balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Upuuz tuuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Despite all the drama Le Mbebez is a cool fella.
Creative and entertaining.... Kila mtu ana mapungufu yake. At least yeye anafanya kitu.
Uambiwe tu ukweli hufai kuwa brand hata kidogo anayekujaza naye ajazwe personality na umri wako unatakiwa kupewa kituo cha orphans uwe unawachekesha na kuwapigia hadithi watokwe na upweke- hahahahaha haibadilishi anything wewe na maisha yako madogo na mimi na maisha yangu ya batazzz ambayo huna hahahahaha
le Mutuz
Upuuz tuuuu
Uambiwe tu ukweli hufai kuwa brand hata kidogo anayekujaza naye ajazwe personality na umri wako unatakiwa kupewa kituo cha orphans uwe unawachekesha na kuwapigia hadithi watokwe na upweke
Ni ushauri tu think about it grandpa
Mshukuru sana kinje- Really? hahahahaha mimi nakula taabu? hahahahahahaha unasema maisha yangu ni Taabu? hahahaha
![]()
- hiyo ilikuwa Nairobi Intercontinental unasema ni maisha ya taabu haya ninayoishi hahahahahahah
![]()
- unasema maisha yangu ya kusaifiri kwa Business Class ni taabu sana hahahahahahaha wewe unayo haya? hebu weka picha hapa tuone hahahahaha enjoy the show hahahahahahahahaha
![]()
- Hilton Hotel Johannesburg hahahahahaha unasema haya ya kuishi humu kila wakati ni maisha ya taabu sana hahahahahahahah wewe umevurugwa hahahahahahahahaha
le Mutuz
Kuna mkono wa kinje![]()
- kazi ya kukarabati my new Studio inaendelea soon tutaanza kurusha matangazo ya Online TV na Streaming live from here na ikiisha itakuwa kama hiyo picha hapo pembeni ok hahahahaha ni maisha yangu ya taabu hayo hahahahahaha
le Mutuz
Mungu amjalie hekima maana anapo elekea anapajua mwenyewe
Kuna mkono wa kinje
Ndiyo maana watu wanakuona kuwa wewe ni empty brain,yaani unadhani wewe ndiyo una ela kuliko watanzania wengine?mbona hawajionyeshi kama wewe unavyofanya huo ulimbukeni?mshukuru sana kinje- Really? hahahahaha mimi nakula taabu? hahahahahahaha unasema maisha yangu ni Taabu? hahahaha
![]()
- hiyo ilikuwa Nairobi Intercontinental unasema ni maisha ya taabu haya ninayoishi hahahahahahah
![]()
- unasema maisha yangu ya kusaifiri kwa Business Class ni taabu sana hahahahahahaha wewe unayo haya? hebu weka picha hapa tuone hahahahaha enjoy the show hahahahahahahahaha
![]()
- Hilton Hotel Johannesburg hahahahahaha unasema haya ya kuishi humu kila wakati ni maisha ya taabu sana hahahahahahahah wewe umevurugwa hahahahahahahahaha
le Mutuz
Ni mtumwa wa kinje huyo nyie hamjuiDespite all the drama Le Mbebez is a cool fella.
Creative and entertaining.... Kila mtu ana mapungufu yake. At least yeye anafanya kitu.
Ndiyo maana watu wanakuona kuwa wewe ni empty brain,yaani unadhani wewe ndiyo una ela kuliko watanzania wengine?mbona hawajionyeshi kama wewe unavyofanya huo ulimbukeni?mshukuru sana kinje
Jisikitikie
Wewe umeiga nini kama unadai mtu kuanzisha kitu ni kuiga!? Ingekuwa hivyo basi kila kitu duniani kingekuwa kimja kimoja.
Haya mambo yanakuja na ubunifu, wote hawawezi kuendesha kiusawa..so kaa mkao wa kupata uhondo ikianza.
Ni mtumwa wa kinje huyo nyie hamjui
Swahili TV mmeachana nayo?
Hicho kiblog kinaitwaje nikitembelee, nione ubashite wa Le mbururazKiblog chako kinakosa wateja
hahahaha- pole sana mkuu hii ni biashara ya media ni lazima kujinadi mapema mapema pole sana ingekuwa kama wewe unavyouza mbuzi haina sababu ya kujinadi hahahahaha
le Mutuz
Hicho kiblog kinaitwaje nikitembelee, nione ubashite wa Le mbururaz
Aisii! Mama yake aliishi hapo? Na tambo zote hizi? Apumzike kwa amani!Una laana wewe ya kumtelekeza mama yako alipougua halafu ukaenda kumzika umevaa kama kibaka
![]()
![]()
![]()