Le mutuz: the good news. Le mutuz tv online (lto)

Le mutuz: the good news. Le mutuz tv online (lto)

Huo ukaribu wa Aina gani maana huyo Mwarabu anasifa za kuwakamua wanaomfuata fuata haswa wenye mizigo nyuma kama lako...

Sasa unakula bure kivipi? There is no free lunch, Na juzi umelipa tena umeuliza kabisa bei gani chakula ukaambiwa elfu Tatu ukafurahi ati nina njaa sana na mboga za majani niwekee...ulilipa sababu hukumuona? unakuja huku unabana pua ati najuana sana na Mwarabu tokea US Kwahiyo ulimsaidia kulala nae au ndio alisababisha mkeo akukimbie maana Heleni sikioni umeacha kuvaa...

Ati karibu na nyumbani! Kwani bado unaishi na wazazi pale Sea view duh? Waziri wa mazingira anawavutia pumzi tu eneo lote linatakiwa libomolewe ni karibu na bahari... sijui utenda Dodoma?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

-Ndumilakuwili-
 
Huo ukaribu wa Aina gani maana huyo Mwarabu anasifa za kuwakamua wanaomfuata fuata haswa wenye mizigo nyuma kama lako...

Sasa unakula bure kivipi? There is no free lunch, Na juzi umelipa tena umeuliza kabisa bei gani chakula ukaambiwa elfu Tatu ukafurahi ati nina njaa sana na mboga za majani niwekee...ulilipa sababu hukumuona? unakuja huku unabana pua ati najuana sana na Mwarabu tokea US Kwahiyo ulimsaidia kulala nae au ndio alisababisha mkeo akukimbie maana Heleni sikioni umeacha kuvaa...

Ati karibu na nyumbani! Kwani bado unaishi na wazazi pale Sea view duh? Waziri wa mazingira anawavutia pumzi tu eneo lote linatakiwa libomolewe ni karibu na bahari... sijui utenda Dodoma?

- DUH inaelekea unawajua sana waarabu sasa uliwajuaje bila kupitiwa maana huwezi kusema maneno yote haya unless walikupitia hahahahahaa pole sana ndio maana unaona aibu unatumia majina ya bandia nini? hahahahaha

le Mutuz
 
Kuna Msanii mmoja najuana nae Lemutuz alipiga picha na Mke wake halafu akaweka Instagram na kuandika caption ya kumuongelea huyo mwanamke ..... Msanii huyo akaona hiyo issue Instagram.

Nakumbuka ilikuwa ni mida ya SAA 2 usiku. Bila kupepesa macho msanii huyo tukiwa nae alimpigia simu Lemutuz na akaweka loudspeaker huku alimwambia nakupa dakika 5 uwe umeondoa picha za Mke wangu Instagram... Kilichojili Lemutuzi anaweza kuja hapa kutoa ushahidi



So guys hili kubwa jinga ni joka la kibisa and Big headed Bitch


Sent From My Nokia Ya Tochi
 
- DUH inaelekea unawajua sana waarabu sasa uliwajuaje bila kupitiwa maana huwezi kusema maneno yote haya unless walikupitia hahahahahaa pole sana ndio maana unaona aibu unatumia majina ya bandia nini? hahahahaha

le Mutuz
Ngoja kiganwala aitisheni tena list nakutaja...wataka nitumie jina langu kipi kitaongezeka kwako? Majina bandia ndio kawaida tu mbona kwenye public chat means ni kwa kupotezea muda tu usonge wewe media ndio ule so ruksa kutumia name hadi ya wazazi wako wewe una security utatetewa hata ukimtusi raisi kama nduguyo aliyemtusi jk kule zeutamu.. wewe ni zee so fanya deal za Kizee kwa wazee wenzio. Japo there is no country for old man Muhahahaha
 
Kuna Msanii mmoja najuana nae Lemutuz alipiga picha na Mke wake halafu akaweka Instagram na kuandika caption ya kumuongelea huyo mwanamke ..... Msanii huyo akaona hiyo issue Instagram.

Nakumbuka ilikuwa ni mida ya SAA 2 usiku. Bila kupepesa macho msanii huyo tukiwa nae alimpigia simu Lemutuz na akaweka loudspeaker huku alimwambia nakupa dakika 5 uwe umeondoa picha za Mke wangu Instagram... Kilichojili Lemutuzi anaweza kuja hapa kutoa ushahidi



So guys hili kubwa jinga ni joka la kibisa and Big headed Bitch


Sent From My Nokia Ya Tochi

- hahahahaha nilimtongoza mwanamke akasema hana bwana nikamuambia nakurusha instagram nione kama huna bwana kweli, huyo jamaa yako akapiga simu kulia lia nimtoe nimfahamisha mbebezz akasema sio bwana wake tena, unataka nimtaje hahahaha na demu nipo naye mpaka leo, pole sana na huyo msanii nilimuambia wacha Mwanamke aseme wewe bwana wake sio wewe huwajui wasichana sometimes, nikamuuliza kama anataka nimuambie aliyoaysema yule mbebezz nilipomuambia kuwa bwana kanipigia, jamaaa akasema yaishe hahahahaha pole sana hahahahahahah

le Mutuz
 
Ngoja kiganwala aitisheni tena list nakutaja...wataka nitumie jina langu kipi kitaongezeka kwako? Majina bandia ndio kawaida tu mbona kwenye public chat means ni kwa kupotezea muda tu usonge wewe media ndio ule so ruksa kutumia name hadi ya wazazi wako wewe una security utatetewa hata ukimtusi raisi kama nduguyo aliyemtusi jk kule zeutamu.. wewe ni zee so fanya deal za Kizee kwa wazee wenzio. Japo there is no country for old man Muhahahaha

- sasa kweli mimi mtumzima na akili timamua nitabishana na mtu anayetumia majina ya bandia? hahahaa wenye akili si watanishangaa hahahahahaha

le Mutuz
 
Umeona Avatar yangu?

- hiyo ni picha na mama yangu marehemu mama yangu mzazi, aliyeipost ni mimi so sio kwamba iliibiwa hapana ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kukutana naye baada ya miaka mingi niliyokuwa majuu, hahahaha jina lako la bandia picha sio yako hahaha kuna binadam mlizaliwa bwana hahahahaha

le Mutuz
 
Back
Top Bottom