUMIE NAYAPOKEA BILA UBISHI! - le Mutuz Nation -

Ameirusha saa moja iliyopita
View attachment 515599

==========
Hongera sana Mr. W. J. Malecela kwa wengi tunasubiria. Na mimi ni mmoja wa tulioanza kukusoma humu tangu... hadi instagram. Mola azidi kukuongoza na kukusimamia.
sasa hivi unamfahamu msanii roma mkatoriki?
 
PhotoGrid_1482379182580.png


- tafuta mtoto mzuri kama huyu uone kama utakuwa upuuzi hahahahahahahhaa unamjua huyo ni nani? Ni Nigerian Super Star Seishay hapo nilikuwa Lagos Bataz hahahaha unasema ni upuuzi hahahahahaa

le Mutuz
Mjukuu wako hyo,ilitakiwa uwe unatengeneza mambo ya maana na nadharia za kuifaa jamii yako,kwa nafasi aliyokuwa nayi baba ako na upuuzi uufanyao kulinganisha na umri wako ni aibu kubwa sana.
 
- hayo yalikuwa ni maisha ya mama yangu Tunduma, labda ukuonyesha maisha bora ya mama yako kijijini ndio utakuwa na moral ya kuulizia wengine hahahahahaha kalete zingine hahahahahahahhaha


PhotoGrid_1482667039810.png

le Mutuz

Babu una miguu mizuri kama tende si tende dah [emoji23] [emoji23] [emoji23] lahaulaaa mashalah
 
- Really? hahahahaha mimi nakula taabu? hahahahahahaha unasema maisha yangu ni Taabu? hahahaha

18671007_759695400879527_4818333877279237976_n.jpg


- hiyo ilikuwa Nairobi Intercontinental unasema ni maisha ya taabu haya ninayoishi hahahahahahah

18950950_766851073497293_8862506246042641628_n.jpg

- unasema maisha yangu ya kusaifiri kwa Business Class ni taabu sana hahahahahahaha wewe unayo haya? hebu weka picha hapa tuone hahahahaha enjoy the show hahahahahahahahaha
18664240_759646590884408_7709011812143144028_n.jpg


- Hilton Hotel Johannesburg hahahahahaha unasema haya ya kuishi humu kila wakati ni maisha ya taabu sana hahahahahahahah wewe umevurugwa hahahahahahahahaha

le Mutuz

Unaishi hoteli ??
 
Back
Top Bottom