Lecturer UDSM azawadiwa na Wanafunzi


Assad ni mujahiddin hivyo hakuwa anawalipia makafir bali alikuwa anawasaidia waislam wenzake wa MUSAUD!!!
 
Walimu wengine watanuna na roho zao mbaya kujiona ma lecturer

ni kama wafayakazi wa benki ya dunia,nyodooo kibao wanataka kulambwa mpk miguu

anaefanya vizuri apongezwe hata kama ni kidogo,zawadi hutoa somo zuri sana kwa wengine.
 
Assad ni mujahiddin hivyo hakuwa anawalipia makafir bali alikuwa anawasaidia waislam wenzake wa MUSAUD!!!
Hapo wewe unazungumzia udini,mie nimesemelea kusaidia wanafunzi wenye hali ngumu
 
Wanafunzi zaidi ya 50 wametoa zawadi ya shati, mkanda na kiatu. Walichangishana shingapi?
 
hii comment yako mtu akisoma bila kutabasamu na ku-like atakuwa shetwani
 
Wanafunzi zaidi ya 50 wametoa zawadi ya shati, mkanda na kiatu. Walichangishana shingapi?
My guy….it’s the thought that counts.

After all, they’re still students.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…