Granted Faith
Member
- Jul 4, 2021
- 57
- 292
Unataka video mtu akibanduliwa ama proof gani????lete proof
Hizi degree za chupi zinatusumbua sana huku maofisini kazi zenyewe hawawezi. Kutwa majungu na masafari tu ruhusa mwanzo mwisho matatizo ya kifamilia.Zinaitwa degree za chupi. Zimejaa sana mitaani ndio maana unakutana na graduate hata kujieleza tu shida.
Kiingereza chenyewe kinatia kichefuchefu. Unajiuliza huyu mtu alifaulu vipi mpaka kapata GPA ya 4? Then ghafla unakumbuka kumbe kuna degree za vyupi.
Yaan hapa sijui utumike mfumo gan kuwanusuru mabint na hawa maharamia kwakweli.Zinaitwa degree za chupi. Zimejaa sana mitaani ndio maana unakutana na graduate hata kujieleza tu shida.
Kiingereza chenyewe kinatia kichefuchefu. Unajiuliza huyu mtu alifaulu vipi mpaka kapata GPA ya 4? Then ghafla unakumbuka kumbe kuna degree za vyupi.
Tulia mkuu hii speed uliyotumia nadhani umetumia typewriter, hawa watu wakishaota nyonyo hawasikii ukipata fursa na wewe tembeza rungu.Dada zetu huko vyuoni wanatumika kama Toilet paper Kisa kupata Coursework na Alama za Juu kwenye mitihani yao Sasa hivi ndo imeshamiri aswaaa Rushwa ya Ngono vyuoni Dada...
Tatizo mabint wenyewe ndio wanao taka mteremko wanataka GPA nzuri bila kujituma kusoma hivyo usitegemee wadada watoe ushirikiano katika hilo wakati wao ndio mara nyingi huwa wagitaji wakuu kwa kupenda kufanikiwa pasipo kuumia.Hilo lipo.....
Hupingwi mkuu...
Kama ni kweli kina mama tuna Hali mbaya mana mzigo wa mtoto mpumbavu hutupiwa mama[emoji24]na hii ndio sababu unakuta binti ako na hata masters lakini hata kuongea , kuandika na kusoma english shida tupu,kuna shida kubwa sana, na ndio unaona most graduates are just idle, are not creative, neither are they innovitive, na wanakaa tu mutaani , hawajui mbele wala nyuma, mimi as an employer i do and research very very well when hiring a lady graduate, all in all, ni kubaya
Dada zetu huko vyuoni wanatumika kama Toilet paper Kisa kupata Coursework na Alama za Juu kwenye mitihani yao Sasa hivi ndo imeshamiri aswaaa Rushwa ya Ngono vyuoni Dada zetu na Wadogo zetu wanaangamia kwa kukosa Maarifa this is very sad Unakuta Lecturer anatembea na wanafunzi zaidi ya Kumi Kwa hali hii Ukimwi utapungua kweli kwenye Vyuo
Wazazi waombeeni Binti zenu nyie ndo mtakao kuja kuteseka nao baadae
HALI NI MBAYA SANAA [emoji21]
What’s wrong with Girls of this Generation Asee Wanapenda slope sana
na hii ndio sababu unakuta binti ako na hata masters lakini hata kuongea , kuandika na kusoma english shida tupu,kuna shida kubwa sana, na ndio unaona most graduates are just idle, are not creative, neither are they innovitive, na wanakaa tu mutaani , hawajui mbele wala nyuma, mimi as an employer i do and research very very well when hiring a lady graduate, all in all, ni kubaya