Le mutuz: the good news. Le mutuz tv online (lto)

Ubunifu zero kabisa kilakitu anamwiiga millardayo.com ukiangalia hata blog yake magazeti yote asubuhi anakopi kutoka millardayo.com tena yakiwa na logo ya millardayo
Shame on you....!
Yan inaonyesha una sura mbaya kama roho yako ilovyokua mbaya hupend watu wapige hatua ulaaniwe....nyie hamfai kuish dunian.
Shwain
 
I am so humbled u know.....ma babezzzzz am now online....nafwazzzzz
 
Hapo dawa imemuingia kisawasawa
 


- hahahahaha mwambie sisi bongo tunakula batazzz hatuna muda wa kuishi kwa wasi wasi hahaha ona le bebezzz Super Mtindizz Rangi ya mtume U know

le Mutuz
Hivi ww jamaa unakuwaga na akili timamu kweli?,mambo unayofanya hayaendani na umri wako kbs...

Nahisi uliruka stage
 
sasa hivi unamfahamu msanii roma mkatoriki?
 


- tafuta mtoto mzuri kama huyu uone kama utakuwa upuuzi hahahahahahahhaa unamjua huyo ni nani? Ni Nigerian Super Star Seishay hapo nilikuwa Lagos Bataz hahahaha unasema ni upuuzi hahahahahaa

le Mutuz
Mjukuu wako hyo,ilitakiwa uwe unatengeneza mambo ya maana na nadharia za kuifaa jamii yako,kwa nafasi aliyokuwa nayi baba ako na upuuzi uufanyao kulinganisha na umri wako ni aibu kubwa sana.
 
- hayo yalikuwa ni maisha ya mama yangu Tunduma, labda ukuonyesha maisha bora ya mama yako kijijini ndio utakuwa na moral ya kuulizia wengine hahahahahaha kalete zingine hahahahahahahhaha



le Mutuz

Babu una miguu mizuri kama tende si tende dah [emoji23] [emoji23] [emoji23] lahaulaaa mashalah
 

Unaishi hoteli ??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…