William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Asee ww mzee una matatizo lkn sikulaumu yawezekana kuna kalaana kanakutafuna polepole,ngoja nikupe ushauri kidogo
Embu mtafute mzee Malecela umpigie magoti kama kuna nilichokukosea naomba nisamehe then uwatafute wajomba zako upande wa mama sababu mambo unayoyafanya hayaendani na umri wako
Sent using Jamii Forums mobile app
- hahahaha then I love hiyo laana ya kukubaliwa na wabebez like this I love it niongezee na wewe laana nyingine ili nipate wabebezz zaidi U know hahahaha
le Mutuz