Le mutuz: the good news. Le mutuz tv online (lto)

Le mutuz: the good news. Le mutuz tv online (lto)

- hahahahaha sawa sawa bora ujinga unaolipa kuliko huu wako wa kunufaisha wengine kwa kutumia majina yako ya bandia nadhani ni ujinga suio maelezo hahahahahah mimi ujinga wangu unalipa ndio maana una wadhamini hahahahha

le Mutuz
kwa ujinga ulionao ndio mana umeshindwa kuelewa ninachomaanisha.

Id fake wala hainipi shida naweza nkakupa jina langu na uthibitisho wa vyeti original (ambavo mjinga mwenzako hana) uhakikishe.

Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app

 
@lemutuz_nation - THE GOOD NEWS.......LE MUTUZ TV ONLINE (LTO) ....nilianzia Jamiiforums ...nikaingia Facebook ...nikafungua Blog yangu Mwaka 2012....Mwaka 2014 nikajiongeza kwenye all the Social Media tools pamoja na Instagram ...kote humo tulichofanya ni KUJITOFAUTISHA NA WENGINE ndicho kilichotufanya tufikie hapa tulipo na Social Media ...now its about time NIAMEAMUA KUSOGEA MBELE TENA to the Next step ....yaani LE MUTUZ TV ONLINE & STREAMING LIVE ....ni an expensive PROJECT na ndio hasa iliyokuwa sababu ya Safari zangu za hivi Karibuni to CHINA, MACAU, HONG KONG na JOHANNESBURG/SOUTH AFRICA ...ilikuwa ni matayarisho ya kuingia into TV ONLINE ...so now I am ready to go ...kwanza ni makamilisho ya ujenzi wa Studio ambao tayari umeshaanza at the TANCOT HOUSE gorofa ya Tatu pale Posta Mpya ....ujenzi utachukua like Mwezi mzima wa June na by the middle of July tutaanza kuwa rasmi hewani ...na kama kawaida yangu kama nilivyofanya kwenye Social Media I am looking FORWARD TO CHANGE THE GAME sio kisindikiza wengine tu ....NEVER ...so guys huko kwenye Online TV Industry get ready I AM IN.. So help me God!... KAMA UNA USHAURI AU MAONI YA KUSAIDIA PLEASE NITUMIE NAYAPOKEA BILA UBISHI! - le Mutuz Nation -

Ameirusha saa moja iliyopita
View attachment 515599

==========
Hongera sana Mr. W. J. Malecela kwa wengi tunasubiria. Na mimi ni mmoja wa tulioanza kukusoma humu tangu... hadi instagram. Mola azidi kukuongoza na kukusimamia.

==========

Update kwa picha



================

Update
23rd August 2017

View attachment 573037

Update
31st August 2017

View attachment 579132
View attachment 579133
kama una jihusisha na Le Mutuz sikuheshimu tena kuanzia leo cocochanel
 
kwa ujinga ulionao ndio mana umeshindwa kuelewa ninachomaanisha.

Id fake wala hainipi shida naweza nkakupa jina langu na uthibitisho wa vyeti original (ambavo mjinga mwenzako hana) uhakikishe.

Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app

- imagine mtu aliyeenda shule anapotumia majina ya bandia kutukana wengine asiowajua kwenye mitandao unasema ni mzima? hahahahahahhaa

le Mutuz
 
- imagine mtu aliyeenda shule anapotumia majina ya bandia kutukana wengine asiowajua kwenye mitandao unasema ni mzima? hahahahahahhaa

le Mutuz
Ngoja nitulie nisije nikajishusha kuwa level zako. Nikawa janga la taifa as you are period

Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app

 
Ubunifu zero kabisa kilakitu anamwiiga millardayo.com ukiangalia hata blog yake magazeti yote asubuhi anakopi kutoka millardayo.com tena yakiwa na logo ya millardayo
Shame on you....!


Binafsi nimefurahi LIKE ULIZOPEWA na wenye chuki wenzako hongera sana Mkuu.
 
Ngoja nitulie nisije nikajishusha kuwa level zako. Nikawa janga la taifa as you are period

Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app

- hahahahaha siku ukiniona natumia majina ya bandia kama wewe ujue nimeshuka your level hahahahaha

le Mutuz
 
Back
Top Bottom