BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
Kwakweli me mwenye hadi sasa siamini kama Coca-cola hawawalipi lakini lakini Msando anaonesha hawalipwi zaidi ya umaarufu tuu! Hakika katika hili ndio tutapima uwezo wa wasanii wetu!
Tatizo la msando anataka kuwachukulia wasanii au viceleb vya bongo vyote vijinga na kwa kiasi kikubwa kawawin wengi amesahau kama Le mutuz kuna mambo huwezi kulipeleka. ..ujue ukiwa mtoto wa town hata ukiwa boya kiasi gani huwezi kupelekeshwa na mtu wa mkoani. ..Le mutuz town moja,msando mkoa moja
Lakini umeelewa lengo la Msando?
Yapo majina ya watu zaidi ya mia mbili unategemea watalipwa kweli?
Nice zingine..kuna hile MsandoAlberto kaweka kifungu right to publicity
Mbona yule bikra wa kisukuma nae naona anasema kuna mtu anaona wivu cos jina lake halipo.. nikajua anamuongelea le mutu
Le mutuz ni nani huyo???
Kuna hile aliyo wataka Ay,FA;Lulu na wengine wasikubali mpango wa Coca-cola
Hivi bifu la ke mnazi na bikira halijaisha???
Kuna hile aliyo wataka Ay,FA;Lulu na wengine wasikubali mpango wa Coca-cola
Custom made...weather iwe gari au bidhaa sio tangazo la biashara.hii project nilianza kuona kwa wenzetu Sa na naija wametoa kama zawadi kwa watu mashuhuri na imeshawishiwa na project ya coke studio.msando is right however amekurupuka sana saa anapresent na yeye ni mmoja wa watu ambao ni fake and unfair but he prefers to be seen as a helper.na anavyopendaga sifa...ameumia kutokuwepo kwenye list ya coke.
Hii ni sawa na waleeee mapedesheee walio kuwa wanatangazwaa snaaa kweny Band zA bongo na wao humwagaa mihelaa sn ,sasa hawa celeb uchwara ndio wale wale t misifaa mingi kuji sifu mm Mtot wa town, jina kibwa