124 Ali
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 7,813
- 5,514
Kuwa mkweli you wished to be in his shoes ku hang out with them bebez!Ni tabia za Sungura Tope
Atawapa stress Le Mutuz ,mmebaki age !age !age !
Who want to live like damned old man at 40 -60s? I will keep it young till i drop dead ! Ikikubali mwili na akili yako vizeeka sambamba ur in trouble act ur age at kutafuta pesa inapokuna bataz alway in my 20s!
Najua huwezi nielewa nakupa mfano nokienda beach hakuna costume za kizee,pombe hakuna pombe ya kizee kuna za wenye hela na wasiokuwa na hela hakuna hoteli ya kizee hakuna muziki wa kizee hakuna bangi ya kizee hakuna changudoa wa kizee! U got my drift?achana na lemutuz katafute pesa na wewe usumbue !