Le Mutuz (W. Malecela) Vs Alberto Msando: Hii ni vita ya kupigania haki za wasanii au kopo la Coca?

Le Mutuz (W. Malecela) Vs Alberto Msando: Hii ni vita ya kupigania haki za wasanii au kopo la Coca?

Status
Not open for further replies.
Im absolute certain that no one was paid, but the main issue why they did not use celebrities names (brands) such as Jay Z, P Diddy, CR7 neither in America nor in Europe. In those countries purely they use common names. In that case to use African celebrities' names is totally wrong because celebrities name can influence sales ndugu yangu. Instead of FidQ they could used Falid simple or instead of Mwana Fa they could use Hamis. And if they desided to use them then its fine but they have to pay them simple

Tusiwe na jazba let discuss the content of the thread rather getting too personal. Amani

Okay then...if you think they are that wrong stop whining online and head to court and sue the hell out of them.

Have you ever heard of class-action lawsuit?
 
Ndugu, tafadhali andika kwa Kiswahili tu maana hiyo lugha ya watu huiwezi kivile.

Im trying and practice it at the same timevndugu yangu. If im not wrong our first language ni kiswahili si ndiyo.

Issue hapa siyo language ni content of the thread and its typical when someone start to loose the ground always start going off road, personal attacks. Amani
 
Im trying ndugu yangu if im not wrong our first language ni kiswahili si ndiyo.

Issue hapa siyo language ni content of the thread and its typical when someone start to loose the ground always start going off road, personal attacks. Amani

Basi andika kwa Kiswahili tu ili hoja zako zieleweke vizuri.
 
Basi andika kwa Kiswahili tu ili hoja zako zieleweke vizuri.

Allow me to repeat it again. Im trying and practice at the same time. What you have suggested is not helping me. You have failed to critise me constructively but only you want me to remain the same huo ni uchoyo.

The main purpose was to find out whether it was wrong or right for CocaCola to use African celebrities names but it was not a the case to seek this or that. Mambo ya lawsuit is not the case here. Just admit you have lost your argument and swallow it like a man and move on. More than that ni majungu na jazba.
Amani
 
Kwanza brother jazba ya nini na matusi juu. Is this how educated people respond on issues? I had so much respect to all human kinds, I even called you brother! I wont respond on other stuff you have wrote to me but I hit main points only.

You brought a picture to show us that was the day that you signed a contract with ICL on behalf of CocaCola, do you want to tell me that you brought a picture as an evidence that you have signed a contract with CocaCola ??? What if i said that you took that picture when you were invited on someone birthday party??

U dont need to show us terms and conditions of your contract but at a snap shot of a bottom part of the contract where it shows a signatures of both parts in agreements.

I explained to you that NO ONE WAS PAID FOR THIS CAMPAIGN AND IT WILL REMAINS AS THAT vingine ni porojo tu na kudanganya watu. Stop it and please potray your education you have attained in actions rather calling people names and think you are smart than them.

If education failed enter your mind and heart and change the way of your thinking then those certificates or degrees you have attain has no difference with the shirt you were it in the morning

- Well kama picha ingekuwa ya uongo kwani waliopo kwenye picha hawapo mitandaoni au hakuna anyewajua, ok na wewe ni wapi una maneno ya Cocacola wenyewe kwamba hawajamlipa mtu na anything, sijui elimu yako umesoma wapi ila pole sana huna hoja ni zile zile kelele za mlango, kama hukulipwa ni wewe mimi ninalipwa na cocacola mamen na hizi kelele zako ninaziktaa kwamba ni ujinga at best kutoka kwa mtu aliyee enda shule kidogo!1

Le Mutuz
 
Allow me to repeat it again. Im trying and practice at the same time. What you have suggested is not helping me. You have failed to critise me constructively but only you want me to remain the same huo ni uchoyo.

The main purpose was to find out whether it was wrong or right for CocaCola to use African celebrities names but it was not a the case to seek this or that. Mambo ya lawsuit is not the case here. Just admit you have lost your argument and swallow it like a man and move on. More than that ni majungu na jazba.
Amani

- Ungekuwa mshindunalala only kama ungekuwa na maneno yaliyoandikwa na Cocacola otherwise kubalini kwamba kuna wenye akili waliopokea makopo as opposed na hao wasanii wenu, poleni sana ila punguzeni kelele za mlango cause some of us tunalala kama kawaida na kelele zenu

Le Mutuz
 
Okay then...if you think they are that wrong stop whining online and head to court and sue the hell out of them.

Have you ever heard of class-action lawsuit?

- Sema aka wasue Wasanii wake waliopokea makopo labda lakini hawezi kuwa sue Cocacola kwa sababu kuna watu like me I get paid na Cocacola U know sasa atawa sue vipi?

Le Mutuz
 
- Ungekuwa mshindunalala only kama ungekuwa na maneno yaliyoandikwa na Cocacola otherwise kubalini kwamba kuna wenye akili waliopokea makopo as opposed na hao wasanii wenu, poleni sana ila punguzeni kelele za mlango cause some of us tunalala kama kawaida na kelele zenu

Le Mutuz

We unalala au unajificha?
 
- Sema aka wasue Wasanii wake waliopokea makopo labda lakini hawezi kuwa sue Cocacola kwa sababu kuna watu like me I get paid na Cocacola U know sasa atawa sue vipi?

Le Mutuz
excuse me,,..did you say you got paid and them artists didn't out of this share a coke thang?!!!!!!
 
excuse me,,..did you say you got paid and them artists didn't out of this share a coke thang?!!!!!!

- Nimesema nina mkataba na cocacola so hawakuwa na sababu ya kunilipa kwa kopo ila wakitaka kuuza yes watanilipa, una tatizo au?

Le Mutuz
 
- Nimesema nina mkataba na cocacola so hawakuwa na sababu ya kunilipa kwa kopo ila wakitaka kuuza yes watanilipa, una tatizo au?

Le Mutuz
unajaribu kuficha ujweli kwamba mara ya kwanza ulisema mnalipwa kwa majina yenu kuwa kwenye makopo,now you try to deny it,humu umeumbuliwa watu wameonyesha uzoefu huko hii kitu ilipoanzia hakuna malipo...more than that ni kuwa kuna majina ya watu wa kawaida kama john na shabani!
 
unajaribu kuficha ujweli kwamba mara ya kwanza ulisema mnalipwa kwa majina yenu kuwa kwenye makopo,now you try to deny it,humu umeumbuliwa watu wameonyesha uzoefu huko hii kitu ilipoanzia hakuna malipo...more than that ni kuwa kuna majina ya watu wa kawaida kama john na shabani!

- Mimi ninalipwa na Cocacola way before makopo, now poleni sana kama hukulipwa sio kosa langu na ukitaka kopo mpigie victor pale ICL mpe jina lako atakutengenezea kopo that is all poleni sana kulazimisha watu maneno ya kijinga mimi simo!!

Le Mutuz
 
Lakini inategemea kuna wengine hawastahili kulipwa. Kwa mtu kama le baharia umaarufu atakaopata ni ujira tosha kwa kuwa hana umaarufu mkubwa kiasi cha kuhitaji kulipwa na Cocacola. Ni kwamba kumweka tu wanakuwa wamemsaidia sana. Lakini kwa mfano kumweka Daimondo ni wazi Coca ndio watafaidika zaidi kwa hiyo akidai malipo ni halali kabisa.

Hawa ma celeb uchwara wa bongo kama ambavyo kuna baadhi ya watu wametangulia kuwaita ni wazi kuwaweka kwenye hayo makopo ni kuwapa free promo ambayo wengine ingebidi wailipie labda badala ya kulipwa.
 
Lakini inategemea kuna wengine hawastahili kulipwa. Kwa mtu kama le baharia umaarufu atakaopata ni ujira tosha kwa kuwa hana umaarufu mkubwa kiasi cha kuhitaji kulipwa na Cocacola. Ni kwamba kumweka tu wanakuwa wamemsaidia sana. Lakini kwa mfano kumweka Daimondo ni wazi Coca ndio watafaidika zaidi kwa hiyo akidai malipo ni halali kabisa.

Hawa ma celeb uchwara wa bongo kama ambavyo kuna baadhi ya watu wametangulia kuwaita ni wazi kuwaweka kwenye hayo makopo ni kuwapa free promo ambayo wengine ingebidi wailipie labda badala ya kulipwa.

- Sina umaarufu wa kulipwa na cocacola na huku wananilipa mbona unajichanganya mkuu? mengine yote upo sawa ila hapo tu, huwezi kuwa na followers 36,000 Instagram kama sio maarufu, huwezi kuwa na Blog inayopitiwa na WAtu Millioni 7 na nusu kwa mwaka kama sio maarufu, huwezi kupata page 10 hapa JF kama sio maarufu, please niombe radhi mkuu!!

Le Mutuz
 
- Sina umaarufu wa kulipwa na cocacola na huku wananilipa mbona unajichanganya mkuu? mengine yote upo sawa ila hapo tu, huwezi kuwa na followers 36,000 Instagram kama sio maarufu, huwezi kuwa na Blog inayopitiwa na WAtu Millioni 7 na nusu kwa mwaka kama sio maarufu, huwezi kupata page 10 hapa JF kama sio maarufu, please niombe radhi mkuu!!

Le Mutuz
Followers 36000 ndio unaita umaarufu? Watu M7 (na hizi ni hits sio idadi ya watu tofauti) kutembelea blog tena kwa mwaka mzima ndio umaarufu? Wenzio video moja tu huko youtube wana viewers hadi milioni 200 hao waitweje??

Acha kujikweza wewe una umaarufu huku JF na kidogo kwenye hii mitandao ya kijamii mingine. Kama Cocacola wanakulipa basi wamekuhurumia tu vinginevyo bado huna umaarufu wa kustahili kulipwa na Cocacola. Kumbuka kuna watu wengi sana bongo wanajua Coke ni nini lakini hawajui hata kama upo duniani.

Mwisho siwezi kukutaka radhi kwa kuandika ukweli.
 
Followers 36000 ndio unaita umaarufu? Watu M7 (na hizi ni hits sio idadi ya watu tofauti) kutembelea blog tena kwa mwaka mzima ndio umaarufu? Wenzio video moja tu huko youtube wana viewers hadi milioni 200 hao waitweje??

Acha kujikweza wewe una umaarufu huku JF na kidogo kwenye hii mitandao ya kijamii mingine. Kama Cocacola wanakulipa basi wamekuhurumia tu vinginevyo bado huna umaarufu wa kustahili kulipwa na Cocacola. Kumbuka kuna watu wengi sana bongo wanajua Coke ni nini lakini hawajui hata kama upo duniani.

Mwisho siwezi kukutaka radhi kwa kuandika ukweli.

- Nilidhani utajiongela wewe kuwa ni maarufu kumbe unaongelea wengine? ok Kustahili kulipwa na Cocacola au kampuni yoyote ile anayeamua ni nani wewe au wenye kampuni? Unaongea ujinga sana unasema followers 36,000 sio maarufu wewe una wangapi? I mean naamini hujaelewa maana ya mtu maarufu mimi sio sawa na wewe ndio maana unatumia jina la bandia mimi natumia langu mwenyewe ndio tofauti ya mtu maarufu na asiyekuwa,

- Muombe mtu aanzishe thread yako hapa tuone utapata page ngapi kama sio comment yako mwenyewe ona mimi mpaka wewe umeacha kazi zako kuja kunishupalia ndio maana ya Super Star Celebrity U know hahahaha tuliza boli mimi ni Super Star wewe sio ndio maana unalia lia maana unajua wewe sio!!

- Jokate ni Super Star anawajua wenziwe nenda page yake Instagram utaona wale wote wanaowajua ni Celebrity kama yeye kawapa Sandals zake mpya nenda uangalie vizuri utakuta nipo, wacha utoto kubali ukweli wewe sio ndio maana Jokate hajakupa Sandals zake mpya ok!!

Le Mutuz
 
Allow me to repeat it again. Im trying and practice at the same time.

Fair enough!

What you have suggested is not helping me.

Well, too bad.

You have failed to critise me constructively but only you want me to remain the same huo ni uchoyo.

Not sure exactly what you are talking about here.

The main purpose was to find out whether it was wrong or right for CocaCola to use African celebrities names but it was not a the case to seek this or that.

The main purpose was to find out whether it was wrong or right for Coca-Cola to use African celebrities' names? Okay, so what did you find out? How did you find out? And where did you find out what you found out?

Mambo ya lawsuit is not the case here. Just admit you have lost your argument and swallow it like a man and move on. More than that ni majungu na jazba.
Amani

Explicate to me exactly how I lost that argument.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom