William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Huna hiyo miaka kwahiyo hata umri nao unataka kudanganya?!
Ni mara ngapi umekuwa ukipiga kelele kila mmoja ajue kwamba umeishi majuu miaka 30.... USHAMBA MTUPU! Watu wanazaliwa huko, wanakulia huko, wanasoma huko hadi wanazeekea huko lakini katu haijawahi kuwa repetitive topic kwao!!!
Na ulienda huko bado ukiwa mshamba mshamba uliyemaliza sekondari!! Now let's assume ulimaliza sekondari na miaka 20.... jumlisha na hiyo 30 ni miaka mingapi hiyo kama sio 50?!
Jumlisha miaka uliyoishi Tz tangia urudi... at least 5 years + 50 = at least 55 years!!!
Sasa unachokataa kwamba unakimbilia 60 years nini?!
But I can understand!! Lazima upoteze kumbukumbu ya umri wako cuz' the way you act doesn't reflect your real age... completely like high school kid ndo unasahau kwamba ni mzee unayekaribia 60 years...
- haya ndio maisha yangu mkuu ninaposafiri nakaa sehemu kama hizi, hahahahahahhaa umri baki nao mimi naendelea na maisha U know hahahahahahahhaa
le Mutuz