Le Mutuz (W. Malecela) Vs Alberto Msando: Hii ni vita ya kupigania haki za wasanii au kopo la Coca?

Status
Not open for further replies.
Chonde chonde huyu ndio mwanasheria anayemshikia Zitto ktk ubunge na wewe ulikuwa unamkubali hadi michezo yake ilipoanza kuwatafuna ndio unamwona uchwara.
 

- Well haya ni maneno ya siasa ninachojua kopo la cocacola na jina langu havina anything to do na siasa, ninachoamini huyu Mwanasheria wenu alikuwa anatumia fear tactic kuwatisha cocacola wampe kazi ila alichokosea ni kunitukana mimi in the process that is all, mengine mengi uliyoandika hayahusu kabisaaa

Le Mutuz
 
Chonde chonde huyu ndio mwanasheria anayemshikia Zitto ktk ubunge na wewe ulikuwa unamkubali hadi michezo yake ilipoanza kuwatafuna ndio unamwona uchwara.

- Zitto ni rafiki yangu wa karibu sana na ninamkubali sana kwa akili kubwa infact yeye ndiye aliyenifundisha sana somo la how to play the media na kuifanya icheze your tune, sijawahi kumkubali huyu Mwanasheria ila ninakumbuka kuna wakati aliniomba nimsaidie kutangaza kesi ya Zitto,that is all lakini simjui wala siajwahi kumuona in my life na simuogopi!!, siamini ana akili sana na siamini kwamba ana hela sana kama anazo ni zake tu ila hana za kusaidia yoyote zaidi yake

Le Mutuz
 
Paragraph ya kwanza ni shida ingine hata kwa huyo dada....Haha...ya pili umejitetea... sin ahaja ya kubishana wala kukunyima haki ktk fighing yako.
 
Hapa bado hujanijibu na umeniongezea maswali?Kwa hiyo na wewe ulikuwa ktk mishemishe za kusaka tumbo na Zitto na Msando.Sasa mbona hapa unamwanika Zitto zaidi ?Yeye hujiita Mzalendo kumbe ni media stuntman.
 
After reading this,i have nothing to add Thanks Nyani Ngabu
But le mutuz anasema katengeneza Hela, sasa sijui ya kuhamasisha wasanii au nini .Ila wasanii wanakataa ni wazi cocacola wanahitaji dalali kufanikisha kitu kilichopaswa kuwa rahisi.Ukiona hadi wasanii cheap wa bongo hawaoni km wanaweza tumia kmnjia ya kupata hela na kujenga zaidi jina ni wazi wameamshwa na kuona kuwa watatumika zaidi.
 
Last edited by a moderator:
- Ameandika matusi mengi sana na lugha za chooni kwa Mwanasheria anayetakiwa kutafuta clients, sasa unapataje clients kwa kuwatukana?

Le Mutuz



Kuanzia Jana nimejikuta appetite na wewe sina tena. Unajidai wa mjiniiii ila watch out.... Albert Msando alivyokuambia choose your battle usidhani ni Mjinga. Utapotea soon. Umeniboa at maximum siwezi kuwa shabiki wako kwa Chochote na hzo Coca Cola za majina Sitaki hata kuziona. Umeniboaaaa
 

- Do I care bro? mimi nimuogope jamaa yako labda yeye ndio angejifunza to choose his battles hahahahaha sihitaji kuwa na shabiki kama wewe kwani unaongeza na kupunguza nini kaka? hahahahahahahah mimi nitapotea kwa sababu ya huyu Mwanasheria uchwara? hahahahahahahahahahah umenivunja mbavu U know!!

Le Mutuz
 

- The question ni kama wasanii hao walikuwa wanatengeneza pesa ngapi kabla ya kopo hahahahahaha

Le Mutuz
 


Hii issue lazima kamasi likutoke.... Unalalamika amekuita 56 yrs old, Kwani wewe c umemuita mtoto mdogo basi wewe Baba yake...

Two months to come, utajua mjini watu wamewekeza kwenye mahusiano.
By the way mbona sijui hiyo blog yako?
 
Hii issue lazima kamasi likutoke.... Unalalamika amekuita 56 yrs old, Kwani wewe c umemuita mtoto mdogo basi wewe Baba yake...

Two months to come, utajua mjini watu wamewekeza kwenye mahusiano.
By the way mbona sijui hiyo blog yako?

- Hapana ni kijana mdogo sana alieyshika pesa kidogo akasahau hapa mjini kuna watu wameshika pesa kabla yake sasa kule Instagram amezungukwa na wajinga wengi kama yeye anafikiri ana akili sana, kumuita baba yake mjinga kwa vile ana umri kama wangu wa miaka 56 ni ujuha wa ajabu, Mwanasheria ili kunishinda hoja ni lazima achomeke umri wangu wa uongo ili ashinde hoja na mimi wewe huoni kwamba hapa ni kisiki? I mean blog yangu inapitiwa na watu 70,000 kila siku kwenye ninahitaji ipitiwe na wewe? please

- Jamaa ana mahusiano hapa mjini kuliko mimi rreally? hahahahahaa naona wewe na yeye kama mko sawa flani hivi!!

Le Mutuz
 

Hiyo imetokea Tanzania tuu
 

Kama hujui unapokwenda kamwe huwezi potea
 
- The question ni kama wasanii hao walikuwa wanatengeneza pesa ngapi kabla ya kopo hahahahahaha Le Mutuz
Napenda kukupa changamoto nyingine...Kwani hata wangekuwa volunteers au jobless ndio kunawazua wasiwe na bargain grounds kupata maximum profit?Walichokuwa wanajilipa au kuingiza (sidhani km walishaajiriwa zaidi ya kujiajiri) ni kujenga MAJINA NA WASHABIKI ambao ndio cocacola wanataka jamaa wawape share(na Intro).Cocacola wajue jamaa waliwekeza ktk hilo na hilo unaloweza sema ni malipo kidogo waliyokuwa wakipokea ni ushahidi tosha tosha kuwa waliwekeza sana ktk umaarufu wao.Na hivyo wanatakiwa rip profit big fishes wanapotaka wapate into.Kumbuka whatsapp walinunuliwa na facebook kwa vile facebook walikuwa wkaitaka entry kwa hao wateja na kuwavuta kwake.Same kwa cocacola.wanataka wavune wasichopanda.
 
Mahusiano gani mnashindana nani ana mengi kuliko?Ya wanawake....?You guyz are moving too fast ....hii thread ni wazi kuwa nchi imekufa.Watuw anaigana sana,wanakimbizana kwa vitu wasivyovielewa km wanavyofikiri.Ili tuu ktk viunga vya mji na magazeti yauze.Trust me , kwa jinsi unavyopambana,unavyotetea hadi kwa nguvu unavyokifanya kuliko ushawishi,ni wazi vijana wengi mpo ktk adveture za ajabu.Very soon zitakuwa beyond your control.Kufanya dili makini kwa mafanikio ni kitu kizuri,ila ukifanya execution mbaya ,very soon utasogea ktk list ya watu maarufu walikufa kwa frustrations kupoteza meaning of life.KINDLY BE PATIENT AND MORE COMPOSED.
 
Kama hujui unapokwenda kamwe huwezi potea
Haha..umeipiga iliyo ya kweli ila imewahi sana.Hii thread ingeenda ili watu wajianike kidogo.Hivi hivi ndivyo hata viongozi wetu wenye akili za kijamaa wanavyorukia issue na kuwahi jaza vkombe vyao.Kabla hawajaamka na kujikuta walichokuwa wakifanya ni scandal na uovu mkubwa,wenye hasara kuliko faida.Papara za watanzania kwa kuangaia figure,ndizo zilizowaponza WAHAYA wakagawana hela iliyo ktk mahesabu km karanga,na wakabeba kwa viroba..KM WEZI WA MAFUTA NA VIDUMU VYAO ,AMBAO MWISHO WAO NI MOTO TUU PANAPOTOKEA MOTO.
 
Hii issue lazima kamasi likutoke.... Unalalamika amekuita 56 yrs old, Kwani wewe c umemuita mtoto mdogo basi wewe Baba yake... Two months to come, utajua mjini watu wamewekeza kwenye mahusiano. By the way mbona sijui hiyo blog yako?
Wamekutana...watu wasio na kiasi ,wala furaha ya kudumu kwa lolote ktk maisha yao. Tofauti hapa ni kwamba Alberto ni kimbaumbau, Le mutuz ni kijeba.Akili zao zinafanana sana na hupenda jificha ktk vitu km umaarufu,elimu au vyeo ili kujipa paltform ya kufanya wanayoyafanya.
 
- The question ni kama wasanii hao walikuwa wanatengeneza pesa ngapi kabla ya kopo hahahahahaha

Le Mutuz

[/ Brother!! seriously nafikiri unaitaji msaada wa kisaikolojia. Mimi huwa naona michango yako mingi ila siifatilii kwa undani sana na pia huwa nakutana na watu wanakutaja taja humu ndani lakini si kwa vizuri. Pia mimi huwa si mfata mkumbo huwa nafanya utafiti nijiridhishe nafsi yangu then nachukua uamuzi kupitia matokeo ya uchunguzi wangu.

Nimefatilia huu uzi kwa makini na nimechangia kadri ya uwezo wangu lakini nimeona nikueleze wewe ni mtu mzima huu UONGO unaoandika humu si mzuri. Hii campaign ilianzia Australia, it was a simple campaign na imewezeshwa kwenye zaidi ya nchi 70 mpaka sasa na hakuna hata mtu mmoja aliyelipwa kupitia campaign hii sasa wewe ni nani hasa mpaka ulipwe?

Ngoja nikupe flavour kidogo

"At the end of the day, our name is the most personal thing we have. It's our fingerprint…our identity…in one word," said Lucie Austin, one of the original brand executives in Australia to launch the campaign, and who now runs marketing for the Northwest Europe and Nordics business unit at Coca-Cola.

"We gave consumers an opportunity to express themselves through a bottle of Coke, and to share the experience with someone else. The fact that your name is on a Coke bottle, it can't get more personal than that! The campaign capitalized on the global trend of self-expression and sharing, but in an emotional way. Coke is big enough to pull off an idea like this, which speaks to the iconic nature of the brand. Who would want their name on a brand unless it was as iconic as Coke? 'Share a Coke' found the sweet spot by making consumers famous through the most iconic brand in the world."

Coca-Cola's marketing and brand managers were able
to understand what their consumers wanted; personalization and attention, and
they gave that to them. The company gave their customers the "opportunity to
express themselves through the bottle of Coke, and to share the experience with
someone else". The company went to different college campuses and events and marketed
their new campaign to millions of students and people. The company even went to
the extent of customizing the cans if someone's name was not registered in
their database. Now, how much more can
they customize? The company initiated the brand through emotional marketing
strategies and to capitalize the trend of self expression and sharing which
really attracted consumers to their products and campaign.

The brand was really able to differentiate itself
from their developed competition such as PepsiCo and Dr. Pepper. No other brand,
other than Coca-Cola Co., has really been able to attract their customers
through a more personal way and strategy and because of that their sales sky
rocketed and helped make a difference

Please prove me wrong kwamba wewe hukulipwa ila UWONGO na AIBU ya kujua kuwa ulibuma kwenye kupokea kopo then ukatengeneza story. Don't try to prove it with your own words. (Strong evidences beyond the point of doubt as you have shown that you are not a trustworthy person.

FONT]
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…