Le mutuz: the good news. Le mutuz tv online (lto)

Le mutuz: the good news. Le mutuz tv online (lto)

Ni tabia za Sungura Tope
Kuwa mkweli you wished to be in his shoes ku hang out with them bebez!
Atawapa stress Le Mutuz ,mmebaki age !age !age !
Who want to live like damned old man at 40 -60s? I will keep it young till i drop dead ! Ikikubali mwili na akili yako vizeeka sambamba ur in trouble act ur age at kutafuta pesa inapokuna bataz alway in my 20s!
Najua huwezi nielewa nakupa mfano nokienda beach hakuna costume za kizee,pombe hakuna pombe ya kizee kuna za wenye hela na wasiokuwa na hela hakuna hoteli ya kizee hakuna muziki wa kizee hakuna bangi ya kizee hakuna changudoa wa kizee! U got my drift?achana na lemutuz katafute pesa na wewe usumbue !
 
17498718_726168794232188_6911956993665715276_n.jpg


- hapo ni nyumbani kwangu sasa niambie kuna kids wanaishi hivi? hahahahahahha weka unapoishi basi tuone kama tunalingana hahahahahahaa

le Mutuz
ktambo nlikuwa nahisi ww no bro kumbe umri wako ni zaidi ya baba yangu chaajabu mambo yako yakitotoo mda wote na videm ubadirike umri nao ni kma jua na kma ni muda saivi ww ni saa11 jion
 
Kuwa mkweli you wished to be in his shoes ku hang out with them bebez!
Atawapa stress Le Mutuz ,mmebaki age !age !age !
Who want to live like damned old man at 40 -60s? I will keep it young till i drop dead ! Ikikubali mwili na akili yako vizeeka sambamba ur in trouble act ur age at kutafuta pesa inapokuna bataz alway in my 20s!
Najua huwezi nielewa nakupa mfano nokienda beach hakuna costume za kizee,pombe hakuna pombe ya kizee kuna za wenye hela na wasiokuwa na hela hakuna hoteli ya kizee hakuna muziki wa kizee hakuna bangi ya kizee hakuna changudoa wa kizee! U got my drift?achana na lemutuz katafute pesa na wewe usumbue !
upload_2017-7-28_19-53-2.jpeg


-Ok ujenzi wa Studio umeisha sasa tunaingia awamu ya vifaa so stay tuned, tuliahidi na sasa tunatimiza tumemamilza ujenzi sasa ni kazi kazi

le Mutuz
 
Hongera sana mkuu.. your hustling life is a lesson to many of us.
 
Jisikitikie

Wewe umeiga nini kama unadai mtu kuanzisha kitu ni kuiga!? Ingekuwa hivyo basi kila kitu duniani kingekuwa kimja kimoja.

Haya mambo yanakuja na ubunifu, wote hawawezi kuendesha kiusawa..so kaa mkao wa kupata uhondo ikianza.
Aisee! Hivi hata mimi najisikitikia kimbwa! Kumbe muda wote nilioupoteza nilikuwa nalumbana na weye! Naanza toba ya siku kumi.
 
Ubunifu zero kabisa kilakitu anamwiiga millardayo.com ukiangalia hata blog yake magazeti yote asubuhi anakopi kutoka millardayo.com tena yakiwa na logo ya millardayo
Shame on you....!
Watu mlio uchi ndo mnakuwa wa kwanza kunyooshea vidole wengine.

Nakuuliza mtoa posti, wewe UMEIGA kitu gani cha maendeleo, achilia mbali kubuni chochote.
 
Davis Misha kakutimua wanaona unamtoa aibu umehamia kwa mjukuu wako Bashite.mshauri Bashite asome masomo ya Qt ili apate vyeti

- hahahahahaa najua masikini wengi mna wish kusikia nimegombana na Davis, hahahaha pole sana usichojua ni he is my business patner sio rafiki tu tunafanya mambo mengi sana pole sana hahahahahha

le Mutuz
 
View attachment 554695

- hahahahahahaha ona kitu hiyo hahahahaha ni mwendo wa kupaaa sasa U know!

le Mutuz
Unapaa wkt unakopikopi kwa mjukuu wako Milard Ayo.nilikuwa Usa nilifanikiwa kumuona aliyekuwa mke wako na mtoto 1 nilimuona nakusihi kwa maisha ya vituko tofauti na umri wako unayoishi bongo nakusihi kawapigie magoti unatia aibu bongo kuishi kwa kujikomba kwa kina Bashite wajukuu zako
 
Naomba no zako tukafanye biashara lile eneo lako la kinyerezi nataka niweke mradi wa matofari.Nina mavazi yangu Jirani na bar ya Babylon Kinyerezi mwisho
 
Unapaa wkt unakopikopi kwa mjukuu wako Milard Ayo.nilikuwa Usa nilifanikiwa kumuona aliyekuwa mke wako na mtoto 1 nilimuona nakusihi kwa maisha ya vituko tofauti na umri wako unayoishi bongo nakusihi kawapigie magoti unatia aibu bongo kuishi kwa kujikomba kwa kina Bashite wajukuu zako

- Kwanini usjioe mwenyewe maana hakuna mwanaume wa kukuoa hapa Duniani, hahahahaha huyo mume wa mtu anakulia pesa zako tu kunirudia huwezi hahahahahaha maana labda niwe nimekufa ndio naweza kukurudia hahahahaha utahaha na JF mpaka ufe hakuna wa kukusaidia hahahahahahha
upload_2017-8-1_15-6-55.jpeg


- jipime na my babe huyo rangi ya mtume hahahahahahha I love it U know

le Mutuz
 
- Kwanini usjioe mwenyewe maana hakuna mwanaume wa kukuoa hapa Duniani, hahahahaha huyo mume wa mtu anakulia pesa zako tu kunirudia huwezi hahahahahaha maana labda niwe nimekufa ndio naweza kukurudia hahahahaha utahaha na JF mpaka ufe hakuna wa kukusaidia hahahahahahha View attachment 555384

- jipime na my babe huyo rangi ya mtume hahahahahahha I love it U know

le Mutuz
Uliruka Stage kwenye ukuaji, mtu wa umri wako sio wa kuandika haya
 
Naomba no zako tukafanye biashara lile eneo lako la kinyerezi nataka niweke mradi wa matofari.Nina mavazi yangu Jirani na bar ya Babylon Kinyerezi mwisho
upload_2017-8-1_15-8-37.jpeg


-
upload_2017-8-1_15-12-19.jpeg


- hii juzi tulikuwa Mbudya kwenye all Celebrities Party so hahahahaha kula maisha U know

le Mutuz
 
Naomba no zako tukafanye biashara lile eneo lako la kinyerezi nataka niweke mradi wa matofari.Nina mavazi yangu Jirani na bar ya Babylon Kinyerezi mwisho
upload_2017-8-1_15-22-1.jpeg


- Studio mpya kama nilivyoahidi ndio hii imeisha sasa ni kazi ya kuweka vifaa na kuanza kazi kazi hamna longo longo!

le Mutuz
 
Back
Top Bottom