Le mutuz: the good news. Le mutuz tv online (lto)

Le mutuz: the good news. Le mutuz tv online (lto)

Asee ww mzee una matatizo lkn sikulaumu yawezekana kuna kalaana kanakutafuna polepole,ngoja nikupe ushauri kidogo

Embu mtafute mzee Malecela umpigie magoti kama kuna nilichokukosea naomba nisamehe then uwatafute wajomba zako upande wa mama sababu mambo unayoyafanya hayaendani na umri wako

Sent using Jamii Forums mobile app
upload_2017-8-2_17-3-34.jpeg


- hahahaha then I love hiyo laana ya kukubaliwa na wabebez like this I love it niongezee na wewe laana nyingine ili nipate wabebezz zaidi U know hahahaha

le Mutuz
 
Una huo uwezo wa kunijaribu mkuu zaidi ya ww kuendelea kunusa vikwapa vya hao wabebezi lkn kula huli[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
upload_2017-8-2_17-31-37.jpeg


- HAHAHAHAHAHA soma namba hapa wewe tafuta mbebezz wacha kulalamikia wanaume kwenye mitandao ambao wala huwajui, kama huna maisha wenzako tunayo ndio haya hahahahaha I lov it

le Mutuz
 
View attachment 556378

- HAHAHAHAHAHA soma namba hapa wewe tafuta mbebezz wacha kulalamikia wanaume kwenye mitandao ambao wala huwajui, kama huna maisha wenzako tunayo ndio haya hahahahaha I lov it

le Mutuz

Aseeh sasa mzee unajivunia kitu gani iki,...ni sawa na mtu ametengeneza bwawa, afu pemben kuna shimo refuu maji yanaingia yote umo,...afu anajivunia ,..
Watakuua awo mabebez kama
sio presha ata ngoma kam
huna!? Muulize mwezako Roby kardashian yaliyomkuta ndo aya aya,Wanawake wanaroho mbaya kama awajakupenda,.....ponda raha mkuu kufa kwaja,
 
Aseeh sasa mzee unajivunia kitu gani iki,...ni sawa na mtu ametengeneza bwawa, afu pemben kuna shimo refuu maji yanaingia yote umo,...afu anajivunia ,..
Watakuua awo mabebez kama
sio presha ata ngoma kam
huna!? Muulize mwezako Roby kardashian yaliyomkuta ndo aya aya,Wanawake wanaroho mbaya kama awajakupenda,.....ponda raha mkuu kufa kwaja,
upload_2017-8-2_17-48-9.jpeg


- Kool ila ungejali maisha yako sio ya wanaume wasiokuhusu mitandaoni maana hata kutumia majina ya bandia kutukana watu usiowajua ni dhambi na unajua mshahara wa dhambi ni mauti hahahahahahhahapa maisha hayasimami tunasonga mbele kazi kazi

le Mutuz
 
Back
Top Bottom