Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hongera kwa uamuzi wa kuoa, sasa umekua na atasaidia mengi. Namuona huyo wa kulia msalimie sana, siku hizi simsikii sana. Ila mambo yako mengi ni kwenye mahoteli sasa utajenga familia na kupunguza misifa, kumbuka kunipa mwaliko kama mwana JF![]()
- Halafu ninakribia kuoa le mbebezzz so ni lazima kumtambulisha kwa Rafiki wa kweli, here majuzi na my babe Hilton Hotel hahahahahaha wewe piga kelele huku JF sisi huko Duniani tunaishi kweli hahahahahahaha U know
le Mutuz
Le super mtindiziiiii
Hv siku le mkengez akifa atakua ameacha nini kingine zaidi ya picha na kusifia wanaume
Hatushangai mwanaume ukimegwa lazima uishi hv.... U know![]()
![]()
![]()
- haya ndio maisha yangu mkuu ninaposafiri nakaa sehemu kama hizi, hahahahahahhaa umri baki nao mimi naendelea na maisha U know hahahahahahahhaa
le Mutuz
Hatushangai mwanaume ukimegwa lazima uishi hv.... U know
We kubwa jinga upo kumbe- kumbe unamegwa ndio maana hushangai? hahahahahahahhaa
le Mutuz
Mods hii sio Facebook ebu piga ban huu upuuzi.
We kubwa jinga upo kumbe
Haya mambo waachie kina Tunda,hayaendani na umri wako etii![]()
![]()
- so jana kumbe ile futari nili down load? hahahahahahhahaa futari ya jana hiyo mtuwangu kumbe uliniona niki down load hahahahaha
le Mutuz