Lecturers wanatumalizia dada na wadogo zetu

Lecturers wanatumalizia dada na wadogo zetu

Dada zetu huko vyuoni wanatumika kama Toilet paper Kisa kupata Coursework na Alama za Juu kwenye mitihani yao Sasa hivi ndo imeshamiri aswaaa Rushwa ya Ngono vyuoni Dada zetu na Wadogo zetu wanaangamia kwa kukosa Maarifa this is very sad Unakuta Lecturer anatembea na wanafunzi zaidi ya Kumi Kwa hali hii Ukimwi utapungua kweli kwenye Vyuo
Wazazi waombeeni Binti zenu nyie ndo mtakao kuja kuteseka nao baadae
HALI NI MBAYA SANAA [emoji21]
What’s wrong with Girls of this Generation Asee Wanapenda slope sana
Kawaida tu,watu wanakulana vyuoni,makazini,makanisani,kitaa,so hakuna Cha upekee watu wakilana vyuoni,asipoliwa chuoni,ataliwa kazini,au wakati wa kutafuta ajira,au ataliwa kitaa wakati anataka kupunguziwa mzigo wa majukumu,pesa ya Kodi,gesi,saloon,
 
Dada zetu huko vyuoni wanatumika kama Toilet paper Kisa kupata Coursework na Alama za Juu kwenye mitihani yao Sasa hivi ndo imeshamiri aswaaa Rushwa ya Ngono vyuoni Dada zetu na Wadogo zetu wanaangamia kwa kukosa Maarifa this is very sad Unakuta Lecturer anatembea na wanafunzi zaidi ya Kumi Kwa hali hii Ukimwi utapungua kweli kwenye Vyuo
Wazazi waombeeni Binti zenu nyie ndo mtakao kuja kuteseka nao baadae
HALI NI MBAYA SANAA [emoji21]
What’s wrong with Girls of this Generation Asee Wanapenda slope sana
Lecturer adden anaomba uthibitisho mkuu.
Sasa hapo sijui ulete picha au nini dah!!!
 
Yaani maofisini ndiyo majanga! hawajui kitu! Hata huko Kazi ni hiyo2 kwenda Na maboss wao. Wakati wote ni ruhusa naumwa Mimi/mtoto/sijisikii kufanya Kazi/tumbo la chini linaniuma/naenda kupima chango sijui linataka mtoto nk. Ndiyo maana weupe hawatakagi kabisa kuajiri Hawa jamaa! Halafu wanawaelekeza kuajiri 50/50! Only in Africa.
Dah yani hi kitu imeshamiri haswa na inatia hasira sana
 
Suluhu ni mitihani na coursework na usahihishaji itoke nje ya chuo husika. Either chuo kingine au bodi maalum ya taifa ya mitiani vyuoni. Vyuo viwe vinafundisha tu na kutoa majaribio. Hapo lactures watakuwa hawana kisu cha kumtishia mwanafunzi.
 
Mabinti wa siku hizi wanapenda sana ngono,na ndio wanaojirahisi na kuwatega waalim ili wapate maksi za bwerere,hizo kesi ni nyingi sana
 
Ungeliwa weye ingependeza sana na upate mimba.Unajibu kwa urahisi na kitoto tu.Unajua maumivu ya kulea mabinti weye!Kengelubete kabisa.Waachwe wasome halafu waolewe kihalali.
Sasa we umepata mimba. ? Kuna vitu naturally ni vigumu kuvizuia we Ashaboko...yani uzuie ma lacture wasile wanafunz wao ambao nao ni watu wazima...!?? Imbicile little toad wwe
 
Dada zetu huko vyuoni wanatumika kama Toilet paper Kisa kupata Coursework na Alama za Juu kwenye mitihani yao Sasa hivi ndo imeshamiri aswaaa Rushwa ya Ngono vyuoni Dada zetu na Wadogo zetu wanaangamia kwa kukosa Maarifa this is very sad.

Unakuta Lecturer anatembea na wanafunzi zaidi ya Kumi Kwa hali hii Ukimwi utapungua kweli kwenye Vyuo Wazazi waombeeni Binti zenu nyie ndo mtakao kuja kuteseka nao baadae.

HALI NI MBAYA SANAA [emoji21]
What’s wrong with Girls of this Generation Asee Wanapenda slope sana
Sidhani kama shida ni kubwa kiasi hicho. Wengi husemwa kwa hisia tu. Na pia inategemea course na course. Tatizo linaweza kuwepo zaidi kwa courses ambazo si pure science.
 
Nahisi mabinti wa chuo wengi ni watu wazima. Mfumo wa malezi wa hawa mabinti umekuwa mbali na wazazi na familia zao kutokana na mitindo ya maisha, mtoto kuanzia primaly boarding, anakopi life za kwenye tamthilia.. Hapo hakuna wa kumtupia lawama.. tuangalie tulipotoka na tuanze rekebisha kwenye misingi
 
Dada zetu huko vyuoni wanatumika kama Toilet paper Kisa kupata Coursework na Alama za Juu kwenye mitihani yao Sasa hivi ndo imeshamiri aswaaa Rushwa ya Ngono vyuoni Dada zetu na Wadogo zetu wanaangamia kwa kukosa Maarifa this is very sad.

Unakuta Lecturer anatembea na wanafunzi zaidi ya Kumi Kwa hali hii Ukimwi utapungua kweli kwenye Vyuo Wazazi waombeeni Binti zenu nyie ndo mtakao kuja kuteseka nao baadae.

HALI NI MBAYA SANAA [emoji21]
What’s wrong with Girls of this Generation Asee Wanapenda slope sana
Lecture gani uyo
 
Kwani wakitumika inaisha?
To be honest tunahitajika kuzungumza mno na hawa wasichana huko chuoni

Wanajirahisi kupita kiasi
Malecturer nao ni wanaume mashababi kuruka mitego ya hao wabinti ni Neema za Mungu

Yaani nawahurumia hao watakaotarajia kuoa hichi kizazi kilichopo chuo kwa sasa

Wanatumika mno jamani
 
Wamekamatwa wengi... NIT, ATC, UDSM... Mtafute Madam mmoja pale Udsm anaitwa Shule ni alikuwa ana pambana na hili janga pale udsm nazani mpaka sasa, kama jamii Inge muunga mkono basi angalau kitu kikubwa kinge tokea
Madame Iron Lady Shule
Aliundiwa Zengwe Pale UDSM Hii Nchi Ngumu Sana
 
Hizi degree za chupi zinatusumbua sana huku maofisini kazi zenyewe hawawezi. Kutwa majungu na masafari tu ruhusa mwanzo mwisho matatizo ya kifamilia.
Na hata ninyi maofisini ni kuwavua wake na dada zetu chupi kutwa na wakati mwingine humo humo ofisini
 
To be honest tunahitajika kuzungumza mno na hawa wasichana huko chuoni

Wanajirahisi kupita kiasi
Malecturer nao ni wanaume mashababi kuruka mitego ya hao wabinti ni Neema za Mungu

Yaani nawahurumia hao watakaotarajia kuoa hichi kizazi kilichopo chuo kwa sasa

Wanatumika mno jamani
Darasa La Nne Ndiyo Wanachukua Nafasi Kuolewa Baadaye Darasa La Saba
 
Hivi taaluma ya kuandika ama kuongea lugha fulani mtu anatakiwa kuipata chuo kikuu? Haya mawazo ni hatari sana. Kama ni hivyo hatuna haja ya kuwa na elimu ya chini watu waende moja kwa moja chuo kikuu na mitaala ibadilike sasa
Na hii ndio sababu unakuta binti ako na hata masters lakini hata kuongea, kuandika na kusoma english shida tupu, kuna shida kubwa sana, na ndio unaona most graduates are just idle, are not creative, neither are they innovitive, na wanakaa tu mutaani , hawajui mbele wala nyuma, mimi as an employer i do and research very very well when hiring a lady graduate, all in all, ni kubaya
 
Back
Top Bottom