yomboo
JF-Expert Member
- May 9, 2015
- 6,225
- 4,898
Na mosha ingawa saa zingine mosha huwa anaona aibu kuongozana naeMshukuru sana kinje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mosha ingawa saa zingine mosha huwa anaona aibu kuongozana naeMshukuru sana kinje
![]()
- with my home boys Dodoma hiyo hahahahahhahahahaa
le Mutuz
- na nilipokuwa majuu miaka 30 ulikuwa mkono wako? hahahahahahahahaa
le Mutuz
- Ruge ana THT na Joe ana Clouds International, lakini wanakutana Clouds Media so na mimi kule ni hivyo hiyvo LE Mutuz TV ni yangu hahahahahahaha
le Mutuz
lemutuz ndo nani?
Umetoa wapi hii na inahusiana nini na hiki ulichoandika hapa chini?
Halafu unaandika:E bhana eh!! Kama Online TV tu imemfanya apite kote huko basi siku akija kuanzisha japo sawa na Star TV itabidi afike hadi mwezini; na akienda level za Azam TV atalazimika kwenda beyond the solar system kabisa!!!
Equipments for Online TV unaweza kuagiza hata ukiwa ndani ya daladala coz' all you need is internet connected device na online payment processor yenye pesa ya kutosha...!!! Sasa alienda kote huko kufanya nini!!!!!!
Anyway, Best Wishes Le Mutuz popote ulipo lakini majuzi tu hapa nilikuponda kuhusu blog yako ambayo ranking yake ni very low!!
Ungeanza kuipandisha chat blog yako ingekuwa umefanya jambo la maana sana kwa ajili ya hiyo Online TV!!!
Eti wivu na chuki!!! Yaani we jamaa unaona kila mtu ana wivu na wewe...!! Yaani hata mtu anayejaribu kukushauri unamuona ana wivu na chuki na wewe!!! What's so special ulichonacho cha mtu kukuonea wivu?!- Nilipofungua Blog niliambiwa maneno kama haya mbona zipo nyingi sana, so ni maneno ya wakosaji wasiokuwa na maisha huwa siyasikilizi, Blog yangu iliishia kuwa tofauti na ndio hata hii TV online nakuja kivingine, kama unayoyasema ni kweli basi Millardayo asingetumia mamilioni kama yale kujenga studio ya online, pole sana ila utakufa kwa wivu na chuki
le Mutuz
Kweli mkuu huyu jamaa anatia aibu sana yaani umri kama wake anaona ufahari kuhangaika na mademu?sijui hata kama Ana mtoto wa kumuita babaNa mosha ingawa saa zingine mosha huwa anaona aibu kuongozana nae
Cc:lemutuzIlikuwa kwa hisani ya watu Wa Mombasa
Kama ni gari basi hiyo nut ni ya kwenye gear boxBabu mmoja hivi ni kama kuna kinut kimelegea upstairs
William huwa unanishangaza sana na matambo yako ya sijui pesa sijui nini vile! Hivi kama una pesa kiasi hicho nini sababu ya kuacha mama yako akafa katika dimbwi la umasikini namna ile kama tulivyoona zile picha? au wewe hukuwa na mpango naye shauri ya mabebez?
Hahahahahahahahaha, waache wana JF wachangie hamna wivu wala nini, Babu naye ana matatizo yake kwa umri wake. So kubalini both positive and negative comments, hahahahahahahaJamaa inaonekana huyu bwana lemutuz una wivu naye sana. Unajua kumuongelea mtu usiyemjua sio kawaida sana labda saloon. Moja ya matatizo la WTZ ni Wivu na kutopenda Maendeleo ya mwingine. MTU kaweka Tangazo sasa haya maneno mengine umri sijui wabebezi yanatoka wapi. Why kuanza kuangalia "HALF EMPTY GLASS OF WATER BADALA YA HALF FULL GLASS OF WATER ".Unaona kabisa yani Watu Kama wametumwa Hivi maneno juuuu. Mitandaoni Ni mahali pa kusoma Watu wanapenda nini na wewe unatumia hiyo Kwa faida yako mwenyewe. Watu wa humu hawanaga akiba ya maneno. Ikiwa ya mtu anayemshabikia utaskia Maisha yake binafsi we yanakuhusu nini. Ila upande wa pili yanakuhusu. Ushauri wa bure Kama we kweli hupendi na wala hutaangalia basi kaa kimya mana 50mll TZNS ni wengi. Heri kufanya kitu kuliko kuwa mtu wa maneno ya kukashfu jitihada Za wengine Kwa kisingizio cha ubaguzi iwe jinsia. Umri kabila etc.
Kubali wivu au unamaanisha kuchangia ni kujamba .hufikiri huangalii mada. Hapo neno comment unaelewa msingi wake .na positive na negative unaelewa kweli tofauti yake na majungu. The deed is always judge by its intention.hakuna anayekataza kuchangia ila una changia au unamwaga frustrations zako .Hah
Hahahahahahahahaha, waache wana JF wachangie hamna wivu wala nini, Babu naye ana matatizo yake kwa umri wake. So kubalini both positive and negative comments, hahahahahahaha
Sorry mkuu, huwa siwezi malumbano naona umekasirika sana na wakati mzee naye ana matusi kwelikweli. Ungeona comments zangu za jana ungejua namuunga mkono kwa hako kaproject kake ila apunguze sifa na awe na PR nzuri tu. Otherwise tukubali kutofautiana wakati mwingine, natumai hakuna la ziada mkuu. Weekend njemaKubali wivu au unamaanisha kuchangia ni kujamba .hufikiri huangalii mada. Hapo neno comment unaelewa msingi wake .na positive na negative unaelewa kweli tofauti yake na majungu. The deed is always judge by its intention.hakuna anayekataza kuchangia ila una changia au unamwaga frustrations zako .
- hayo yalikuwa ni maisha ya mama yangu Tunduma, labda ukuonyesha maisha bora ya mama yako kijijini ndio utakuwa na moral ya kuulizia wengine hahahahahaha kalete zingine hahahahahahahhaha
![]()
le Mutuz