Le mutuz: the good news. Le mutuz tv online (lto)

Le mutuz: the good news. Le mutuz tv online (lto)

- hahahahaha siku ukiniona natumia majina ya bandia kama wewe ujue nimeshuka your level hahahahaha

le Mutuz
sawa cocochanel mwenyewe mwenyewe le jingazzz

Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app

 
Lemutuz Nation unazingua.
Umenipiga block Instagram hata sijui tatizo ni nini?
Huu mwaka sasa nashindwa kupata updates kwenye page yako.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu inaonekana una serious bizness to talk with the akili kubwaz,inaonekana ulimsumbua le ubongoz so akaamua aku blockz u know!!! Kuna mwingine mwenye tatizo hukoooo ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu inaonekana una serious bizness to talk with the akili kubwaz,inaonekana ulimsumbua le ubongoz so akaamua aku blockz u know!!! Kuna mwingine mwenye tatizo hukoooo ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha mkuu akili ndogo siku zote haiwezi ikashindana na akili kubwaz, u know... Le mutuz nathamini mchango wake sana isipokuwa nilimuomba namba ya simu ya le-mutindizzzz mmoja video queen flan ivi amazing na inasemekana ashawahi kuwa miss some where hapa downtown u know!!! So lemubebez akaamua kunipiga pini [emoji23][emoji23][emoji23] ili nisimsumbue, nadhani kashanijua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha mkuu akili ndogo siku zote haiwezi ikashindana na akili kubwaz, u know... Le mutuz nathamini mchango wake sana isipokuwa nilimuomba namba ya simu ya le-mutindizzzz mmoja video queen flan ivi amazing na inasemekana ashawahi kuwa miss some where hapa downtown u know!!! So lemubebez akaamua kunipiga pini [emoji23][emoji23][emoji23] ili nisimsumbue, nadhani kashanijua.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ooh ,sasa ukitaka mambo yawe vzur lazima uwe business mogul ndo utaelewana nae,umpeleke downtown mkapate le super coffe then umpeleke double tree for dinner,hapo ndo atakupa namba ya mtindiz coz rafiki zao ni ma tajili like davis masha and le rc mdogoz bashitez you know ,am humbled [emoji41]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lemutuz Nation unazingua.
Umenipiga block Instagram hata sijui tatizo ni nini?
Huu mwaka sasa nashindwa kupata updates kwenye page yako.

Sent using Jamii Forums mobile app

Unashindwa kupata le word of wisdom from le akili kubwaz,mtumie id aku unblock ,coz ukiacha the late jk nyerere,le baharia ndo mtu pekee hpa duniani mwenye hekima na upeo mkubwa wa kutisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Njoo Ujibu mashitaka Mange ameshakulipua IG hahahaha kumbe nchi hii ina wadau wengi Wa group lile pendwa

Sent From My Nokia Ya Tochi
 
Le mutuz is the only man who owns a Tv station,yet he cant stand a comment from a 100 followers instagram user and still confidently call his posts "FACTS"

Sent using Jamii Forums mobile app

- hahahahahaha U know hatupendi matusi ya nyumbu wanaitumwa kuja kuvuruga mijadala muhimu kwa Taifa, ila najua doze inaingia ndio the idea maana jana kuna mpaka Mbunhe kalia machozi hahahahahaha

le Mutuz
 
Back
Top Bottom