Le mutuz: the good news. Le mutuz tv online (lto)

Le mutuz: the good news. Le mutuz tv online (lto)

- hahahahahaha U know hatupendi matusi ya nyumbu wanaitumwa kuja kuvuruga mijadala muhimu kwa Taifa, ila najua doze inaingia ndio the idea maana jana kuna mpaka Mbunhe kalia machozi hahahahahaha

le Mutuz
Unakuaje mjadala uku ume disable comments?any way inawez ku make sense atleast useme its an inside CDM conduct against lissu,kusema ame frame tukio ni insensible aisee,yan mtu a frame kupigwa risas mpk za tumbo?then apelekw hospital ambayo iko owned na establshment meanwhile police wa confirm tukio realy?dereva ausike then akubali waende nairobi?na anajua the man is not done yet?akiamk akasema je? kuhusu dereva kua spoted ana smile,ilo kaeni nalo kuanzia alhmc-,monday uyo mtu awe traumatized tu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unakuaje mjadala uku ume disable comments?any way inawez ku make sense atleast useme its an inside CDM conduct against lissu,kusema ame frame tukio ni insensible aisee,yan mtu a frame kupigwa risas mpk za tumbo?then apelekw hospital ambayo iko owned na establshment meanwhile police wa confirm tukio realy?dereva ausike then akubali waende nairobi?na anajua the man is not done yet?akiamk akasema je? kuhusu dereva kua spoted ana smile,ilo kaeni nalo kuanzia alhmc-,monday uyo mtu awe traumatized tu?

Sent using Jamii Forums mobile app

- duh very interesting cause hakuna popote niliposema unayoyasema, ninachofanya ni kuweka facts out na kumuacha mwananchi aamue, nilifundishwa na the Americans kuwa lazima nipigane kuhakikisha kuna Two stories, Mange kaweka ya kwake na mimi nimeweka ya kwangu kaanza matusi WHY? Umeona jana hata Mbunge wa CCM kajitokeza kumteta unadhani ni mchezo?

- I mean tuache ushabiki na yote kuna vitu haviko sawa na tunachoambiwa kuhusu hili shambulio, na hakuna anayetaka mjadala honest ukianza kuuliza wanarusha matusi, ndio maanaa nimefunga Comments ili wajifunze pole pole ninachosema na it working maana matusi ya juzi sio mchezo,

le Mutuz
 
- duh very interesting cause hakuna popote niliposema unayoyasema, ninachofanya ni kuweka facts out na kumuacha mwananchi aamue, nilifundishwa na the Americans kuwa lazima nipigane kuhakikisha kuna Two stories, Mange kaweka ya kwake na mimi nimeweka ya kwangu kaanza matusi WHY? Umeona jana hata Mbunge wa CCM kajitokeza kumteta unadhani ni mchezo?

- I mean tuache ushabiki na yote kuna vitu haviko sawa na tunachoambiwa kuhusu hili shambulio, na hakuna anayetaka mjadala honest ukianza kuuliza wanarusha matusi, ndio maanaa nimefunga Comments ili wajifunze pole pole ninachosema na it working maana matusi ya juzi sio mchezo,

le Mutuz
Mjadala unajadiliana na nani? Washa comments uporomoshewe mjadala uone moto wake alaah
 
- duh very interesting cause hakuna popote niliposema unayoyasema, ninachofanya ni kuweka facts out na kumuacha mwananchi aamue, nilifundishwa na the Americans kuwa lazima nipigane kuhakikisha kuna Two stories, Mange kaweka ya kwake na mimi nimeweka ya kwangu kaanza matusi WHY? Umeona jana hata Mbunge wa CCM kajitokeza kumteta unadhani ni mchezo?

- I mean tuache ushabiki na yote kuna vitu haviko sawa na tunachoambiwa kuhusu hili shambulio, na hakuna anayetaka mjadala honest ukianza kuuliza wanarusha matusi, ndio maanaa nimefunga Comments ili wajifunze pole pole ninachosema na it working maana matusi ya juzi sio mchezo,

le Mutuz
Babu shikamoo, pole na majukumu, vipi TIVII ishakua hewani? sisi huku maporini tunawezaje kuiona???
 
Babu shikamoo, pole na majukumu, vipi TIVII ishakua hewani? sisi huku maporini tunawezaje kuiona???
upload_2017-9-30_11-23-4.jpeg


hahahahahaha nenda you tube "Lemutuz Online TV" utapata habari zote!

le Mutuz
 
Wadau

Imeshaanza online kama kawa

Hongera nyingi sana kwa LeMutuz.
 
Ila hivi kwanini akili yangu inaniambia cocochanel ndio Le Mutuz? We jamaa kataa kubali ni mtu mmoja

Acha kufikiria hivyo kwa sababu unakosea kuwa mimi ni LeMutuz.. kupenda yake anayofanya tangu nimemjulia kupitia humu JF kwa post zake.. haimaanishi mimi ni yeye.
 
Acha kufikiria hivyo kwa sababu unakosea kuwa mimi ni LeMutuz.. kupenda yake anayofanya tangu nimemjulia kupitia humu JF kwa post zake.. haimaanishi mimi ni yeye.

Akili zenu zinafanana [emoji64] blank
 
Utajiju na ubishi wako
Halafu jipige vibao vya usoni kwa kuwa empty huko juu
Nakuchekaaaaa alosto
Nimejipiga vibao vitatu vya nguvu kwenye shavu la kulia.
Ila mbona na mimi ni Lemutuz halafu najikubali.
Kwanini na wewe usijikubali.!!?
 
USIPOKUWA NA AKILI HALAFU UNA MWILI MKUBWA NI AIBU.ETI MTOTO WA WAZIRI MKUU,KASOMA NA KUKAA NJE NUSU KARNE ANA UMRI WA KUSTAAFU NA HANA MKE ALIOCHEZA NAO UDOGONI NI KAMA JANUARI MAKAMBA, RIZ KIKWETE,ADAM MALIMA,MAKONGORO,HUSEIN MWINYI NA NAPE ETI LEO ANASHINDANA NA KIJANA WA KIMERU FORM FOUR ALIYESOMA SHULE ZA KATA KWA HELA ZA KUDUNDULIZA MILARD AYO!!!KICHWA KIKIJAA MAJI NA TUMBO LIKIJAA MA.... NI SHIDA!!!!

LE MUTUZ2.jpg
 
USIPOKUWA NA AKILI HALAFU UNA MWILI MKUBWA NI AIBU.ETI MTOTO WA WAZIRI MKUU,KASOMA NA KUKAA NJE NUSU KARNE ANA UMRI WA KUSTAAFU NA HANA MKE ALIOCHEZA NAO UDOGONI NI KAMA JANUARI MAKAMBA, RIZ KIKWETE,ADAM MALIMA,MAKONGORO,HUSEIN MWINYI NA NAPE ETI LEO ANASHINDANA NA KIJANA WA KIMERU FORM FOUR ALIYESOMA SHULE ZA KATA KWA HELA ZA KUDUNDULIZA MILARD AYO!!!KICHWA KIKIJAA MAJI NA TUMBO LIKIJAA MA.... NI SHIDA!!!!

View attachment 624516
Chuki azijengi Mkuu. Life style ya mtu mwingine usiiforce ifanane na mtu mwingine.
Kamwe kwenye maisha yako usijilinganishe na mtu mwingine. Jitazame wewe maana siku yako ya mwisho itasomwa historia yako na sio ya mtu mwingine na kabulini utaingia peke yako.
 
Inawezekana kwa Afrika,,,Tanzania itakuwa inaongoza kwa tuTV twingi maana naona kula mtu anajifunguli na sijui kama tunalipa kodi (tax)
 
10955680_390358997813171_8023044971578825204_n.jpg


- hahahahahahaa wewe piga kelele weee mpaka ulie machozi, Social Media is my field ndiyo inayonipa mkate na nitaendelea mpaka nifikie kumiliki Radio na TV, ndiko ninakoelekea wewe piga kelele hapa pole sana hahahahahaha, nitatoa ajira na ukitaka utapewa ajira hahahahahahha,

le Mutuz
nangoja ajira Le Mutuz
 
USIPOKUWA NA AKILI HALAFU UNA MWILI MKUBWA NI AIBU.ETI MTOTO WA WAZIRI MKUU,KASOMA NA KUKAA NJE NUSU KARNE ANA UMRI WA KUSTAAFU NA HANA MKE ALIOCHEZA NAO UDOGONI NI KAMA JANUARI MAKAMBA, RIZ KIKWETE,ADAM MALIMA,MAKONGORO,HUSEIN MWINYI NA NAPE ETI LEO ANASHINDANA NA KIJANA WA KIMERU FORM FOUR ALIYESOMA SHULE ZA KATA KWA HELA ZA KUDUNDULIZA MILARD AYO!!!KICHWA KIKIJAA MAJI NA TUMBO LIKIJAA MA.... NI SHIDA!!!!

View attachment 624516
Huyo jamaa age mate zake kina Mbowe na sio kina January Makamba!! Zee hilo sema linajichetua!!!
 
Back
Top Bottom