gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Kipigo dhidi ya magaidi Hezbollah kiendelee. No ceasefire
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipigo dhidi ya magaidi Hezbollah kiendelee. No ceasefire
Na huko dar anawaua Nasrallah na makamanda wake lakini.😅😅ni sawa na hezibola wawe Ruvuma afu mgalatia anaenda kupiga magorofa dar
Absolutely!.How did you allow your country to be used by Terorist like no government? You should cooperated with Israel to hunt and destroy Hisbolah and then consolidate your territory!
wewe ndio unasema kanyooshwa, wao hezbollah wanasema hawajanyooshwa, wanasema wameinyoosha israel. actually, kusitisha vita sasaivi wakati haujawanyang'anya hezbollah silaha zote na haujavuruga njia za kuingizia silaha mpya, ni kujidanganya, ndio maana israel anataka apige na kupora silaya kama anavyofanya kwa hamas, ili wabaki bila silaha hapo ndipo vita ikome. wakibaki na silaha kesho tu hapa wataanza tenaIlikuwa haitekelezwi kwa sababu ya ubabe wa Hezbollah lakini sasa Hezbollah kanyooshwa na yuko Weak.
Wana ujinga mwingi sana,waliambiwa mapema sana waache kushadadia hezbollah wakasema wanawasapoti, leo wanamlilia nani sasa?
unapoandika vitu tumia akili , kama Hizbollah hagusw na mashambuliz ya Idf je Kwann Hizbollah hawasongi mbele ? Vitu vingine ni simple tu , hapo Msumbiji walikuja wamevaa kiraia na wakajichanganya na raia Kisha wakaua raia wema na kutokomea Msumbiji , hii ni mbinu ya hv vikundi kuish na kujenga kambi zao miongon mwa raia , Huwa wanqkwepo Kila sehemu hata hapa Tz wapo tusubir ipo siku sahihi kwao wataanza mapigo Yao ,hizbollah wapo Lebanon yote ila wameimalika zaid kusini ambapo wao ndo wanatawala Hilo eneo ila wapo Hadi Beirut😅😅ni sawa na hezibola wawe Ruvuma afu mgalatia anaenda kupiga magorofa dar