Le mutuz: the good news. Le mutuz tv online (lto)

Le mutuz: the good news. Le mutuz tv online (lto)

Duuh! nadhani inategemeana na quailty,Le Mutuz yeye anasema anawekeza 40M,wewe unasema ni google account tu,duuh! umetisha,sasa kufanya interview utakua unafanyia kwenye google account au kwenye chumba maalum ambacho ni sound proof ?
18813563_763172557198478_9021957640039601759_n.jpg


- Siukiliza Radio na TV unaweza kuzitangazia popote pale, kama Online TV lakini tofauti inakuja kwa muhusika na seriousnes aliyonayo na biashara yake, ndio maana Blog inanilipa Millions na wengine hawapati hata senti moja so mimi ninajenga Studio ambayo itaniwezesha kurusha vipindi vya TV kwenye TV stations na Radio nitakazoingia nao mikataba ya kuwarushia vipindi, so sio wote tupo,

- Kama picha inavyosema hapo, nikimaliza ujenzi Studio itafanana na picha ya chini kulia

le Miutuz
 
18813563_763172557198478_9021957640039601759_n.jpg


- Siukiliza Radio na TV unaweza kuzitangazia popote pale, kama Online TV lakini tofauti inakuja kwa muhusika na seriousnes aliyonayo na biashara yake, ndio maana Blog inanilipa Millions na wengine hawapati hata senti moja so mimi ninajenga Studio ambayo itaniwezesha kurusha vipindi vya TV kwenye TV stations na Radio nitakazoingia nao mikataba ya kuwarushia vipindi, so sio wote tupo,

- Kama picha inavyosema hapo, nikimaliza ujenzi Studio itafanana na picha ya chini kulia

le Miutuz
Nimekusoma mkuu,nilikua namkejeli huyo anayesema online Tv ni google account tu bila kujali quality ya sehemubya ofisi wala mitambo,all the best mkuu.
 
19105975_768315536684180_7537813003479161646_n.jpg


- hahahahahha ona maisha yanavyoendelea na makelele yako yote hahahahahaha nipe wiki 3 nitakuwa hewani na Online TV, na hutabadili lolote, tayari nimeshaingia mkataba na Vodacom, ASAS, pamoja na Amariah Hotel. Hao wote uliowataja size yangu ni Millard tu wote tunadhaminiwa na Vodacom, hao wengine nitajie wadhamini wao hahahahahahahhaa

- Pole sana hapa ni ngoma kubwa mkuu wewe piga kelele zako huko vichochoroni sisi huku mjini tunafanya kweli hahahahaha

le Mutuz
Mshika pembe... unaishia kupiga nao picha wenzako wanaenda kugonga!!! Narudia, sina cha kumuonea wivu mzee wa 55+ ambae kinachomweka mjini ni blog isiyo na viwango!!!!

Halafu bila aibu eti unajilinganisha na Millard Ayo!!!

Lemutuz 01.png



Bongo5.png


Millard Ayo01.png


Or else, weka ranking results zako kati ya hizo blogs mbili


Sasa jiongeze mwenyewe!!! Ikiwa Millard Ayo ana-rank namba 5 Tanzania na wewe una-rank namba 376 Tanzania; umeshajiuliza hapo kati kati kuna blogs ngapi kabla hujafikia huo uchafu wako unaopigia kelele watu kila siku kwamba una blog?!
 
Mshika pembe... unaishia kupiga nao picha wenzako wanaenda kugonga!!! Narudia, sina cha kumuonea wivu mzee wa 55+ ambae kinachomweka mjini ni blog isiyo na viwango!!!!

Halafu bila aibu eti unajilinganisha na Millard Ayo!!!

View attachment 522640


View attachment 522645

View attachment 522646

Or else, weka ranking results zako kati ya hizo blogs mbili


Sasa jiongeze mwenyewe!!! Ikiwa Millard Ayo ana-rank namba 5 Tanzania na wewe una-rank namba 376 Tanzania; umeshajiuliza hapo kati kati kuna blogs ngapi kabla hujafikia huo uchafu wako unaopigia kelele watu kila siku kwamba una blog?!

- HAHAHAHAH hahahahaha uliza uelimishwe, Instagram nzima Vodacom tupo 3 mimi, Diamond na Millard ndio manaa events zote za vodacom ni lazima tuwepo, kama tulivyokwenda Mwanza, UDOM na Kyela pamoja na Mliman City, hahahaha

- ngoja nikuletee picha ya one of the events za Vodacom, hahahahahaha pole sana unahangaika bure subiri kidogo

le Mutuz
 
Mshika pembe... unaishia kupiga nao picha wenzako wanaenda kugonga!!! Narudia, sina cha kumuonea wivu mzee wa 55+ ambae kinachomweka mjini ni blog isiyo na viwango!!!!

Halafu bila aibu eti unajilinganisha na Millard Ayo!!!

View attachment 522640


View attachment 522645

View attachment 522646

Or else, weka ranking results zako kati ya hizo blogs mbili


Sasa jiongeze mwenyewe!!! Ikiwa Millard Ayo ana-rank namba 5 Tanzania na wewe una-rank namba 376 Tanzania; umeshajiuliza hapo kati kati kuna blogs ngapi kabla hujafikia huo uchafu wako unaopigia kelele watu kila siku kwamba una blog?!
19059550_768331196682614_305499441467630410_n.jpg


- mazawadi zawadi from Vodacom hahahahahahahahhahahahahahha hapa ni Mliman City kwenye promo za Vodacom, pale Mliman City bakiza maneno mjinga wewe mimi sio level yako, sasa hao unawasema mbona hawapo hapa? hahahahahahaha

le Mutuz
 
Mshika pembe... unaishia kupiga nao picha wenzako wanaenda kugonga!!! Narudia, sina cha kumuonea wivu mzee wa 55+ ambae kinachomweka mjini ni blog isiyo na viwango!!!!

Halafu bila aibu eti unajilinganisha na Millard Ayo!!!

View attachment 522640


View attachment 522645

View attachment 522646

Or else, weka ranking results zako kati ya hizo blogs mbili


Sasa jiongeze mwenyewe!!! Ikiwa Millard Ayo ana-rank namba 5 Tanzania na wewe una-rank namba 376 Tanzania; umeshajiuliza hapo kati kati kuna blogs ngapi kabla hujafikia huo uchafu wako unaopigia kelele watu kila siku kwamba una blog?!
19059729_768331326682601_5987675073387600717_n.jpg


- hizo namba zako zishikilie hapa ni kwenye promo ya Vodacom na huyo pembeni ni Boss wa Vodacom, so tulia mjinga wewe mimi sibahatishi hahahahahahahah wadanganye wajinga wenzako hapa umepiga mwamba, mtoto wa kiume kufuatilia maisha ya wanaume wengione kwa kutumia majina ya bandia hahahahahahahaha utavalishwa dira mjini hapa

le Mutuz
 
Mshika pembe... unaishia kupiga nao picha wenzako wanaenda kugonga!!! Narudia, sina cha kumuonea wivu mzee wa 55+ ambae kinachomweka mjini ni blog isiyo na viwango!!!!

Halafu bila aibu eti unajilinganisha na Millard Ayo!!!

View attachment 522640


View attachment 522645

View attachment 522646

Or else, weka ranking results zako kati ya hizo blogs mbili


Sasa jiongeze mwenyewe!!! Ikiwa Millard Ayo ana-rank namba 5 Tanzania na wewe una-rank namba 376 Tanzania; umeshajiuliza hapo kati kati kuna blogs ngapi kabla hujafikia huo uchafu wako unaopigia kelele watu kila siku kwamba una blog?!
19030569_768331033349297_5992800605328431802_n.jpg


- sijawahi kumshikia mtu pembe kama huamini nipe uone mjinga wewe nitakushikisha pembe wewe mwenyewe au ukuta hahahaha, umeona hii hahahahahahahhaa Vodacom ndio level yangu sio ujinga ujinga wako hahahahahahha

le Mutuz
 
Huyu Mzee anadanganya wasiojua haya mambo!!!
15349622_667122373470164_9069633545959564184_n.jpg

- Umeona mjinga wewe hawa ni Mafikizolo waliletwa na Vodacom, nikaenda nao UDOM Dodoma pamoja na Diamond, na Millard Ayo hahahahahahahhaa tuliza boli watishe wajinga wenzako hapa huwa hatuna sababu ya kudanganya ili iwe nini? hahahahahahha U know

le Mutuz
 
Mshika pembe... unaishia kupiga nao picha wenzako wanaenda kugonga!!! Narudia, sina cha kumuonea wivu mzee wa 55+ ambae kinachomweka mjini ni blog isiyo na viwango!!!!

Halafu bila aibu eti unajilinganisha na Millard Ayo!!!

View attachment 522640


View attachment 522645

View attachment 522646

Or else, weka ranking results zako kati ya hizo blogs mbili


Sasa jiongeze mwenyewe!!! Ikiwa Millard Ayo ana-rank namba 5 Tanzania na wewe una-rank namba 376 Tanzania; umeshajiuliza hapo kati kati kuna blogs ngapi kabla hujafikia huo uchafu wako unaopigia kelele watu kila siku kwamba una blog?!
12742634_526685927513810_8682442850654923670_n.jpg


- hahahahahahahhaa ona hapa na hizo rank zako za kutengeneza mwenyewe unadhani wewe unaweza kuwadanganya Vodacom wakaupa kazi kama hii na wewe sio maarufu? hahahahahahaha leo umeingia choo cha kiume mtoto wa kike wewe hahahahahaha pole sana

le Mutuz
 
Huyu Mzee anadanganya wasiojua haya mambo!!!
12698680_524797907702612_4557602290046335883_o.jpg


- hapo ni juzi nilikuwa natengeneza tangazo jipya la Vodacom, sasa hao unasema wananizidi vipi mbona hawajapewa kama mimi? hahahahahahahahha tulia wewe nilikuambia siku nyingi haya mambo ya Social Media huyajui nyamaza unaona sasa aibu yako? hahahahahahahahhahaa

le Mutuz
 
12742634_526685927513810_8682442850654923670_n.jpg


- hahahahahahahhaa ona hapa na hizo rank zako za kutengeneza mwenyewe unadhani wewe unaweza kuwadanganya Vodacom wakaupa kazi kama hii na wewe sio maarufu? hahahahahahaha leo umeingia choo cha kiume mtoto wa kike wewe hahahahahaha pole sana

le Mutuz
Kwanza hawa wapiga kelele hawafiki hilton double tree hahahahhaa mazafantaz
 
Baada ya kuona Bashite haoneshwi popote ameamua kufungua yake kupitia punda wake le Mutuz le akili ndogoz
 
- HAHAHAHAH hahahahaha uliza uelimishwe, Instagram nzima Vodacom tupo 3 mimi, Diamond na Millard ndio manaa events zote za vodacom ni lazima tuwepo, kama tulivyokwenda Mwanza, UDOM na Kyela pamoja na Mliman City, hahahaha

- ngoja nikuletee picha ya one of the events za Vodacom, hahahahahaha pole sana unahangaika bure subiri kidogo

le Mutuz
We jamaa vipi?! Nimekupa ranking za Millard Ayo na hako ka-blog kako halafu unaniletea stori za akina Diamond?!

Diamond ni VodaCom Ambassor... huoni aibu unajilinganisha nae?! Millard Ayo nae ni ambassador wao ingawaje ambassadorship yake sio kama ile ya Diamond!!

Kinyume chake, watu kama wewe are just publishers and can be anyone provided, one ana good traffic... mtu kama Millard Ayo, Bongo5, JF, Swahili Times n.k! Au mtu mwenye connection kama ambavyo ilitokea kwa Mange Kimambi ambae alipigiwa pande na swahiba wake wa pale VodaCom! Lakini wakati mwingine, ukiweza kujipendekeza kwa watu unapata hizo issues... ndo kama wewe!!!

But in addition, hata deal anayopata mtu kama Millard Ayo na mtu kama wewe ni tofauti sana... narudia; TOFAUTI SANA!!!! Millard Ayo amekupita kwa vigezo vyote tena amekuacha mbali!!!

Social media accounts zake ni very powerful kulinganisha na wewe... ni kama mlima na kichuguu!!!!

Blog yake ina high volume of traffic kuliko wewe; ni kama mlima na kichuguu!!!

But on top of that, he's more influential kuliko wewe... ni kama mlima na kichuguu!!! Nje ya Instagram very few people know this guys so called William Malecela!!!!

So, acha kujilinganisha na mtu kama Millard Ayo... unaonekana ni kituko!!! Huyo Diamond ndo kabisa manake mwisho wake ni hapa:

LemutuzA.jpg

Itoshe tu kusema kwamba huna cha kunielimisha labda mimi nikuelimishe wewe!!!

Na uzuri ni kwamba haya mambo huwezi kunidanganya! It's very unfortunately huu mjadala upo JF lakini ingekuwa kwenye Instagram page yako ungekuwa umeshani-block ili ubaki na maju'ha peke yake uendelee kuwadanganya!!!
 
We jamaa vipi?! Nimekupa ranking za Millard Ayo na hako ka-blog kako halafu unaniletea stori za akina Diamond?!

Diamond ni VodaCom Ambassor... huoni aibu unajilinganisha nae?! Millard Ayo nae ni ambassador wao ingawaje ambassadorship yake sio kama ile ya Diamond!!

Kinyume chake, watu kama wewe are just publishers and can be anyone provided, one ana good traffic... mtu kama Millard Ayo, Bongo5, JF, Swahili Times n.k! Au mtu mwenye connection kama ambavyo ilitokea kwa Mange Kimambi ambae alipigiwa pande na swahiba wake wa pale VodaCom! Lakini wakati mwingine, ukiweza kujipendekeza kwa watu unapata hizo issues... ndo kama wewe!!!

But in addition, hata deal anayopata mtu kama Millard Ayo na mtu kama wewe ni tofauti sana... narudia; TOFAUTI SANA!!!! Millard Ayo amekupita kwa vigezo vyote tena amekuacha mbali!!!

Social media accounts zake ni very powerful kulinganisha na wewe... ni kama mlima na kichuguu!!!!

Blog yake ina high volume of traffic kuliko wewe; ni kama mlima na kichuguu!!!

But on top of that, he's more influential kuliko wewe... ni kama mlima na kichuguu!!! Nje ya Instagram very few people know this guys so called William Malecela!!!!

So, acha kujilinganisha na mtu kama Millard Ayo... unaonekana ni kituko!!! Huyo Diamond ndo kabisa manake mwisho wake ni hapa:


Itoshe tu kusema kwamba huna cha kunielimisha labda mimi nikuelimishe wewe!!!

Na uzuri ni kwamba haya mambo huwezi kunidanganya! It's very unfortunately huu mjadala upo JF lakini ingekuwa kwenye Instagram page yako ungekuwa umeshani-block ili ubaki na maju'ha peke yake uendelee kuwadanganya!!!
12742634_526685927513810_8682442850654923670_n.jpg


-
19059729_768331326682601_5987675073387600717_n.jpg


- hahahahhaha kaka hapa mjini ni kazi na malipo, ninapiga kazi ninalipwa ninachojua Vodacom kule Isntagram tupo 3 tu mimi, Diamond na Millard mpaka leo, na hata sasa ninapoingia kwenye online TV nipo nao na ndio Kampuni kubwa kwenye simu kuliko zote na ndio watu makini sana katika kuchagua nani wamtumie kwenye matangazo,

- Sasa nakushangaa unavypoteza muda kuandika ujinga wakati mimi ninalipwa wewe hulipwi, hahahahahahaha ungenyamza tu maana unapoteza muda wako bure, narudi tena kazi yangu ya Social Media inanilipa wewe hulipwi, so utalia na maneno mengi unapoteza muda bure hahahahahahaha cha msingi ni malipo na ndio kwanza tumeingia mkataba mpya so pole sana ila TV yangu online utaiangalia na utaisoma tu kama unavyoisoma blog sasa hivi na Instagram,

- Mimi nilianzisha Blog kwa sababu ya malipo na ninayapata, nilianzisha Isntagram kwa sababu ya malipo ninayapata, na sasa nimeamua kuingia Online TV kulipwa na nitalipwa sasa wewe unalili nini hasa? hahahahahahahaha

le Mutuz
 
Back
Top Bottom