BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
Kwakweli me mwenye hadi sasa siamini kama Coca-cola hawawalipi lakini lakini Msando anaonesha hawalipwi zaidi ya umaarufu tuu! Hakika katika hili ndio tutapima uwezo wa wasanii wetu!
Walipwe watambe